Zitto: Sijengwi na Kikwete, najijenga mwenyewe

Status
Not open for further replies.
Suali kujiuliza kabla ya kujadili hilo,je wamiliki wa vyombo vya habari kwenye nchi changa ama zilizodumaa kidemokrasia kama Tanzania wana influence kwa kile kinachoandikwa au kuripotiwa?

Ben hata kwenye nchi za dunia ya kwanza na zilizokomaa kidemokrasia haya mambo huwa yanatokea. Nina maana kuna kampuni ambazo zinanyoosha ukweli na zingine zinapindisha wakati fulani kwa ajili ya malengo fulani. Nadhani unakumbuka mwitikio wa baadhi ya vyombo vya habari vya marekani kuhusiana na silaha za maangamizi Irak. So ishu sio dunia ya tatu au ya kwanza, demokrasia changa au komavu. Ni suala la maslahi- maslahi binafsi!
 
Unapokuwa na hali ya kupokeleka na wengi ndivyo unapokuwa na maadui wengi kwa maana kwamba unayopigania ni yale yanayokubaliwa na timu ya waadhirika, na kwa kufanya hivyo ujue unashindana na timu shindani ya wanufaika ambao wana kila aina ya silaha ya kupigania masilahi yao. Kazi ipo, na tuko nyuma ya watetea haki kuwapeni kila nyenzo za kushindana na hawa washindani wa timu ya nufaika.
 
In short, Chadema ni taasisi imara. Haigawanyiki kirahisi. Take it from me.

Nakubaliana nawe na naamini hivyo na hata hivyo tahadhari lazima iwepo maana ujuavyo kikulacho ki nguoni mwako. Usidharau mwiba maana hata tembo huweza angushwa kwa ubua.
 
kwani, mie naomba kuuliza! utaratibu ukoje? Kikwete anavyochagua mtu wa kuambatana nae kwa safari za nje kutoka upinzani, je anawasiliana na chama kuchagua nani aende nae? au anajichagulia tu! kama anajichagulia kwa utashi wake, basi Zitto inabidi ajiulize mara mbili mbili nia na madhumuni haswa ni yapi ya Kikwete! asiwe anafuatanafuatana kila wakati anapoitwa awe na staha ya angalau kumwambia Kikwete wasiliana na chama changu!

Very true! Zitto anatakiwa aelewe JK ni "political enemy" wa chama chake. Nasisitiza a "political enemy" that being said; how can the enemy of your party be your political friend? Ningemuelewa Zitto kama alikuwa Bar, au kwenye other social gatherings na JK lakini kuwa close kwenye safari za Kisiasa; inazua maswali na inahitaji majibu ya uhakika. Kwa mtizamo wangu wanachama wa CDM wanahaki yakuuliza maswali e.g. ile safari yake ya Sudan aliteuliwa kama nani etc. Naona CDM wanapata wasiwasi na part of the fear ni kwasababu JK hawezi kuwa rafiki yako bila ku-benefit something from you. Trust me on that one! There is something JK is getting from Zitto and its up for CDM members to find that out if it is political related (Personal view). Zitto brother; if your not doing anything wrong take it as a positive challenge, ukweli utajulikana tu. Peleka matatizo yako ndani ya chama, nje ya hapo unasaidia ku-confirm arguments za wale waliokuwa wanakutilia mashaka muenendo wako (wanachama na wasio wanachama).
 
The thing is you can't expect people to take one story and believe it to be credible today and then ask the same people to not believe another story from the same newspaper just the next day.

