Zitto usipeleke hoja Jumatatu; be strategic...

Mwanakijiji

Nakubaliana na wewe kuhusu technicalities za kanuni kuwa akiwasilisha J3 spika anaweza kuitishwa kikao cha bunge maalum kwa lengo la kuitupilia mbali hoja ya Zitto na ikawa tabu kuirudisha tena kabla ya miezi 6. Lakini kama serikali ina haja ya kuitupilia mbali itashindwa nini kufanya hivyo kwenye bunge la bajeti.

Mimi nafikiri hii motion iendelee na moto wake (supu hunywewa ingali ya moto), kama sahihi zimetimia nashauri J3 Zitto aamukie kwenye mlango wa spika kuonyesha yuko na wabunge wako serious na issue yenyewe. You never know bwana wabunge walioweka sahihi zao watafikiriaje, wabunge ni binadamu wanaweza kurubuniwa ku-withdraw sahihi zao. Serikali pia inaweza kutumia huo mwanya kuvunja nguvu ya umoja huo. Kumbuka hizo sahihi si za CDM pekee kuna za CUF na za CCM.

Faida ya ku-file J3 ni pamoja na kuipa pressure serikali kutekeleza matakwa ya wabunge ambayo ni pamoja na mawaziri wale watano kujiuzulu. Pressure hii inaweza kumfanya PM mwenyewe kuchukua maamuzi magumu au kushauriwa na rais kufanya hivyo. Lakini jambo hili likiachwa kupoa linaweza kuipa ahueni serikali na kuanza hata kuwanyanyasa wabunge wa CCM walioonyesha kuunga mkono. Tusiwape chance, kwenye mpira unapoona opponent wako amechoka usibweteke ongeza mashambulizi unaweza kumtoa kwa knock out.
 
siamini kama ccm na wabunge wake wanaweza kumpigia kura waziri mkuu ya kutokuwa na imani naye (vote of no confidence)achilia mbali raisi wao, na kama unavyojua raisi wako naye hawezi kuvunja bunge...hana uwezo wala maamuzi hayo, atavunjaje ili uchaguzi urudiwe wakati inajulikana kuwa hawezi kurudi pale magogoni? si bora afabye liende?
then hii ya kuvunja bunge huwa nu kama timing, especiaally kama chama tawala hakina wabunge wengi lakini kinakubalika mtaani...so ikitokea risk ya vote of no confidence, maybe kwa sababy za kisisasa au kishabiki...raisi kwa kujua kuwa anakubalika mtaani, anaweza kuvunja bunge...


Labda kwa mbali walikuwa wanogopa ushahidi maana kwenye kusaini unakuwa wazi, lakini kwa vile kura inapigwa kwa siri nadhani kwa unafiki wao wangeweza, just thinking!!
 
Zitto is smart and strategic, Spika amemuongezea nondo kwa hiyo zoezi litakuwa halina pressure, saini zitaendelea kukusanywa taratibuu hata kuwafuata Wabunge huko huko vijijini kwao na ifikapo kikao cha bajeti idadi itakuwa zaidi ya 70.
Labda JK ateue waziri mkuu mpya kitu ambacho ni kigumu sana kutokea.
 
Mwanakijiji

Nakubaliana na wewe kuhusu technicalities za kanuni kuwa akiwasilisha J3 spika anaweza kuitishwa kikao cha bunge maalum kwa lengo la kuitupilia mbali hoja ya Zitto na ikawa tabu kuirudisha tena kabla ya miezi 6. Lakini kama serikali ina haja ya kuitupilia mbali itashindwa nini kufanya hivyo kwenye bunge la bajeti.

Mimi nafikiri hii motion iendelee na moto wake (supu hunywewa ingali ya moto), kama sahihi zimetimia nashauri J3 Zitto aamukie kwenye mlango wa spika kuonyesha yuko na wabunge wako serious na issue yenyewe. You never know bwana wabunge walioweka sahihi zao watafikiriaje, wabunge ni binadamu wanaweza kurubuniwa ku-withdraw sahihi zao. Serikali pia inaweza kutumia huo mwanya kuvunja nguvu ya umoja huo. Kumbuka hizo sahihi si za CDM pekee kuna za CUF na za CCM.

