Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
Nadhani Zitto anganza na kutafuta ushawishi wa kura za kuto kuwa na imani na spika halafu akipatikana mtu kama Sita pale kwenye kiti suala la kupiga kura za kutokuwa na imani na PM pamoja na boss wake ni kama kumsukuma mlevi na hapo ndio bunge litavunjwa kiulaini.