Zitto usipeleke hoja Jumatatu; be strategic...

Zitto usipeleke hoja Jumatatu; be strategic...

huwezi kuelewa kabisa kakaJambazi coz the system help you kuendeleza wizi wako!!!!! Sidhani kama kuna mpinzani anaiombea ccm iboronge, ingekuwa hivyo chadema isingekuwa inatoa mawazo mazuri na yanayotekelezeka kwa serikali kila kukicha.

Ila kwasababu ccm inafanya mambo yakuupinga upinzani kila kukicha, MUNGU si Adhumani wanavuna wanachopanda
 
Hapana, kilichofanywa na Zitto ni kufire a "warning shot' na kutuma ujumbe kuwa we can fight to the very end. La maana nikutambua kuwa hii ni vita na hupigani tu alimradi kupigana; unapigana ili kufikia matokeo fulani. Sasa mimi sitaki matokeo ambayo yatarudisha Waziri Mkuu wa CCM, baraza jipya la CCM, na rais wa CCM tutakuwa hatujabadilisha kitu zaidi ya kubadilisha tu upande wa shilingi - thamani yake ni ile ile.

sasa kama lengo ni kumuondoa tu waziri mkuu ili waziri mkuu mwingine wa CCM aje well that fine and dundee lakini kubadilisha tu waziri mkuu kumetusaidia vipi baada ya kuondoka kwa Lowassa? Hivi katika wabunge wote wa CCM leo hii mnafikiria yupo ambaye atakuwa tofauti sana? na kwamba ndani ya wabunge wa CCM linaweza kuundwa baraza tofauti na mabaraza yaliyopita?

Mabadiliko sahihi niyale yatakayoiondoa CCM madarakani au kuipunguzia nguvu yake!

...Mwalimu Nyerere alipata usema "kuwa na akili ni pamoja na kujua kitu kinachowezekana na kile kisichowezekana", atleast kwa sasa hakuna uwezekano wa kumpata Waziri Mkuu nje ya CCM(chama chenye Wabunge wengi), na hakuna pia option ya kuvunja Bunge na kurudi kwenye uchaguzi kwa sasa, kwani sio Wabunge wa CCM tu bali ata Wabunge wa Upinzani waliowengi hawataunga mkono hili...

...Pamoja na hayo, kutofanya chochote sio option, hivyo kinachowezekana sasa na ambacho kinachopaswa kufanywa ni kumuondoa Waziri Mkuu aliyepo na kupeleka kuvunjwa kwa Baraza la Mawaziri ili kuiondoa hii hali ya viongozi waliopewa dhamana ya uongozi kulewa madaraka na kutowajibika, hili ni kubwa zaidi kuliko kubadilika kwa sura za watu kwenye nafasi za uongozi....

...Anachopaswa kufanya Zitto sasa ni kuwasilisha kwa spika hoja yake hiyo jumatatu ikiwa na sahihi hizo 70 kama kanuni zinavyohitaji.Ata kama Bunge halitaweza kuijadili hoja hiyo kwenye kikao hiki sio issue kwani bado siku zisizopungua 14 zitaeleka pia mpaka kwenye kikao kijacho za bajeti, ambapo hoja hii itahitimishwa, go Zitto go...
 
Lakini vile vile CDM wanaweza kuitisha maandamano makubwa ya kuipinga serikali kuhusiana na ufujaji na ubadhirifu wa mali za umma; hii ndio njia yenye nguvu zaidi kwani inarudisha nguvu kwa wananchi na siyo wabunge. Badala ya kuandamana tu hivi hivi wanaitisha maandamano makubwa ya kusema kuwa wananchi "wamechoka" na ikibidi ni maandamano yasiyokoma hadi mawaziri au waziri mkuu ajiuzulu!
hapa ujue kuna maisha ya watu yatapotea...
 
WanaJF, salamu na heshima kwenu!!
in the last few months I've been following closely the tormented agony of the ruling party. The part has lost the trebizond - it's in a very advanced putrefaction. It's a titanic which is sinkingwith its passengers(unfortunately!!!) on board. The country is sinking and I'm afraid we've reached a point of no return - the extinction of the tyrannosaurus!!!