Of course in a democratic society a newspaper won't cross the line, but we do not live in a democratic society per se

oh yessssss ! ! Ofcourse wwe dont have! Tatizo tunachukulia magazeti kama misahafu and the cynics out there 'll use this opportunity to impart their malicious stories

Kuna Gazeti moja lilijipambanua kama vibrant paper kwa siku ya jumatano( SIO RAIA MWEMA maanake hilo ni gazeti makini sana na naliheshimu),siku moja nikashangaa baada ya kuenguliwa Uchaguzi wa BAVICHA likatoka na habari ya ajabu yenye uwongo,upotoshaji wa ajabu kabisa.Ukimbana mwandishi anasema sio mimi,nikimuuliza mbona uliruhusu jina lako litumike anaanza kutia huruma.
so,on the subject at stake...its one thing to want more from those who are helping to make changes happen. its another to attempt to ruin their reputation based on false allegations

Kwa wanasiasa Chipukizi, While others rely on name calling and propaganda to see them win the election or attaining their goals at the expense of other peoples reputation, let us take Tanzania politics to new heights, talks without character assassination which is the hallmark of all our political rivals/opponents.

And As for the Media Guys, Don't borrow the moral authority from the office owner/employer because as soon as you leave that office that authority leaves you. I truly Pray,Rai Mwema isije ikaingiliwa tu,ni mfano mzuri wa magazeti makini na yenye waandishi waliostaarabika
I do believe Media office is a pedestal for you to use your strength of character to add value to the office by serving the people you are meant to serve and giving glory to our Creator

 
Jamani kumbukeni mamluki ya ccm ni wengi kama maibilisi wanaotega akili za watu, msipoangalia watawagawa hapa jf kwa kupandikaza chuki zao na tushindwe kutimiza azma yetu ya kuitoa tanzania yetu kwenye makucha ya wajanja. Kilichoandikwa kwenye gazeti ni habari haina haja ya kulumbana. Kama Zitto anajijenga mwenyewe hii habari haiwezi kumtisha kwa sababu hajasaliti chama, lakini kama kuna mkono wa mtu ambao umejificha ninadhani kuna siku ataumbuka.

Ushauri: Haina haja ya kuchukua vitu vidogovidogo kama hivi na kuanza malumbano ambayo hayana tija. Inawezekana hata mleta hii thread akawa ni ccm wanatafuta jinsi ya kugombanisha ngazi ya uongozi chadema. Hii thread imekaa kiunafiki nafiki sana tuachane nayo.
Haijalishi aliyeleta thread ni wa mlengo gani as far as hapa JF huhitaji kuandikisha chama chako ili ujiunge. Cha msingi tuongelee credibility ya thread. Na hoja ya msingi hapa ni: Ni sahihi kwa Zitto kuonyesha mbele ya jamii kwamba haivi chungu kimoja na mwenyekiti wake? Haya mengine mnayoyaibua ninyi hayana mantiki kabisa. Kwani mnafikiri haya anayoyafanya Zitto ya kuonyesha weakness za mwenyekiti wake kwenye public zinakijenga vipi chama?
 
Nyie mmezidi, juzi niliona Spika Makinda na Lissu wakifungua mziki kule dodoma kwenye ghafla moja hivi, sasa angekuwa Zitto mngesema maneno kibao.
Lissu hawezi hata siku moja kufungua muziki na Makinda kwenye hafla, labda iwe ghafla! teh teh..
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Suali kujiuliza kabla ya kujadili hilo,je wamiliki wa vyombo vya habari kwenye nchi changa ama zilizodumaa kidemokrasia kama Tanzania wana influence kwa kile kinachoandikwa au kuripotiwa?

Hapa utanapata definition ya zitto kumbe pia,..
kwamba yeye akimiliki chombo cha habari ata walazimisha wahariri
wa chombo chake hicho kuandika habari anazo taka,...'

Zitto,hapa umeonesha chuki yako wazi kwa mwenyekiti wako
yeye sio mhariri wa Tanzania daima ni mmiliki,sidhani kama anahusika na habari za kila siku
ziwe namna gani,...

umepoteza point zangu tena
 
Ben

lazima tusikilize magazeti kama misahafu kwa sababu hatuna pengine pa kusikiliza. Na kwa vile magazeti yapo kimfumo wa kambi (yanamilikiwa na vyama au wadhamini wa vyama), ni ngumu kwa wapenzi na mahasimu kutotumia kipropaganda habari zinazoandikwa kwenye magazeti hayo.

