GBBali
JF-Expert Member
- Sep 2, 2013
- 1,931
- 537
Angekuwa anatokea kaskazini wala asingefitinishwa
Migamba anatoka wapi na Mkumbo vp acha ufinyu wa kufikiri.ifweero.
Angekuwa anatokea kaskazini wala asingefitinishwa
Amekumbuka shuka wakati kumepambazuka.
Uzuri WA watanzania kuwa brain washed Ni kitu rahisi sana coz wengi wetu hatuna critical mind km hii ishu ya zitto c ajabu ukakuta mbowe alutafuta vijana 10 wakajisajili humu kwa Id tatu ratu then baada ya hpo wakaanza kusambaza uzushi khs zitto na wakapata wafuas ndani muda mfupi ,mi kwangu zitto atabaki kuwa kiongoz mzalendo kuliko niliopata kuwaona na kuwaskia
Kwa makosa na uibifu aliyo ufanya ndani ya chama hatakiwi kusameweha
Angekuwa anatokea kaskazini wala asingefitinishwa
Angekuwa anatokea kaskazini wala asingefitinishwa
Taratibu atatambua na kujuta kupambishwa na wafitini
Aombe radhi ili chama kimsamehe yaishe