Right now the CCM's condition can be compared to the oncological(malignant) patient. From "staging and grading" it's clearly that CCM has dessiminated metastases thence surgery is off the table, chemio is useless and unproductive leave alone radiotherapy. The only thing we can do is to apply the "wait and pray" strategy accompanying the patient with palliative care. Personally i would apply euthanasia - we can't wait any longer!!

CCM imefika hapo ilipofika kwa KUJITAKIA. Wana CCM wengi wenye uchungu walipokuwa wakieleza dalili za ugonjwa, walidharauliwa na wengine walikufa katika mazingira ya kutatanisha,Horace Kolimba docet! "KOSA" kuu la Kolimba lilikuwa ni kusema ukweli - CCM IMEPOTEZA DIRA NA MWELEKEO - maneno haya yalitamkwa miaka 15 iliyopita na CCM kama shukrani ya kukosolewa walimzawadia Mzee Kolimba kifo!! Hawakumsikia Kolimba na wengine na wakaendelea kubehave kama nyani wakazidi kupanda juu na juu zaidi ya mti wakasahau kuwa kadri nyani anavyopanda juu ndivyo anavyozidi kuonyesha ****** yake hayo si maneno yangu ni ya mwanafalsafa wa kifaransa Montaigne " plus haut monte le singe,plus il montre son cul"

NI nani wa KUIKOA CCM???
Binafsi ninaamini hakuna and very unfortunately being a ruling party,its fate is directly correlated to the fate of our nation. CCM ilikaribisha haya maradhi baada ya kuacha kuwa CHAMA CHA WAKULIMA NA WANYAKAZI na kuamua kuwa CHAMA CHA WAFANYABIASHARA WAKUBWA(once upon the time they were detested and called MABEPARI now they're honoured and called MAKADA/WAFADHILI). Chama kimegeuka kuwa pango la walanguzi,wahujumu wa uchumi,wezi na baya zaidi hata rais wa nchi naye ni mwizi( sipendi kutumia neno fisadi maana ninahisi kama lina diplomatic traces ndani yake!!!) Hakuna mtu yeyote anayeweza kumkemea mwingine maana wote ni wezi - Rais MWIZI, MAWAZIRI WEZI, WALIOPEWA DHAMANA YA KUONGOZA MASHIRIKA/MAKAMPUNI/TAASISI NAO NI WEZI!!! Wanashindana katika kuiba na si katika uwajibikaji na katika hili ninaungana na Kaka Zitto Kabwe anaposema kama kuna neno linapaswa lisikosekana katika katiba mpya ni ACCOUNTABILITY!!!!

Hatuna pakutokea maana mkuu wa nchi hana moral thickness ya kumuwezesha kuokoa jahazi kwa sababu yeye mwenyewe ni sehemu ya matatizo - YEYE NI TATIZO!!!! watanzania na wanaccm wengi wanalifahamu hilo,tuache unafiki na tuambiane ukweli. Mapato ya serikali yanaongezeka (angalia trend ya makusanyo TRA) likewise na ufujaji wake unaongezeka. Mfujaji mkuu wa mapato ya serikali ni mkuu wa nchi ambaye hatulii nyumbani kila siku safari-safari-safari. Hao anaokwenda kuwatembelea hatuoni wakija kumtembelea - safari zake zinatugharimu kama Taifa na amenifikisha mahali pa kuomba Mungu hiyo ndege ianguke akiwemo ndani labda ndio suluhu pekee!!!

Mukama,the secretary general of their gang does not deserve any description - he's an emptiness in persona!

Nape has the charisma of a cabbage and intellectual thickness of a macaco.

THE DESTINY OF CCM IS MARKED - alea iacta est!!!!!!

Kwa mtindo na muelekeo huu ninajiuliza bila kupata majibu - tutafikaje 2015??? Nisaidieni

 
Hakuna kurudi nyuma.
Zitto keep moving,haijalishi hoja itapitishwa au vipi.
Cha muhimu ni kwamba tunajua pinda hawezi kujiuzuru,wala wabunge
wa ccm hawawezi kumpigia kura ya kutokuwa na imani.

Lakini hoja hii kupitishwa na ikapingwa ni ushindi mkubwa kwa upinzani.
Hasa kwa kuwashitaki wabunge wote wa ccm kwa wananchi,jinsi walivo
wanafiki kupiga kelele juu ya ufisadi huku wakiogopa kuchukua hatua yoyote.

