Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

Huyu ni msaliti mkubwa na wala asisamehewe aende huko CCM na ACT yao. Ukweli utabaki ni ukweli na mapambano ya watanzania kuupata uhuru wa kweli yako palepale. ZZK ni kijana mzuri kisiasa ila mdudu usaliti na uroho wa mali unamsumbua

Msaliti wa nini sasa? Wewe mambulula ya CHADEMA kila mwenye mtazamo tofauti na DJ Mbowe ni msaliti. Sasa huyo DJ wenu ambaye amekula mlungula wa Singasinga wa Escrow na Zitto nani msaliti? Mwaka huu mtaumbuka sana!
 
Akafie mbali kule na ulaku wake wa madaraka..mvurugaji mkubwa huyo,mpenda sifa,mwerevu mfupi wa mawazo,,nenda ZITTO,,GO.

Mmezoea mno wanasiasa vilaza akina DJ. Mkikutana na vichwa lazima mchanganyikiwe. Mtafia mbali wenywe na ujinga wenu.
 
Zitto You are pathetic on this issue, kindly refrain yourself, Una Maana Gani wapambe ndio wamewachomganisha, kama wewe na Mbowe mmekuwa akili ndogo hadi vifaranga wanaweza kunmichonganisha, jee ikiwa hamuwezi kutofautisha uongo na ukweli jee mtaweza kuongoza nchi nzima, ambapo mtakuwa na mamilioni ya wapambe.

This is very cheap Politics from an astute politician like yourself, This is the time for you to come clean and expose the weakness and shortfalls of Mbowe, as the opposition needs clean, fair and Nationalistic Leaders, Weka wazi maoni yako kuhusu nia ya Mbowe kugombea Kiti chake kwa mara ya tatu tofauti na constitution ys Chama. Waelimishe wana Chadema ili wasimchague kiongozi batil, kama unao ushahidi kama huo, na kama una imani ya kuwa ana haki ya kugombea basi unapaswa kusema ukweli hapo....

I kind of agree with you. Zitto amekuwa akimstahi sana Mbowe wakati mwenzake ametumia kila aina ya fursa kummaliza kisiasa. Angalau angeanza na hili dili la hela za Singasinga wa Escrow. Angeweka wazi kabisa jinsi Mbowe na cronies wake akina JJ walivyovuta mlungula ili watu wajue aina ya upinzani uliopo nchi yetu.
 
Chadema inatafunwa na dhambi ya ubaguzi
Maneno yameanza kubadilika mlisema CDM haina ubavu wa kumtimua leo mmeanza ngonjera za kale Mungu yupo kila mtu atalipwa anachostahili.Punguza povu mdomoni utaweza kuongea vizuri vinginevyo utatumia nguvu nyingi kuongea neno moja.
 
Zitto You are pathetic on this issue, kindly refrain yourself, Una Maana Gani wapambe ndio wamewachomganisha, kama wewe na Mbowe mmekuwa akili ndogo hadi vifaranga wanaweza kunmichonganisha, jee ikiwa hamuwezi kutofautisha uongo na ukweli jee mtaweza kuongoza nchi nzima, ambapo mtakuwa na mamilioni ya wapambe.

This is very cheap Politics from an astute politician like yourself, This is the time for you to come clean and expose the weakness and shortfalls of Mbowe, as the opposition needs clean, fair and Nationalistic Leaders, Weka wazi maoni yako kuhusu nia ya Mbowe kugombea Kiti chake kwa mara ya tatu tofauti na constitution ys Chama. Waelimishe wana Chadema ili wasimchague kiongozi batil, kama unao ushahidi kama huo, na kama una imani ya kuwa ana haki ya kugombea basi unapaswa kusema ukweli hapo....

unalalamiiika kana kwamba umeisoma habari yote after all lazima huijue janja ya waandishi wa habari
Mara nyingi huweka captions namna hiyo ili kuuza magazeti
 
utakufa kwa kijiba cha roho wee maskini was upendo
 
I kind of agree with you. Zitto amekuwa akimstahi sana Mbowe wakati mwenzake ametumia kila aina ya fursa kummaliza kisiasa. Angalau angeanza na hili dili la hela za Singasinga wa Escrow. Angeweka wazi kabisa jinsi Mbowe na cronies wake akina JJ walivyovuta mlungula ili watu wajue aina ya upinzani uliopo nchi yetu.

Kingereza cha wapi hiki?
 
I kind of agree with you. Zitto amekuwa akimstahi sana Mbowe wakati mwenzake ametumia kila aina ya fursa kummaliza kisiasa. Angalau angeanza na hili dili la hela za Singasinga wa Escrow. Angeweka wazi kabisa jinsi Mbowe na cronies wake akina JJ walivyovuta mlungula ili watu wajue aina ya upinzani uliopo nchi yetu.

Ukimya wa Zitto unamaanisha he has nothing to say.
Hii tamthilia mnayoombea atoke nayo kumchafua Mbowe ni hadithi ya kusadikika inafaa kuigizwa vichwani mwenu tu.
 
Last edited by a moderator:
Nafasi ya 'wapambe nuksi' itazamwe upya katika jamii yetu maana ilipata kusemwa kuwa hata Mh Raisi Kikwete anapotoshwa na 'wapambe nuksi', aah ashakum, namaanisha 'washauri wake
 
Hana jipya huyo aende akaogoze ACT yake - Ogopa sana mtu anayejaribu kufanya mapinduzi ndani ya taasisi ambayo yeye ni kiongozi mwandamizi.
 