Faida ya ku-file J3 ni pamoja na kuipa pressure serikali kutekeleza matakwa ya wabunge ambayo ni pamoja na mawaziri wale watano kujiuzulu. Pressure hii inaweza kumfanya PM mwenyewe kuchukua maamuzi magumu au kushauriwa na rais kufanya hivyo. Lakini jambo hili likiachwa kupoa linaweza kuipa ahueni serikali na kuanza hata kuwanyanyasa wabunge wa CCM walioonyesha kuunga mkono. Tusiwape chance, kwenye mpira unapoona opponent wako amechoka usibweteke ongeza mashambulizi unaweza kumtoa kwa knock out.
Kama sahihi anazo, si angepeleka leo?
 
Kama kesho rais ataamua kuvunja baraza lake la mawaziri na kutomrudisha pinda u pm, hoja inakuwa imekufa! Na hapa ndipo Zitto amelenga.
 
Uweze kano wa kuzipata hizo 50% za kura ni mkubwa endapo kuta kuwa na organisation nzuri kati wa wabunge wote bila kuangalia tofauti za vyama vyao.Hili lina nitia moyo zaidi pindi ninapo waona watu kama akina Filikunjombe, nina amini bado wako wabunge wengi wa CCM wanye nia ya dhati kama ya huyu bwana. Chamsingi hapa ni Zitto kijipanga sawasawa najua hata mpakasasa waTanzania wamesha pata picha halihalisi kuhusu serikali yao. Nakama kukiwa na ushabiki wa vyama basi itabidi wailete hoja hiyo kwenye nguvu ya umma!
 
Lakini zaidi watu wasije wakachanganya vitu viwili - kuleta hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu na kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu. Ili hoja iweze kuletwa Bungeni zinahitajika asilimia 20 tu ya wabunge (ndipo namba ya kura 70 inapokuja). Kura 70 HAZIWEZI kumuondoa Waziri Mkuu; zinaweza tu kufanya hoja iletwe Bungeni. Baada ya kuletwa bungeni na wabunge kupiga kura inahitajika asilimia 50+1 kwa Bunge kupitisha Azimio la kutokuwa na imani na waziri mkuu.

Hii ina maana ili azimio lipitishwe ZINAHITAJIKA kura 178 na siyo 70!

mwanakijiji, kama ni macho huenda unayo manne, kama ni masikio nadhani yako 4 pia, ubongo kawaida umegawanyika sehemu kuu tatu lakini wewe sina hofu, wewe ni sehemu sita. Hii inapelekea wewe kuwa na uwezo mkubwa wa kuchambua mambo, wengine wakifikiri mbili wewe unafikiri zaidi.
HOJA YA ZITTO KWELI SIO KUPIGA KURA BALI NI KUWASILISHA HOJA BUNGENI.

USHAURI WAKO WAKIUFANYIA KAZI, WATAFANIKIWA
"So, kwa sasa nashauri a strategic withdrawal ya hoja hii!!"
 
Point well taken, haitokuwa tofauti na "other reshuffles" zilizowahi kufanyika before.
On the other side, hilo la kurudi kwa wananchi ni almost impossible.
 
Two way trafic, peoples power could be the solution to that, CDM ichukue mtaji huu kama ushahidi kwa wananchi waamue, hata kama tusifanyenye mabadilio ya nguvu bado ni silaha ya nyukilia kwa wapinzani kuibomoa CCM
 
Hayo yote yakifanyika na ikachaguliwa teem mpya makini,,je CDM watashika dola 2015/2020?