Anachosema Mwanakijiji ni kwamba...........
"Using'oe jiwe hili kwani huna nguvu,jiandae vyema ukautoe mwamba"....

Nacho amini ni kwamba you don't win if you don't play.
And this is a good move.
It's time to play,kesho ni mbali sana na kesho haifiki,do it now.
 
Unaweza kuwa sahihi katika hili, but elewa kuwa watanzania wengi bado wamelala, hivyo hii hatua ya zito ni lazima iungwe MKONO.
 
Mkuu MMK

Naunga mkono sana hoja yako hii ya Strategic delay ina manufaa makubwa sana.
Pili ninaunga hoja ya Hofstede
Binafsi ningependejeza kuwa kila mbunge atie sahihi kwenye ukurasa wake pekee unaoweka wazi madhumuni ya siganature na kuthibitisha kuwa wamesoma na kukubaliana malengo ya sahihi zao badala ya kuwa na karatasi moja yenye orodha ya mojina.

Kwa kufanya hivyo
1. Kwa hoja ya bluu Wewe umeelezea wazo lako na umeungwa mkono kwa hoja. Ita wapa ugumu kuyafsiri vibaya sababu ya sahihi
2. Utakuwa umejenga hali ya hofu na wasiwasi kwa serikali nzima katika kipindi cha kusubiri. Na hii ni mbinu bora kabisa
3.Haja hii inazama vizuri (yaani inainfiltrate) ndani ya mioyo ya watanzania na wabunge wa CCM kuliko ilivyo moto sasa hivi. Zaidi presha ya wananchi itakuwa kubwa kwa wabunge.
4. Lakini hii pia na challenge au changa moto kubwa kwako wewe binafsi kama unaweza kustahimili kuitunza azma yako hii kwa muda wote, hata kama utaombwa na rafiki yako mkuu wa kaya

5 Na la mwisho ni serikali kujipanga vizuri kuepusha tsunami unayotaka kuwapelekea. Ili afanye mabadiliko kabla ya gharika au awe kichwa ngumu kama farao


Zito kazi kwako chagua unaloona jema na ufanye, tunakutakia kila la heri na tupo nyuma yako
 
Mwanakijiji huwa naogopa hata kupingana nawe kwani naamini wewe ni another level huwa nakufuatilia sana post zako.
Naomba sana Zitto apeleke hii hoja kwa kuwa tayari imeshaonekana kuwa mama Makinda kaonesha dharau ni wazi pataleta taabu lakini tukubali kuwa ktk historia ya nchi hii hili ni jipya na linaleta matumaini.

Kuahirisha hoja kutapelekea CCM KUJIANDAA KUPANGUA HOJA KWA TRICKS MBALIMBALI.

Ikitokea J3 Makinda atazingua itabidi tuanze naye kama spika.
 
Hapana, kilichofanywa na Zitto ni kufire a "warning shot' na kutuma ujumbe kuwa we can fight to the very end. La maana nikutambua kuwa hii ni vita na hupigani tu alimradi kupigana; unapigana ili kufikia matokeo fulani. Sasa mimi sitaki matokeo ambayo yatarudisha Waziri Mkuu wa CCM, baraza jipya la CCM, na rais wa CCM tutakuwa hatujabadilisha kitu zaidi ya kubadilisha tu upande wa shilingi - thamani yake ni ile ile.

sasa kama lengo ni kumuondoa tu waziri mkuu ili waziri mkuu mwingine wa CCM aje well that fine and dundee lakini kubadilisha tu waziri mkuu kumetusaidia vipi baada ya kuondoka kwa Lowassa? Hivi katika wabunge wote wa CCM leo hii mnafikiria yupo ambaye atakuwa tofauti sana? na kwamba ndani ya wabunge wa CCM linaweza kuundwa baraza tofauti na mabaraza yaliyopita?

