Zitto: Sijengwi na Kikwete, najijenga mwenyewe

Status
Not open for further replies.
oh yessssss ! ! Ofcourse wwe dont have! Tatizo tunachukulia magazeti kama misahafu and the cynics out there 'll use this opportunity to impart their malicious stories

Kuna Gazeti moja lilijipambanua kama vibrant paper kwa siku ya jumatano( SIO RAIA MWEMA maanake hilo ni gazeti makini sana na naliheshimu),siku moja nikashangaa baada ya kuenguliwa Uchaguzi wa BAVICHA likatoka na habari ya ajabu yenye uwongo,upotoshaji wa ajabu kabisa.Ukimbana mwandishi anasema sio mimi,nikimuuliza mbona uliruhusu jina lako litumike anaanza kutia huruma.
so,on the subject at stake...its one thing to want more from those who are helping to make changes happen. its another to attempt to ruin their reputation based on false allegations

Kwa wanasiasa Chipukizi, While others rely on name calling and propaganda to see them win the election or attaining their goals at the expense of other peoples reputation, let us take Tanzania politics to new heights, talks without character assassination which is the hallmark of all our political rivals/opponents.

And As for the Media Guys, Don't borrow the moral authority from the office owner/employer because as soon as you leave that office that authority leaves you. I truly Pray,Rai Mwema isije ikaingiliwa tu,ni mfano mzuri wa magazeti makini na yenye waandishi waliostaarabika
I do believe Media office is a pedestal for you to use your strength of character to add value to the office by serving the people you are meant to serve and giving glory to our Creator

Ben, sina tatizo kabisa na hii fact kwamba magazeti huwa yakiamua yanapotosha sana. Mbona magazeti haya haya yalimjenga Kikwete hadi akaonekana bonge ya Rais wakati hakuna kitu, na yakamfanya Sumaye aonekane bonge ya fisadi wakati hakuna kitu. So anything can happen with the media and I have no reservation on that regards. Issue ni namna ambavyo baadhi ya viongozi ndani ya chama wanavyokijenga au kukiharibu chama kutoka na kushindwa kuresolve mambo ndani ya chama. kwangu mimi naamini kwamba pamoja na mapungufu yote aliyonayo Mbowe, bado kuonyesha publicly kwamba Mbowe anahusika, kutawapa nafasi wapinzani wa CHADEMA kusema lolote dhidi ya chama. Usishangae kesho magazeti ya CCM na ya Serikali yakatoka na heading: CHADEMA kwafukuta, Zito amtuhumu mwenyekiti wake hadharani. Its no wonder.
 
Ni kweli na kwa mantiki hiyo angeweza kuchaguliwa mbunge yeyote yule kuandamana na Rais. Miezi michache pia nilimuona mbowe na Kikwete wakigonga ulikuwa msiba mmoja hivi sasa angekuwa zitto mgesema anamwambia aende ikulu akapewe uwaziri. Mambo mengine tuwe makini ndugu zangu, kuna ya maana ya kujadili kuliko kufuata kila kona anayokanyaga Mh. Zitto duh.

Nakuunga mkono kwa hilo. Na kwavile Zitto ameshagundua kuwa yeye ni always a target, ni muhimu afanye juhudi yakuchagua what to discuss in face book and what not. Ingekua muhimu ya yeye kueleza wafuasi wake ofisi ya bunge imemchagua kwenda Sudan (kama alivyosema mchangiaji hapo juu) rather than kufocus his energy kwenye gazeti. There are fights that are not worth fighting especially if you know the outcome will not benefit you. Sijajua kama Zitto anakua targeted purposely au anaji-position kuwa kwenye target na hiyo inawapa maadui something to talk about. Either way you said it well!
 
Ben, sina tatizo kabisa na hii fact kwamba magazeti huwa yakiamua yanapotosha sana. Mbona magazeti haya haya yalimjenga Kikwete hadi akaonekana bonge ya Rais wakati hakuna kitu, na yakamfanya Sumaye aonekane bonge ya fisadi wakati hakuna kitu. So anything can happen with the media and I have no reservation on that regards. Issue ni namna ambavyo baadhi ya viongozi ndani ya chama wanavyokijenga au kukiharibu chama kutoka na kushindwa kuresolve mambo ndani ya chama. kwangu mimi naamini kwamba pamoja na mapungufu yote aliyonayo Mbowe, bado kuonyesha publicly kwamba Mbowe anahusika, kutawapa nafasi wapinzani wa CHADEMA kusema lolote dhidi ya chama. Usishangae kesho magazeti ya CCM na ya Serikali yakatoka na heading: CHADEMA kwafukuta, Zito amtuhumu mwenyekiti wake hadharani. Its no wonder.