Sijaelewa nia ya upinzani ni nini hasa.
1.Ni kuombea Mungu chama tawala kizidi kuboronga na wao (wapinzani)kujikita kueielezea jamii madudu hayo na kuomba ridhaa?
2.Kuikosoa serikali ili iende sawa na (chamatawala) kuendelea kushika hatamu?
Mimi nadhani wajibu wa chama cha upinzani kama chadema kufanya mambo kwa maslahi ya umma na kujenga imani kwa umma kuwa wanao uwezo wa kuform serikali inayowajibika pia siasa za kujenga umaaru kupitia madudu ya chama tawala usiwe msingi wa chadema, chadema itaendelea kujipatia umaarufu kwasababu inajenga misingi ya uadilifu na uwajibikaji wa viongozi!
 
So, kwa sasa nashauri a strategic withdrawal ya hoja hii!!

Mkuu MM naungana na wewe kuwa Iwe strategic delay kwani bado hawajawasilisha hoja kwa maandishi kwa Spika. Ila in the next two months itawahitaji wawarudie wabunge waliotia sahihi na kuwaambia kuwa watie sahihi nyingine kwa ajili ya kumuondoa Waziri mkuu na nyingine kumuondoa Rais. Hii ina maana sana, kwani baada ya hoja ya maandishi kupelekwa kwa spika spika atatakiwa kujiridhisha kama mashrti ya katiba yamefuatwa na hii ni pamoja na kuhakiki singnature za wabunge. Kama Zitto hatapata consent ya wabunge kuhusu sahihi zao kutumika kumshitaki rais basi ni dhahiri kwenye uhakiki kama watakana kuwa walitia sahihi kwa ajili ya kikao cha April itampatia spika mwanya wa kukataa hoja kwa kutokidhi. Binafsi ningependejeza kuwa kila mbunge atie sahihi kwenye ukurasa wake pekee unaoweka wazi madhumuni ya siganature na kuthibitisha kuwa wamesoma na kukubaliana malengo ya sahihi zao badala ya kuwa na karatasi moja yenye orodha ya mojina.
 
Kwangu mimi hoja ipite isipite lakini itakuwa imetufungua macho kuweza kuwajua wanafiki wetu wakubwa, "the list of shame, the hypocrites"

Hakutakuwepo tena ile hoja dhaifu ya mara oh, wapo wapiganaji ndani ya CCM kwa sababu kama kweli wapo, majina yao tutakuwa nayo kibindoni.

Ambaye jina lake halipo, atakuwa halali yetu kumtafuna bila huruma na zomea zomea itabidi imgande kama shati lililonyeshewa mvua, kulivua hadi kulichana.

Ni sababu moja tu inaweza kumzuia mbunge yeyote yule asiweke sahihi yake, uovu - yaani mwizi, fisadi, muuaji, mlafi, mdokozi, mwongo, mnafiki...duh!
 
Hayo yote yakifanyika na ikachaguliwa teem mpya makini,,je CDM watashika dola 2015/2020?

Sijaelewa nia ya upinzani ni nini hasa.
1.Ni kuombea Mungu chama tawala kizidi kuboronga na wao (wapinzani)kujikita kueielezea jamii madudu hayo na kuomba ridhaa?
2.Kuikosoa serikali ili iende sawa na (chamatawala) kuendelea kushika hatamu?

Si suala la kuombea Mungu CCM iendelee kuboronga na wala kuikosoa Serikali hakuna maana ya kufisha mabadiliko. Jambo moja elewa ni kwamba CCM na watawala wake wamekuwa sikio la kufa lisilosikia dawa. wameivuruga nchi kiasi cha kutosha na hakuna jinsi wanaweza kuenda sawa in just three years before the election.

Mabadiliko 2015 ni lazima, CCM hawana jinsi ya kukwepa kuzolewa na mafuriko ya CDM.
No way.
 
Mimi naunga mkono Hoja iende... at least ionekane officially imezama kwa meza ya spika... June, tunaanzia kwenye hatua nyingine... tusiwe watu wenye uchu,,, hili liende... hii strategy inayoletwa leo... ndio itarudisha nyuma... let it go guys... ili demokrasia itimie.... ile PM wa Tanzania siku zote ajua... anatakiwa kuwajibika.
 
Back
Top Bottom