Mabadiliko sahihi niyale yatakayoiondoa CCM madarakani au kuipunguzia nguvu yake!
Mkuu nadhani kila anayeitakia mema nchi hii angependa yatokee haya uliyo yaandika
Wabunge wa CCM wanaweza angalau kuwa tayari kumtoa PM lakini si kumtoa mkulu wa kaya na kupelekea makamu pengine kuitisha uchaguzi mkuu......... wanatambua cost yake........wengi hawatarudi bungeni wamechokwa


Lakini vile vile CDM wanaweza kuitisha maandamano makubwa ya kuipinga serikali kuhusiana na ufujaji na ubadhirifu wa mali za umma; hii ndio njia yenye nguvu zaidi kwani inarudisha nguvu kwa wananchi na siyo wabunge. Badala ya kuandamana tu hivi hivi wanaitisha maandamano makubwa ya kusema kuwa wananchi "wamechoka" na ikibidi ni maandamano yasiyokoma hadi mawaziri au waziri mkuu ajiuzulu!
Hili la kuitisha maandamano binafsi siliafiki kabisa, trend tunayo kwenda nayo ni nzuri na soon CCM itaondoka madarakani.

Mambo ya maandamano yana cost zake pia hayana kabisa garantee kuwa hao tunaodhania ndio watakuja kufanya nini cha maana hadi tufikie hatua ya kurisk kwa maandamano.
Maandamano si rahisi kama yanavyoweza kutamkwa, yanaandamana na fujo ghasia na mauaji maana hakuna mtawala anayetaka kuondoka madarakani kirahisi rahisi hadi pale itakapofikia hali mbaya sana tena ya mauaji, na kibaya zaidi yanaacha makovu na visasi kama tunavyo shuhudia Libya, Misri nk

Mtazamo wangu tu stick na taratibu za kidiplomasia hata kama hazitafanikiwa lakini wananchi tutakuwa tumepata kitu kitakachopelekea tufanye chaguo sahihi uchaguzi mkuu ujao
 
Sahihi zimeshatimia na kumwagika lakini ilipangwa hadi J3 ndipo wawasilishe, kumbuka kuna taratibu zingine pia na kukusanya supporting documents huwezi kupeleka majina tu bila maelezo ya hoja yenyewe.
Mpaka sasa anazo 62.Nina wasiwasi hana sahihi 71.
 
Mwanakijiji

Ninakubaliana sana na hoja zako lakini hili la kutaka raisi avunje bunge na kuilazimu nchi kuingia kwenye uchaguzi ni kitu kisichowezekana hata siku moja.


Kuwa na Uchaguzi mkuu kabla ya 2015 ni jambo linalotukabili kwa sasa; na ili rekodi ziwekwe sahihi; nakubaliana na mtoa mada hii kuwa 20% ya wabunge wamekubaliana na nia ya kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu kwa hiyo ili kumng'oa; inahitajika asilimia nyingine 30+ kupata 50+ ili kumwondoa katika hiyo nafasi

Kuna siku 14 za notice kabla ya zoezi; lakini ukisoma kwa umakini procedure ya kumwondoa Waziri Mkuu imewekwa ngumu kidogo kuliko ya kumwondoa Rais na kwa allegation hizi za sasa dhidi ya waziri mkuu; ni wazi Rais anaweza kushtakiwa bungeni kwa sahihi 70% za wabunge; lakini ili kuwajibika basi na ijulikane wabunge wote hawakuwajibika kwa wananchi hivyo hoja ya kumtaka Rais avunje bunge ili kurudi kwa wananchi ina mashiko zaidi kwa ajili ya kupata new mandate!!
Ghalama ya demokrasia ni kubwa lakini ghalama ya kuwa na serikali legelege ni kubwa zaidi
 
Hakuna kurudi nyuma.
Zitto keep moving,haijalishi hoja itapitishwa au vipi. .

Ukiwa na risasi moja na maadui wako ni wengi yakupata ufikirie vizuri ni wakati gani unataka kuitumia.. ukiitumia vibaya usije ukaja kulalamika baadaye kwa kukosa risasi. CDM katika kulazimisha mabadiliko makukbwa ina risasi zifuatazo:

a. Kura kutokuwa na imani na Spika (ICBM)
b. Kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu (Atomic Option)
c. Kuanzisha mashtaka dhidi ya rais (Nuclear option)
d. Nguvu ya umma (Kamikaze option)

Silaha hizi zinatakiwa kutumiwa strategically wakatiwote; ukitumia yoyote kati ya hizo vibaya you better be sure kuwa inampata adui yako vizuri!!
 