Zitto ni jembe mkatae au mkubali,Tatizo watu hawapendi kukubali kuwa Zitto ndio amechangia asilimia kubwa umaarufu wa CHADEMA walionao sasa.Subiri aondoke ndio mtajua nilikuwa namaanisha nini.

sasa anasubiri nini? hatukatai kuwa alikuwa na mchango mkubwa ila ukinyonga wake ndio unaoutukera mpaka tukafikia hapa
 
kila la kheri zzk,siasa sio mchezo walikurubuni ccm ukarubunika,ukapewa mapesa,ukaanzisha cha ACT..am still optimistic that unaweza ukajirudi na ukarudi cdm.in politics no permanent friend nor enemy.
 
Kumbe anamukubali kamanda MBOWE hana pingamizi naye kuhusu kugombea tena. Pesa ndo iliyomponza
 
Si bado kesi yake iko mahakamani? Sidhani chama makini chenye wanasheria mahiri kama kinaweza kuidharau mahakama na kuendesha mambo kama Club ya Yanga.

Ndio kesi yake ipo mahakamani lakini kumbuka chama kilimvua nyadhifa zake kupitia Kamati kuu ya watu 10 kwa kuhofia kushindwa jaribio lao kwa kuitisha Baraza Kuu lililokua na wajumbe wengi wanaomuunga mkono Zitto. Kwa maana hiyo kupitia Baraza Kuu isingewezekana kumuondoa Zitto Chadema na zaidi huenda hicho ndo kilimpa kiburi na kujiamini.

Kama ilivyo ada kwenye Siasa kucheza michezo michafu ikabidi kanuni na taratibu za chama zikiukwe kwa kuitisha Kamati Kuu la mtu 10 fasta bila kuhusisha Baraza na kumvua nafasi zake zote.
Ikabaki kazi moja tu ya kumvua uanachama. Kama unakumbuka ndo viongozi waku wakaenda mikoani. Slaa akaenda Kigoma na Tabora na Mbowe akaenda Mwanza kisingizio ikiwa ni kwamba wanaenda kukiimalisha chama lakini ukweli ni kwamba walienda kuwaandaa wanachama na viongozi Kisaikolojia na kupunguza damage ndani ya chama kwa kupiga propaganda.

Wakarudi dar kwenda kutoa hukumu wao kama Kamati Kuu pasipo kulihusisha Baraza Kuu ambako tayari zitto ashakata rufaa kuwa kesi yake ikasikilizwe huko. Zitto akawa ashausoma mchezo akajiwahi mahakamani na kwenda kuweka pingamizi juu ya uanachama wake kujadiliwa na Kamati kuu bila kusikilizwa Rufaa yake aliyokata kwenda Baraza Kuu.

Hapo kumbuka wakati wanamvu Zitto nyadhifa zake ndani ya chama na ile ya uwaziri kivuli alikata rufaa ndani ya chama kuomba kesi yake ikaamuliwe na Baraza Kuu badala ya Kamati Kuu.

Baada ya Kamati Kuu kukaa yakutokea yakawa yametokea ndo yaliyopelekea Kitila na Mwigamba kufukuzwa na Zitto akawa ametengwa na chama chake baada ya kuweka pingamizi mahakamani.


Muda wote ambao kesi ipo Mahakamani viongozi wamekuwa wakifanya kazi moja tu. Kuhakikisha wanafagia watu wote wanaomuunga mkono Zitto ndani ya Chama hasa wale walioko Baraza Kuu. Kila wanapojua kuna mtu anayemuunga mkono zito ni kumuundia zengwe na kumchafua. Na wengine wakawa wanajiudhulu kila wanapoona hali si shwari ndani ya chama. Baada ya uchaguzi zimekuja au kuletwa sura mpya zinazoamini kwenye zidumu fikra za Mwenyekiti either kutokana na wengi ushindi wao umetokana na nguvu au sapoti ya makao makuu.

Hii ichukue na uiweke kwenye kumbukumbu yako.Baada ya uchaguzi wa mwenyekiti na genge lake nakuhakikishia ndani ya siku mbili hata kabla wajumbe wa Baraza Kuu kurudi mikoani mwao hapohapo ndo itapita na agender ya kumvua uanachama Zitto kwani tayari Mbowe alichokua anakiogopa tayari keshakitanzua kupitia uchaguzi.

Na msingi wa kesi iliyoko mahakama kuu ni kuwa Zitto anataka Rufaa ya kesi yake isikilizwe na Baraza Kuu. Ina maana Chadema itakuwa inatekeleza agizo la mahakama. HAPO UPO????

Huo ndo mchezo unavyochezwa kama ulikua hujui na ujue. Zitto ana akili sana ashasoma mchezo wote usishangae kusikia kauri zake kama hizi kwasababu anajua ni nini kinaenda kutokea tarehe 16 au baada ya hiyo tarehe. Kwani watu aliokua akiwategemea Baraza Kuu kuu kutoka mikoa mbalimbali tayari hawapo tena wameshafagiwa kwa 80%.

HIZI NI SIASA CHAFU SANA KWENYE CHAMA KINACHOJINASIBISHA NA KUJIPAMBANUA KAMA CHAMA CHA DEMOKRASIA.
 
Back
Top Bottom