Hapa ndipo inapotokea mgongano wa kimaslahi. Tungependa mwenye gazeti asiingilie kazi ya wahariri wala waandishi wa habari ili tuweze kupata habari za kweli na sio propaganda. Lakini iwapo gazeti la mwenyekiti wa chama limewasema vibaya viongozi wachama, tunaamini kwa sababu tunadhani gazeti liko karibu na chama kwa hiyo vyanzo vyake vya habari ni vya kuaminika wakati si kweli kama mwenye gazeti hajihusishi na gazeti hilo. Ni catch-22 ya aina yake.
 
Are we not aware about the lies that is postulated by the self imposedsupremacist media Knowing ignorant people will stumble on it and not check out the facts, and get it twisted?

Ben, the problem is not what the media reported, I do agree that a media can report anything, but my problem is the way Zitto presents the problem to the public. Is it ok to go to the public and express the weakness of the media in relation to your fellow leader (particularly the one you are working in the same office)? Why cant you resolve these differences at party level before you express it to the public?
 
Mtapinga weeeeeeeeeeeeeeeeeeee lakini Zitto ni tatizo ndani ya Chadema. Wether Tanzania Daima litamwandikaje lakini Zitto ni tatizo kubwa. Mbona yeye Zitto amewanunua waandishi wa Mwananchi wanamsifia hata pale asipopaswa kusifiwa? Kama yeye Zitto ana busara na anaona gazeti limemharibia anashindwa nini kuwaambia viongozi wenzie ndani ya chama kuwa anachotendewa si haki? Zitto anabore sana

Hapa naanza kujenga picha,...
JK kasema anataka amuachie nchi kijana (zitto)
Zitto anachuki na mbowe hata kama hahusiki na habari (labda kama habari imeandikwa na mbowe,...)

JK ni mdini,zitto ni wa dini ya JK,...mbowe ni dini tofauti na zitto na JK,...

so zitto anachuki za udini,otherwise ni vigumu kupinga kilicho andikwa na Tz daima.
 
Hapa utanapata definition ya zitto kumbe pia,..
kwamba yeye akimiliki chombo cha habari ata walazimisha wahariri
wa chombo chake hicho kuandika habari anazo taka,...'

Zitto,hapa umeonesha chuki yako wazi kwa mwenyekiti wako
yeye sio mhariri wa Tanzania daima ni mmiliki,sidhani kama anahusika na habari za kila siku
ziwe namna gani,...

umepoteza point zangu tena

Duh...mkuu hivi kweli umejiuliza kama wamiliki wa magazeti Tanzania wana influence katika habari gani iandikwe na ipi isiandikwe?
 
I'm equally of the view that the propagation of spiteful and malicious falsehoods must not be allowed to become an acceptable weapon of political rivals in any civilized democratic societySome papers crosses all acceptable lines of professional ethics, decency, decorum and respect for others' rights and feelings by spreading rumours maliciously.
We are not sure yet whether this has to do with political rivalry,it could be amateurish journalism or unethical journalism.
 
Je,waliwasiliana na Zitto kupata maoni yake kabla hawajachapisha?Je,jamii imetendewa haki?Je, Zitto ametendewa haki?

Kama hawakufanya hivyo,huo uwezo wa kuandika heading na subheading zenye mwelekeo huo zinatoa taswira gani?Hebu tujaribu kuwa analytical kidogo

Ni utaratibu au sheria kwamba kabla ya kutoa habari umuulize anae husika na habari hiyo?
Akikataa je?
uko wapi uhuru wa vyombo vya habari?
ingekua hivo unavo dhania mwanahalisi wangekua wanatoka na title kali juu ya RACHEL au JK?
kweli?ndiko unakotaka twende huko kabisa?
 
Binafsi sijaisoma habari ya Tz Daima na wala hayo malalamiko ya Mh Zitto. Lakini kwani suala la kujengwa (au kubomolewa for that matter) kisiasa ni voluntary kwa kiasi gani? Kama mtu anakufanyia vitu fulani (ambavyo unavikubali) na vitu hivyo vinakupa/kuongezea credentials (political or politically), then suala 'kujengwa' (public opinion) naamini linakuwa involuntary kwa muhusika.