Tetesi mawaziri 4 wameshajiuzuru usiku huu huko dodoma baada ya kikao cha wabunge wa ccm kumalizika. Taarifa rasmi kesho bungeni.
 
Mwanakijiji huwa naogopa hata kupingana nawe kwani naamini wewe ni another level huwa nakufuatilia sana post zako.
Naomba sana Zitto apeleke hii hoja kwa kuwa tayari imeshaonekana kuwa mama Makinda kaonesha dharau ni wazi pataleta taabu lakini tukubali kuwa ktk historia ya nchi hii hili ni jipya na linaleta matumaini.

Kuahirisha hoja kutapelekea CCM KUJIANDAA KUPANGUA HOJA KWA TRICKS MBALIMBALI.

Ikitokea J3 Makinda atazingua itabidi tuanze naye kama spika.

to tell you the truth kama Makinda ni strategic anakubali kwa moyo mkunjufu kuwa kuwa Zitto alete hoja; halafu jumatatu wanatangaza kutakuwa na kikao maalum baada ya siku 14 wabunge warudi kuja kupiga kura! guess what? Wote mnafikiria watasema kwenye kikao cha bajeti lakini kama niCCM mnasema turudi ndani ya siku 14! mtakuwa na kura 70 za kuleta hoja lakini hauna kura 178 za kumuondoa Waziri Mkuu!!
 
Hayo yote yakifanyika na ikachaguliwa teem mpya makini,,je CDM watashika dola 2015/2020?

Sijaelewa nia ya upinzani ni nini hasa.
1.Ni kuombea Mungu chama tawala kizidi kuboronga na wao (wapinzani)kujikita kueielezea jamii madudu hayo na kuomba ridhaa?
2.Kuikosoa serikali ili iende sawa na (chamatawala) kuendelea kushika hatamu?

Huaelewa nini sasa, lengo la chama chochote cha upinzani ni kushika dola kwa hiyo lengo ni kuwaondoa CCM ili chama kingine kikamate usukani!!!
 
Mzee Mwanakijiji,
Mkuu nakubaliana nawe kwa kiwango fulani lakini kama ujuavyo siasa za Ulaya na Afrika ni tofauti kabisa. Kama ingekuwa bunge la majuu, Zitto na Chadema kabla ya kuwakilisha hoja na kutaka sahihi 70 walitakaiwa kwanza kuhakikisha watapata wabunge wangapi (kura) ambao wanaonekana kuafiki na mpango mzima. Na kama ingefikia hata 150 au 160 na wengine undecided ndipo hoja inawakilishwa kwa spika, maana hutaki onekana mjinga ukijua zaidi ya asilimia 60 watakupinga...Lakini Kibongo bongo huwezi kupata kura za maoni kwa wabunge wa CCM hasa baada ya kupigwa mkwara na uongozi wa juu (Lukuvi). Hili huwezi kuliona ktk siasa za majuu kwa hiyo tunaenda kibongo bongo. Zitto awakilishe hoja J3, na itakuwa ktk kikao chochote kijacho maadam imeshafika mjengoni tulivyofanya Richmond na nyinginezo ambazo zimeendelea kwa muda ktk vikao vya Bunge, japokuwa tunafahamu fika CCM wanachokitaka ni kununua muda wakipanga mikakati ya kujibu mapigo.

Kwa hiyo maadam lipo bungeni, hatufahamu ya kesho liwakilishwe Spika na hao vibaraka wake waumize vuchwa kwa sababu tukisubiri July wapo wabunge ambao wanaweza badilishwa mawazo na CCM wakaweza kufunika kombe. Hivi tayari nasikia mawaziri wameisha anza kujiuzuru kutokanana homa ya hii hoja ambayo inawasumbua vichwa ili kuhakikisha waziri mkuu hatawajibishwa maana sababu ni kwamba kashindwa kuwawajibisha mawaziri wasipofaa. Kazi iendelee strategic plan ni kuwalazimisha CCM kuchukua maamuzi magumu laa sivyo wananachi wataamua kupitia wabunge wao.
 
Back
Top Bottom