Nguvu za yule binti wa muhimbili ndiyo delila wake. Alimbeleza amwambie siri za nguvu zake mpaka jamaa alikubali. Sasa kanyolewa shungi saba za nywele imebaki wafisti kumtoboa macho. Kijana Mungu akikupa nguvu tumia kwa ajili ya utukufu wake. Utukufu ni wa kuwakomboa watanzania ambao ni wana wa Mungu, waliopelekwa na kutumikishwa Misri katika mfumo mbovu wa utawala. Kelele zako kipindi za enzi ya Buzwagi ilienziwa na wantazania. Sijui nini kimetokea. Ungwana ni kitendo. Hata mwana mpotefu katika maandiko takatifu alipoona hali ilikuwa mbaya alikumbuka kwao. CHADEMA japo sina chama kimewatoa wantanzania kutoka mbali. Unapo kumbuka hayo mafanikio haya yumo Dr. Slaa, Freeman Mboe, Zito Zuberi Kabwe, John Mnyika, Halima Mdee, Mch. Msigwa bila kumsahau Lisu aka C. Ronaldo. Zito siko katika chama chako CDM ila nakusihi for sake of the love of the nation go to where you were nurtured politically. If you will heed my call your dignity before the electorates and wananchi at large will be restored. This nation needs your joint forces for liberation. God is watching your inerest.