Lukolo

Chadema inapaswa kufanya semina elekezi kwa viongozi na wabunge wake

Kuna wengine wanakuja hapa kubishana na every tom and dick here na kutoa shutuma kwa viongozi wengine hadi inabidi wapate uokozi wa mods kwa kufutwa posts zao walizotuma na za watu wote wengine walio wa quote!

Sugu yeye kaja na matusi yasiyomithilika facebook

Sio kama tunataka kuvunja demokrasia na kufunga watu mdomo, lakini kanuni za maadili za viongozi wa chama zingepaswa kuwekwa wazi ili wajue mipaka yao
 
We are not sure yet whether this has to do with political rivalry,it could be amateurish journalism or unethical journalism.

It was a general opinion/view......

Ni utaratibu au sheria kwamba kabla ya kutoa habari umuulize anae husika na habari hiyo?
Akikataa je?
uko wapi uhuru wa vyombo vya habari?
ingekua hivo unavo dhania mwanahalisi wangekua wanatoka na title kali juu ya RACHEL au JK?
kweli?ndiko unakotaka twende huko kabisa?

Mhh...Speaker nadhani hatujaelewana! Halafu Hapo kwenye mwanahalisi,No comment for now!

unaonekana kuwa analytical lakini pia unaonekana kuwa na ajenda inayofanana na ya Zitto kwamba Mh.Mbowe anatumia gazeti lake kummaliza kisiasa. Sijui msimamo wako kabla lakini isijekuwa yaliyokupata kwenye uchaguzi wa BAVICHA ndiyo yamekupa msimamo huo ulionao! Iam just thinking aloud!

Duh....ha ha ha! Misimamo yangu siku zote iko huru mkuu.I have made myself an open book, completely transparent to Tanzanians because I want to earn your trust. I do not want to demand trust, but I want to inspire it by the way I live my life and with your help and God's favour I shall continue to do this

Ndio maana tunasema hata sisi wasomaji hatupaswi kuunganisha ya wahariri na wamiliki ni makosa kwa sababu wamiliki si mara zotte wanafanya kazi ya uhariri kwenye magazeti yao au kwenye vyombo vyao, kuna siku Joyce Mhavile na Mama Terry waliitwa bungeni kwa sababu chombo hicho ilisemekana walisema uongo kuhusu bunge walishitakiwa na mbunge hakuenda huko mmliki ambaye ni Mengi,tuwe wa kweli kwenye article hiyo ya Zitto aliyepaswa kutuhumiwa alikuwa mmliki mara ngapi tumewapigia simu wahariri na sio wamiliki kwa upotoshaji wa habari zinazotuhusu

Je unaamini wamiliki wa vyombo vya habari wana mkono katika kile kinachoandikwa au hawana? Kuitwa wahariri au kuwapigia ni formalities tu katika protocal au katika context ya sheria,but when it comes to political fraternity and self Interests ,it's another case
 
Sasa huyu zitto anaudhi kwanini kila siku anakuja kutia huruma kwa wananchi yaani sasa hivi ndio anadhihirisha wazi chadema kuna makundi.
Ben na wewe upo kundi moja na Zitto ila kutokana kawaida ya binadamu kukana najua utakataa ila zitto amekosea kuongelea hili FB iwe habari ni ya uongo au ukweli.
Kupigiwa makofi bungeni kusikutie kiburi ni ukarimu wa wabunge wa TZ hata EL anapigiwa...............
 
Hapa naanza kujenga picha,...
JK kasema anataka amuachie nchi kijana (zitto)
Zitto anachuki na mbowe hata kama hahusiki na habari (labda kama habari imeandikwa na mbowe,...)

JK ni mdini,zitto ni wa dini ya JK,...mbowe ni dini tofauti na zitto na JK,...

so zitto anachuki za udini,otherwise ni vigumu kupinga kilicho andikwa na Tz daima.
SIO LAZIMA KUCHANGIA HIVI.
Ukweli uko palepale kuwa Zitto hatajuwa rais akiwa CDM labda huko CCM au NCCR.
Zitto ni ndumila kuwili yaani hata CCM wabunge wanamuogopa Zitto kuliko wanavyomuogopa MUKAMA as Zitto anaweze kuwachomea kwa JK
 
Gaijin, amelipeleka kwenye vikao vya chama navyo vikashindwa? Nimekuwa kiongozi kwa level fulani though siyo kubwa kama ya Zitto, but kama kuna vitu ambavyo ninakumbuka niliwahi kuonywa, ni namna gani unampresent bosi wako mbele ya jamii. Kiongozi wa juu wa chama ndani ya chama ambacho wewe mwenyewe ni katibu msaidizi huwezi kwenda kumlaumu publicly. Sijawahi kuona hicho kitu kwenye institution yoyote.

