Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe


dr.slaa ameporomoka umaarufu.- yericko nyerere.
 

Wewe mpuuzi nenda lumumba katapikie hayo maneno,
 
Happy Feet, Ahahaha hahaha! samahni mkuu wangu imenitoka tu silidhani... Hapo sasa unaona ulivyojibu, kama bajeti ya serikali imetoka, inakuwaje hata baadhi wajumbe wa CCM wanaipinga? wengine wanauliza ni lini maendeleo yatafika kwao, lini barabara itajengwa yaani siku kabla ya bajeti ila mtu Kipofu hajui ule mfuko ni kama box la Chocolate. hii ina maana hata CCM wenyewe hawakuandaa bajeti yao kutokana na itikadi ama sera zao isipokuwa sera hutungwa pale pale bungeni na wao husubiri Ilani ya Mheshimiwa itawahifadhi lipi.

Leo wataamini Elimu bure ni right, kesho ni privilege mara haiwezekani rais akisema inaweekana shangwe na makofi, ili mradi tu wapo wapo. Na ndio maana siku zote husubiri kumsikia mkuu wa kaya atasema nini maana wao hawana msimamo na kama ingekuwa tunarushiwa moja kwa moja kura za wabunge basi utakuta hata wale wa Upinzani wameipitisha bajeti.

Nakuhakikishia kwamba pale Bungeni kila mtu huenda na hoja yake kichwani, kisha yeye mwenyewe hutafuta watu kumuunga mkono, wizara na mashirika ya serikali vivyo hivyo tena hubeba na posho mkononi, huoni kama hii ni ajabu hata katika swala la kisera utafute watu wa kuuunga mkono utadhani mkutano wa saccos! Kumbe upo upande huo ndio maana basi. Kama umemchoka mtu hata akisema nini huwezi kufurahia nilidhani upo open minded kumbe tayari ulishamhukumu, Aaah basi nimekuelewa maana yanayotoka upande wa pili hunaosema kwamba Zitto hivi na vile, Slaa hivi Slaa vile, Mbowe ndiye jembe hakuna zaidi yake na sio Chadema toka nazifuatilia siasa za Bongo.
Hakuna haja ya maelezo mengi ila kumbukeni mtakuja vuna mlichopanda..
 
Haka kajamaa ka (yeriko)kumbe kapumbavu.......watu wanawaza kujenga kenyewe kanawaza kubomoa
 
Kula tano fasta.

Hawa ndio wale wapambe wanaogombanisha watu Ili matumbo yao yajae ilhali wao hawana uwezo hata chembe.

yericko sisimizi anashindana na zito tembo.teh teh bangi mbaya sana
 
Yariko tambua kuwa vibaraka Sikh zote huwa hawafaikiwi,unatumika kaka kondo.o.m name salsa we we name mwenzio SAA name,mmetumika weeeee salsa mmeambiwa Hanna had hi ya ujumbe hata wa mkutano wa kata.
meishia kulalama name kujifanya kuanza kumkosoa Slaa,salsa Leo umejigongelea Voroba unakurupuka kumpamia Mzalendo ambae Afrika nzima inamtabiria kuwa Mandela mpya?

Alma kweli kichwa cha kuku hakibebi mzogo
 
Fukuzia mbali hawa wasakatonge ,yeriko na Saa name na yeriko kwa kuendekeza umbeya kama ..........

Kapige deki kwa Zitto maana unatamani kumtumikia kwa stail ya kuanzisha mijadala ya kitoto.

Zitto please,mfikirie huyu dogo japo kuwapa Mbwa wako chakula au kufungua get I lako,maana Njaa sasa imepanda kichwani .
 
ninyi chadema tumewazoea na siasa zenu za chuki watu timamu tumeshakitilia shaka saccoss yenu na wewe ngoja siku utofautiane na mbowe uje kutapatapa humu jf
 
Wewe mleta thread ni miongoni mwa wapuuzi,wavurugaji na wafitini wachache waliopo CHADEMA.
Inaonekana wazi umekereka sana baada ya Zito kufanya mahojiano ya kina na gazeti la Mwananchi.Nani amekueleza una uwezo,mamlaka na nguvu za kumchagulia mhusika maneno ya kuzungumza?
Ni vema sasa uache upuuzi na undumilakuwili wako.CHADEMA itapiga hatua kubwa mno kama itawapuuza wababaishaji kama wewe na wengine.
 

wewe nan mbona kama mnaonekana kama chadema ya peke yako. Cdm ya wote
 
ndio maana siku zote na deal na yericko, tumaini na ben sa 8. Hawa wanatuhalibia chama. Nashukuru makene anaakili kaelewa siyo kama hili zuzu li yericko.
 
Ni upuuzi sana kulinganisha umaarufu wa Cdm kama taasisi na mtu anayeitwa zzk.

Kabla zzk kujiunga na Cdm alikuwa na umaarufu gani?

Alikuwepo Kaburu katibu mkuu wa Cdm leo yuko wapi?

Umaarufu bila Chadema ni sawa na chai bila sukari.

Huyo zzk anajua kabisa umaarufu wake umetokana na cdm na ndio maana ameomba msaada wa mahakama ili asifukuzwe.

Kwani huko ccm hakuna nafasi inayomfaa zzk? Kwa vile zitto anapendwa sana na wanaccm na kwa vile ccm hawana mtu anayekubalika kama zitto nawashauri wampe nafasi ya kugombea Urais 2015 ili ccm inusurike
 
Mikael P. Aweda tafadhali njoo huku utufafanulie mimi sielewi kabisa nini kinaendelea hapa!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…