Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

Kwa hiyo Mwigamba na Kitila ndio wapambe waliomgombanisha na Mbowe sio? Lakini hebu tuwe makini hapa: Hivi Zitto ana ugomvi na Mbowe? Ugomvi wa nini? Mimi nachochua Zitto alivuliwa uanachama kwa kushriki katika waraka wa mabadiliko ulioandaliwa na Kitila na mwigamba. Nadhani tunapotoshwa hapa. Zitto ana ugomvi na chadema. Huu ugomvi na Mbowe mbona hatujawahi kuusikia?
 
riziki mafungu 7, kila shetani na mbuyu wake. kwaheri zitto...
 
Akili ya zito ni zaidi ya viongozi na wanachama wote wa Chadema kwa pamoja.
 
ila siasa ni usen.....! cdm walwambia cuf ni mashoga, leo hii wako pamoja,zito uko right sana,ni challenges tu hzo.
 
Kwa hiyo Mwigamba na Kitila ndio wapambe waliomgombanisha na Mbowe sio? Lakini hebu tuwe makini hapa: Hivi Zitto ana ugomvi na Mbowe? Ugomvi wa nini? Mimi nachochua Zitto alivuliwa uanachama kwa kushriki katika waraka wa mabadiliko ulioandaliwa na Kitila na mwigamba. Nadhani tunapotoshwa hapa. Zitto ana ugomvi na chadema. Huu ugomvi na Mbowe mbona hatujawahi kuusikia?

Sasa Chadema si mali ya Mbowe.? Chadema ni taasisi ya mbowe wengine ni misukule tu.
 
andiko lako linasema aliyewahi kupata umaarufu , je kwa sasa sio maarufu tena, chadema MNA siasa uchwara sana.
 
Tatizo chadema kumejaa ubaguzi..Zitto kwa sababu anatoka kigoma ndio maana anabaguliwa.
 
Zitto You are pathetic on this issue, kindly refrain yourself, Una Maana Gani wapambe ndio wamewachomganisha, kama wewe na Mbowe mmekuwa akili ndogo hadi vifaranga wanaweza kunmichonganisha, jee ikiwa hamuwezi kutofautisha uongo na ukweli jee mtaweza kuongoza nchi nzima, ambapo mtakuwa na mamilioni ya wapambe.

This is very cheap Politics from an astute politician like yourself, This is the time for you to come clean and expose the weakness and shortfalls of Mbowe, as the opposition needs clean, fair and Nationalistic Leaders, Weka wazi maoni yako kuhusu nia ya Mbowe kugombea Kiti chake kwa mara ya tatu tofauti na constitution ys Chama. Waelimishe wana Chadema ili wasimchague kiongozi batil, kama unao ushahidi kama huo, na kama una imani ya kuwa ana haki ya kugombea basi unapaswa kusema ukweli hapo....

umefunguka bila kupepesa macho, i wish na zitto angefunguka hivyo!!!!!!
 
Aaaahhh mbona kama anauma na kupuliza nikisoma between the lines.

Kwa aliyoyaongea ni wazi kuwa Zitto anaijua siasa...Ukisoma vizuri picha inayojengwa ohapa ni kuwa uongoazi wa Chema sasa umezungukwa na ma-opportunists ("tulipokuwa tunajenga chama walikuwa CCM na vyama vingine"), na kuwa Chadema sasa inaporomoka ("tulipokuwa 5 bungeni tulikuwa tunasongesha mambo lakini leo tupo 45 hakuna chochote tunachofanikish bungeni".

Hivyo kwa mujibu wa Zitto hana kosa, bali alisukiwa zengwe tu ndani ya Chama.

Kwa wasioweza kusoma vzuri" wanasema Zitto anaomba msamaha, sjui wamesoma wapi hayo??maana Zitto anasema "kwa ubaya wa kumzushia uongo na kumfukuza pasi kwa maneno ya kupikwa amewasamehe hao waliomchafua huko Maka" na ukimsoma vizuri the best anachoweza kufanya ni "kuwasamehe" na sio "kuomba msamaha" kwa sababu hana kosa.
 
Songa mbele ndg Zitto Kabwe wewe ni miongoni mwa wanasiasa bora kabisa kuwahi kutokea katika taifa hili
 
Dah siasa bwana! Sikuwahi tarajia hata siku moja huyu jamaa atafika hapa alipo. Amekuwa wa kudharauliwa na kubezwa!! Yupo katika wakati mgumu sana. Hii inaweza kuwa "tragedy of miscalculations",,kuna tatizo sehemu sio bure,ama yeye mwenyewe au wengine.
Siasa ni mchezo wa kipuuzi sana,ni kama kamari vile.
 
.....asubuhi kumekucha mama...by marehemu nani sijui yule wa msondo...!
 
anatia huruma sana huyu dogo...sijui tumsaidieje..ngoja kwanza tujadiliane na diva halafu tutakuja na solution juu ya suala lake
 
Naunga mkono hoja.

Mh Zitto aombe msamaha, CHADEMA nao wasiwe wazito wamsamehe Zitto. Umoja ni Nguvu!

Am sure Zitto akijirudi chadema wata mpokea kwa nikono miwil kwani uwezo wake wana utambuwa.
 
Hii vita zzk ndie victim,atarusha ngumi ila atapigwa tuu kama hivi. Huwezi pigana na watu wengi ukiwa peke yako hata kama ni mpiganaji mzuri.
 
zito alifanya kazi kubwa kuwaaingiza chadema vijana Wa vyuo vikuu Leo Mbowe amesahau mapema sana.
 
Back
Top Bottom