Kama Zitto anadhani kwamba anabomolewa au anapigwa vita na Mwenyekiti wake, anayo nafasi ya kuyapeleka malalamiko yake kwenye vikao vya chama. Kama vikao vya chama vimeshindwa, then anayo option moja tu kubwa, kuresign vyeo vyote ndani ya chama na kubaki na kadi tu ya chama kama kweli anakipenda CHADEMA kwa dhati. Na akiona hiyo hailipi, anayo pia nafasi ya kuachana na CHADEMA, Hakuna anayemzuia.

Mbona hatusikii hivi vijembe kutoka kwa akina Mnyika, Lisu, Mkumbo au Slaa? Sijawahi kuona popote pale Slaa, Mnyika au kiongozi mwingine yeyote wa chama akimlaumu kiongozi mwenzake chama kwenye public. Mara nyingi ukiwauliza watakwambia tunakwenda kukaa kwenye vikao vyetu then tutaamua. Sasa huyu Zito ni maadili gani ya uongozi yanayomwelekeza kwamba matatizo ya chama yanatatuliwa na wananchi? Au ndiyo mbinu nyingine ya kukimaliza chama? Ukijenga chuki kati ya wananchi na uongozi wa juu wa chama, wewe utasimama wapi?

Wakuu, politics is all about image making and peoples perceptions will take a politician a long way, and Zitto knows that.
Mi nafkiri tutazame na the other side of the coin.

Je ni lini Dr Slaa, Tundu Lisu au Mnyika waliwahi kuwa portrayed negatively kwa wanachama wenzao kupitia Tanzania Daima?

Je ni uongo Tanzania Daima haipropagate sera za CHADEMA na hivyo lina WAJIBU wa kuhakikisha linaporatray a positive image ya viongozi kwa wanachama? (and please dont tell me halilalii mrengo wowote!)

Je tunajuaje kama baada ya kuchafuliwa huko nyuma, Zitto alishawaface Mweneyekiti wake faragha, na kumtaka amrekebishe mhariri wa Tanzania Daima kwa kuandika "balanced" stories hasa zinazowahusu viongozi wa CHADEMA? Je Mwenyekiti alichukua hatua gani au aliruka tu "mimi siingii news room"!

Hivi nani asiyejua, Zitto kama angepeleka malalamiko kwenye vikao vya chama jibu lingekua "kikawaida mmiliki hana mamlaka ya kuingilia kazi za wahariri?"

Mpaka tuyajibu haya, i still think Zitto has something to compain about!
 
Very true! Zitto anatakiwa aelewe JK ni "political enemy" wa chama chake. Nasisitiza a "political enemy" that being said; how can the enemy of your party be your political friend? Ningemuelewa Zitto kama alikuwa Bar, au kwenye other social gatherings na JK lakini kuwa close kwenye safari za Kisiasa; inazua maswali na inahitaji majibu ya uhakika. Kwa mtizamo wangu wanachama wa CDM wanahaki yakuuliza maswali e.g. ile safari yake ya Sudan aliteuliwa kama nani etc. Naona CDM wanapata wasiwasi na part of the fear ni kwasababu JK hawezi kuwa rafiki yako bila ku-benefit something from you. Trust me on that one! There is something JK is getting from Zitto and its up for CDM members to find that out if it is political related (Personal view). Zitto brother; if your not doing anything wrong take it as a positive challenge, ukweli utajulikana tu. Peleka matatizo yako ndani ya chama, nje ya hapo unasaidia ku-confirm arguments za wale waliokuwa wanakutilia mashaka muenendo wako (wanachama na wasio wanachama).

Ni matumaini Zito kwa umri wake sasa si mtoto tena kwa kujua kuwatumikia mabwana wawali ni mzigo na gharama yake ni kubwa,na itakayogharimu na kuacha sintofahamu kwa watu wengi kwa kuwa kati yao wote hakuna wa kumnyoshea kidole mwenzie.UNAFIKI ni mzigo wa mtu asiyejua dhamila maana yake nini.UKIWA MNAFIKI uswuti na dhamila au UTASHI.UTASHI ndio maamuzi yanayomfanya binadamu kuamua jambo akwa kufikilia gharama za maamuzi yake kabla ya kuteenda hata kama yana faida ya leo.