Btw, tatizo hapa ni 'kujengwa' (vs kujijenga) au ni nani anakujenga (in this case JK, a CCM Chairman)? Yaani kama ingeandikwa kwa mfano, Mh Mbowe anamjenga Mh Zitto, bado lingekuwa ni Tatizo?

Ni ukweli ulio wazi kwamba "kajengwa" or say kapewa exposure na JK
maana yeye mwenyewe (zitto) kasema JK ndo alimwalika waende nae,..
saivi anamruka tena duh watu hawana shukrani kweli.....
 
Good! Kulingana na mfululizo wa aina ya uandishi Je,unaamini ndani ya Gazeti la Tanzania Daima kuna aina hiyo ya waandishi na wahariri wa aina hiyo?

unaonekana kuwa analytical lakini pia unaonekana kuwa na ajenda inayofanana na ya Zitto kwamba Mh.Mbowe anatumia gazeti lake kummaliza kisiasa. Sijui msimamo wako kabla lakini isijekuwa yaliyokupata kwenye uchaguzi wa BAVICHA ndiyo yamekupa msimamo huo ulionao! Iam just thinking aloud!
 
oh yessssss ! ! Ofcourse wwe dont have! Tatizo tunachukulia magazeti kama misahafu and the cynics out there 'll use this opportunity to impart their malicious stories

Kuna Gazeti moja lilijipambanua kama vibrant paper kwa siku ya jumatano( SIO RAIA MWEMA maanake hilo ni gazeti makini sana na naliheshimu),siku moja nikashangaa baada ya kuenguliwa Uchaguzi wa BAVICHA likatoka na habari ya ajabu yenye uwongo,upotoshaji wa ajabu kabisa.Ukimbana mwandishi anasema sio mimi,nikimuuliza mbona uliruhusu jina lako litumike anaanza kutia huruma.
so,on the subject at stake...its one thing to want more from those who are helping to make changes happen. its another to attempt to ruin their reputation based on false allegations

Kwa wanasiasa Chipukizi, While others rely on name calling and propaganda to see them win the election or attaining their goals at the expense of other peoples reputation, let us take Tanzania politics to new heights, talks without character assassination which is the hallmark of all our political rivals/opponents.

And As for the Media Guys, Don't borrow the moral authority from the office owner/employer because as soon as you leave that office that authority leaves you. I truly Pray,Rai Mwema isije ikaingiliwa tu,ni mfano mzuri wa magazeti makini na yenye waandishi waliostaarabika
I do believe Media office is a pedestal for you to use your strength of character to add value to the office by serving the people you are meant to serve and giving glory to our Creator

Ndio maana tunasema hata sisi wasomaji hatupaswi kuunganisha ya wahariri na wamiliki ni makosa kwa sababu wamiliki si mara zotte wanafanya kazi ya uhariri kwenye magazeti yao au kwenye vyombo vyao, kuna siku Joyce Mhavile na Mama Terry waliitwa bungeni kwa sababu chombo hicho ilisemekana walisema uongo kuhusu bunge walishitakiwa na mbunge hakuenda huko mmliki ambaye ni Mengi,tuwe wa kweli kwenye article hiyo ya Zitto aliyepaswa kutuhumiwa alikuwa mmliki mara ngapi tumewapigia simu wahariri na sio wamiliki kwa upotoshaji wa habari zinazotuhusu
 
Ben, the problem is not what the media reported, I do agree that a media can report anything, but my problem is the way Zitto presents the problem to the public. Is it ok to go to the public and express the weakness of the media in relation to your fellow leader (particularly the one you are working in the same office)? Why cant you resolve these differences at party level before you express it to the public?

Thanks Lukolo,

I have no comment.......Zitto is online,i do believe he'll be in a better position to coment now or later on than me.

Sasa mzee nikitoa comment ya kupinga hili au kukubali si na mimi pia nitakuwa nimeingia kwenye mtego? ha ha ha,acha zako!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom