Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 4,485
- 11,037
Kitendo cha serikali ya mapinduzi ya Zanzibar, kupitia Baraza la Sanaa, Sensa, Filamu na utamaduni la Zanzibar, kumfungia msanii Zuhura Othman Masoud (Zuchu), kutojihusisha na shughuli za muziki kwa miezi sita pia kutaka vituo vya runinga na redio kutopiga Wala kuonesha wimbo wowote ni uamuzi ambao niwa kinafiki wa serikali ya Zanzibar.
Madai ya kwamba maudhui yalikuwa kinyume na maadili, niya kweli kabisa na yasiyo tia shaka, lakini toka lini Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ikawa mlinzi wa maadili ikiwa yenyewe ndo kinara wa kupotosha maadili, wanayodai kuyalinda kwa nguvu zote.
Kupitia Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, walimualika shoga Richard Quest kutoka Uingereza kwa lengo la kunadi shughuli mbalimbali za utalii ndani ya Zanzibar.
Hapa ndiyo unafiki wa SMZ, unapokuwa wazi na dhahiri bila shaka yoyote. Serikali inamfungia Zuchu kwa madai ya kulinda maadili na wakati huo huo wanatumia watu wasio na maadili katika shughuli rasmi za kiserikali.
Kama serikali ya Zanzibar, ina wajibu wa kulinda maadili ndani ya Zanzibar, haina budi kutenda yale yenye maadili pia, sio unafiki kama huu kutenda yaliyo kinyume.
Madai ya kwamba maudhui yalikuwa kinyume na maadili, niya kweli kabisa na yasiyo tia shaka, lakini toka lini Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ikawa mlinzi wa maadili ikiwa yenyewe ndo kinara wa kupotosha maadili, wanayodai kuyalinda kwa nguvu zote.
Kupitia Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, walimualika shoga Richard Quest kutoka Uingereza kwa lengo la kunadi shughuli mbalimbali za utalii ndani ya Zanzibar.
Hapa ndiyo unafiki wa SMZ, unapokuwa wazi na dhahiri bila shaka yoyote. Serikali inamfungia Zuchu kwa madai ya kulinda maadili na wakati huo huo wanatumia watu wasio na maadili katika shughuli rasmi za kiserikali.
Kama serikali ya Zanzibar, ina wajibu wa kulinda maadili ndani ya Zanzibar, haina budi kutenda yale yenye maadili pia, sio unafiki kama huu kutenda yaliyo kinyume.