FIKILI KABLA YA KUTENDA [THINK BEFORE YOU ACT], ni msemo wa wahenga unaotoa ujumbe kwa waja kuwa kabla ujatenda kusudio fulani ni vyema ukafikilia faida na hasara za maamuzi ambayo unakusudia kuyatenda.

Zitto,natarajia UTAFIKILIA gharama ya maamuzi, ambayo wapenzi na wafuasi wa chama chako wanafikilia vichwani mwao.!!!!!!!!!!!!!!Pls TIME WILL TELL.
 
Wakuu, politics is all about image making and peoples perceptions will take a politician a long way, and Zitto knows that.
Mi nafkiri tutazame na the other side of the coin.

Je ni lini Dr Slaa, Tundu Lisu au Mnyika waliwahi kuwa portrayed negatively kwa wanachama wenzao kupitia Tanzania Daima?

Je ni uongo Tanzania Daima haipropagate sera za CHADEMA na hivyo lina WAJIBU wa kuhakikisha linaporatray a positive image ya viongozi kwa wanachama? (and please dont tell me halilalii mrengo wowote!)

Je tunajuaje kama baada ya kuchafuliwa huko nyuma, Zitto alishawaface Mweneyekiti wake faragha, na kumtaka amrekebishe mhariri wa Tanzania Daima kwa kuandika "balanced" stories hasa zinazowahusu viongozi wa CHADEMA? Je Mwenyekiti alichukua hatua gani au aliruka tu "mimi siingii news room"!

Hivi nani asiyejua, Zitto kama angepeleka malalamiko kwenye vikao vya chama jibu lingekua "kikawaida mmiliki hana mamlaka ya kuingilia kazi za wahariri?"

Mpaka tuyajibu haya, i still think Zitto has something to compain about!
Yes he has,but not in a social media we expect him to follow proper channels
 
........................................

Lakini kilichonisikitisha ni kitenda cha Zitto kuweka hoja zake kwa kulihusisha gazeti la Tanzania Daima na Mbowe (mwenyekiti wa CHADEMA). Sidhani kama mhariri wa gazeti anapoihariri habari huwa anampelekea Mbowe aangalie kama habari hiyo inakubalika au haikubaliki. Kwahiyo sioni mantiki ya kuihusisha habari ile moja kwa moja na Mbowe. Na kwa namna nyingine naona kama kauli ya Zitto imelenga kuibua mgogoro mwingine na viongozi wenzake ndani ya chama.
Nawasilisha.

Mkuu hutakiwi kusikitika. Na kama kusikikitika wa kukusikitisha sioZiito labda ungesema huyo mhariri. Kama mhariri anajua Boss wake ni CDM kwa nini aandike habari ambayo itateteresha image ya Chadema kama si kuteteresha image ya kada muhimu wa CDM

Kama mhariri wa Tazania Daima angekuwa hana akili ya kuweka maslahi ya CDM mbele basi tungeona habari nyingine za viongozi wa CDM zenye mtazamo hasi kama ilivyo kwa zitto. So nadhani kwa akili ya mhariri anadhani kwa kumlima ziito ndio mashlahi ya CDM......

Binafsi nadhani huyo Mhariri ndio anaibua mgogoro. Ingekuwa ni gaeti la mwanachi au uhuru sawa.
Sasa kama Mhariri kishaamua kuweka habari yenye tafsiri hasi kwenye public kwa nini Ziito asijisafishe kwa kutumia "gazeti lake" la faceboook?
Yes he has,but not in a social media we expect him to follow proper channels

Ina maana hiyo mhariri wa gazeti hajui kuwa gazeti lake ni kama gazeti la CDM. Anafanya nini ? Is that a proper channel mhariri kuandika habari za chama au mwanachama kwa lugha hiyo. Mpeni zitto break. Mpeni ztto break jamani.
 
Good! Kulingana na mfululizo wa aina ya uandishi Je,unaamini ndani ya Gazeti la Tanzania Daima kuna aina hiyo ya waandishi na wahariri wa aina hiyo?

Nilijuwa lazima litaleta shida, kwani Mwenyekiti wa CCM anatakiwa KUWA Adui na viongozi wa upinzani? Mbona marekani watu wanauhuru wakuchangia hoja au kupiga kura kwa wanavyojisikia wao bila kujali kura ina m favor nani au Chama gani? Wana jamii tunatakiwa kujifunza siasa na sio ushabiki
..Sio kwamba anachotaka Mbowe ni lazima Slaa akikubali !!!!! HUO NI UMBUMBAVU KWENYE SIASA............KILA MTU ANA UHURU WA KUJIAMULIA ANACHOKITAKA .....NA KILA MTU ANAUWEZO WA KUJICHAGULIA MARAFIKI ANAO WATAKA BILA KUJALI CHAMA............... MSIFIKIRI ZITTO KAWEKWA KULE KIGOMA KAMA WABUNGE WENGINE......AKI SWICH CHAMA NA WATU WAKE WOTE WANAHAMA...........PUNGUZENI KELELE

JK KAONA ZITTO HANA KELELE NDIO MAANA KAAMUWA KUMCHUKUA WAENDE NAE SUDAN............. ATAKAAJE NDEGE MOJA NA WATU AMBAO HAWANA RAHA HATA KIDOGO KWENYE NYUSO ZAO........SAFARI ITAKUWA NGUMU SANA....
 
Hii nayo
268266_215471218489571_116393691730658_539658_2474021_n.jpg
 
The thing is you can't expect people to take one story and believe it to be credible today and then ask the same people to not believe another story from the same newspaper just the next day. Of course in a democratic society a newspaper won't cross the line, but we do not live in a democratic society per se
kwanini msitumie KISWAHILI ??au ndio ule ugonjwa wa ukitumia lugha ya kingereza ndio unatoa hoja nzito!! Wasomi wa kibongo bwana
 
Zitto hafai hata kuwa mwenyekiti wa CHADEMA sembuse rais. Ana mambo mengi ya kichinichini sana na mbinafsi. Halafu ana wivu anapoona wenzake wanavutia umati kuliko yeye. Hapa JF ana username moja (naihifadhi) huwa anaitumia sana kumsakama Dr Slaa ili kuonyesha sio bora! Bado tunafuatilia "issues" na asifikiri tumelala.
 
Sasa huyu zitto anaudhi kwanini kila siku anakuja kutia huruma kwa wananchi yaani sasa hivi ndio anadhihirisha wazi chadema kuna makundi.
Ben na wewe upo kundi moja na Zitto ila kutokana kawaida ya binadamu kukana najua utakataa ila zitto amekosea kuongelea hili FB iwe habari ni ya uongo au ukweli.
Kupigiwa makofi bungeni kusikutie kiburi ni ukarimu wa wabunge wa TZ hata EL anapigiwa...............

hujakosea.Huyo dogo ana uwezo mkubwa mno wa propaganda na spinning.Siombei hili litokee lakini ikitokea tukaingia vitani na nchi nyingine tunayo hazina hapa ya Spin Doctor na Bingwa wa propaganda.akubali?haiwezi tokea,atapiga tu chenga za matege atakuvalisha kanzu.hilo ndiyo kundi ambalo Zitto amelipata la kumuongezea nguvu.Si unaona mwelekeo wa maandishi yake?lengo ni kuchanganya watu tu watoke kwenye hoja ya msingi.Tulishawaambia wakaimarishe mtandao wao huko NCCR, tatizo tanzania hatuna assassins wa kutosha tu
 
Mkuu hutakiwi kusikitika. Na kama kusikikitika wa kukusikitisha sioZiito labda ungesema huyo mhariri. Kama mhariri anajua Boss wake ni CDM kwa nini aandike habari ambayo itateteresha image ya Chadema kama si kuteteresha image ya kada muhimu wa CDM

Kama mhariri wa Tazania Daima angekuwa hana akili ya kuweka maslahi ya CDM mbele basi tungeona habari nyingine za viongozi wa CDM zenye mtazamo hasi kama ilivyo kwa zitto. So nadhani kwa akili ya mhariri anadhani kwa kumlima ziito ndio mashlahi ya CDM......

Binafsi nadhani huyo Mhariri ndio anaibua mgogoro. Ingekuwa ni gaeti la mwanachi au uhuru sawa.
Sasa kama Mhariri kishaamua kuweka habari yenye tafsiri hasi kwenye public image kwa nini Ziito asijisafishe kwa kutumia "gazeti lake" la faceboook?

Tunataka Zitto pekee awe malaika, asikosee, afuate taratibu na maadili yote wakati, waliomzunguka hakuna anaefata?

