Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,611
ZITTO atakumbukwa sana na CHAGADEMA.
Shangaa sasa Zitto analilia hiyohiyo chagadema, mkabila sana wewe hufai kabisa.
ZITTO atakumbukwa sana na CHAGADEMA.
Kingereza cha wapi hiki?
Zitto, ni kazi rahisi tu. Mbona Kafulila aliomba msamaha n kasamehewa na sasa anafanya vizuri tu kwenye chama chake? Maliza tofauti mkuu urudi kundini maana umepotea sana na sioni dalili yoyote ya kuinuka kwako
![]()
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe akifafanua jambo. Picha na Edwin Mjwahuzi
Kujiunga ACT
viongozi wa ACT ni marafiki zangu na ni washirika wangu na falsafa (ideology) ya ACT ndiyo aidiolojia ninayoiamini ambayo ni ujamaa na tatu mimi ni mwanasiasa na hapa Tanzania mpaka sasa ili ufanye siasa lazima uwe kwenye chama cha siasa.
Kutokana na matokeo ya mahakamani yatakavyokuwa kwa vyovyote vile Watanzania watarajie kuniona katika siasa na katika chama cha siasa ila hawataniona CCM.
Siwezi kungangania kama wenzangu wa Chadema hawataki kuwa na mimi.
Lakini nafuatilia kwa karibu shughuli zinazofanywa na ACT na mimi siasa zangu ni hoja, ndiyo maana hamnioni nagombana wala natukana mtu na mkisikia Zitto mtasikia katika hoja na ACT wanajenga siasa za hoja.
Wanaoongoza ACT ni watu ambao ninawaamini na haitakuwa jambo la ajabu itakapobidi kuwa nao....
CHANZO: Mwananchi
kwa mtu anayekipenda chadema na kuitakia heri siasa ya upinzani tanzania, ni bora chadema wayamalize na zitto kwa mustakabali mwema siasa za upinzani waombane misamaha yaishe, maisha ndivyo yalivyo.
kwa mtu anayekipenda chadema na kuitakia heri siasa ya upinzani tanzania, ni bora chadema wayamalize na zitto kwa mustakabali mwema siasa za upinzani waombane misamaha yaishe, maisha ndivyo yalivyo.
Siasa chafu haziwezi kuwavusha.
Mchavu yeye aliaye kwa kuvuliwa nyadhifa, akawaulize wenziwe faida ya unafiki kwani aache kulialia. Ukisaliti CHADEMA lazima uumie nenda kamuuliza Nakaya Sumari.