Au ndio wanataka kusema viongozi wengine wote wa Chadema hawana sababu ya kuandikwa negetively ila Zitto?

Siungi mkono kukosoana na Mwenyekiti live, lakini tukitizama tunaona kuwa Mwenyekiti nae amemkosoa Zitto live tena kwa audience kubwa zaidi kuliko ya Zitto

As long as gazeti linamrengo wa kufuata chama, basi kila siku lifanye hivyo, au lisifanye hivyo kila siku. Haliwezi kuwa selective kwa Zitto tu
 
Wakuu, politics is all about image making and peoples perceptions will take a politician a long way, and Zitto knows that.
Mi nafkiri tutazame na the other side of the coin.

Je ni lini Dr Slaa, Tundu Lisu au Mnyika waliwahi kuwa portrayed negatively kwa wanachama wenzao kupitia Tanzania Daima?

Je ni uongo Tanzania Daima haipropagate sera za CHADEMA na hivyo lina WAJIBU wa kuhakikisha linaporatray a positive image ya viongozi kwa wanachama? (and please dont tell me halilalii mrengo wowote!)

Je tunajuaje kama baada ya kuchafuliwa huko nyuma, Zitto alishawaface Mweneyekiti wake faragha, na kumtaka amrekebishe mhariri wa Tanzania Daima kwa kuandika "balanced" stories hasa zinazowahusu viongozi wa CHADEMA? Je Mwenyekiti alichukua hatua gani au aliruka tu "mimi siingii news room"!

Hivi nani asiyejua, Zitto kama angepeleka malalamiko kwenye vikao vya chama jibu lingekua "kikawaida mmiliki hana mamlaka ya kuingilia kazi za wahariri?"

Mpaka tuyajibu haya, i still think Zitto has something to compain about!
Zitto hajawahi kuchafuliwa ni yeye anayejichafua mwenyewe kwa matendo yake.
Tanzania Daima lina mhariri ABSALOM so huyo ndiye atoe ufafanuzi.
uliza pia mbona New Habari coprtn wanasifia hata Zitto anapoteleza?wana maslahi gani kwa Zitto? Zitto kama anadhani anaweza kusimama against umma kwa unafiki wake na afanye hivyo umma utamzoa.Mara ngapi Zitto anajiweka karibu na watuhumiwa wa ufisadi anaambiwa hasikii sasa let him move machenically tuone ana nguvu gani.
 
Lukolo

Chadema inapaswa kufanya semina elekezi kwa viongozi na wabunge wake

Kuna wengine wanakuja hapa kubishana na every tom and dick here na kutoa shutuma kwa viongozi wengine hadi inabidi wapate uokozi wa mods kwa kufutwa posts zao walizotuma na za watu wote wengine walio wa quote!

Sugu yeye kaja na matusi yasiyomithilika facebook

Sio kama tunataka kuvunja demokrasia na kufunga watu mdomo, lakini kanuni za maadili za viongozi wa chama zingepaswa kuwekwa wazi ili wajue mipaka yao
Asilimia mia moja naunga mkono hoja. Hii ni mhimu sana. Ni vema viongozi wa CHADEMA waliomo humu waichukue hoja yako na waifanyie kazi. Thanks Gaijin!
 
SIO LAZIMA KUCHANGIA HIVI.Ukweli uko palepale kuwa Zitto hatajuwa rais akiwa CDM labda huko CCM au NCCR.Zitto ni ndumila kuwili yaani hata CCM wabunge wanamuogopa Zitto kuliko wanavyomuogopa MUKAMA as Zitto anaweze kuwachomea kwa JK
Ha ha ha ha ha ha. Kwi kwi kwi! Unanifanya nicheke kijuha juha na maneno yako.Chadema ni chama cha kidemokrasia na kitabaki hivyo. Sisi tulio ndani ya chama hiki toka kianze ndio tunajua utamaduni wa chadema. Wewe kwa kuwa ni wa kuja na ukazawadiwa ba Ubunge lazima useme hayo unayosema.Napenda nirudie kusema sina umri wa kugombea Urais kwa sasa. Nitamwunga mkono mgombea Urais wa CHADEMA atakayepitishwa ba vikao vya chama wakati utakapofika. Kwa sasa hakuna mgombea Urais CHADEMA na mie wala sioti kuwa mgombea. Kama uropokaji huu unatokana na Urais, mie simo. Kwamba sitaweza kuwa kama ningekuwa nina vigezo, unajidanganya tu na unajua unajidanganya. Chadema ni wanachama. Bring a free and fair election uone!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom