Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
kwanini msitumie KISWAHILI ??au ndio ule ugonjwa wa ukitumia lugha ya kingereza ndio unatoa hoja nzito!! Wasomi wa kibongo bwana
Kuna kanuni yoyote imevunjwa?
Na unapozungumzia wasomi wa kibongo unakusudiaje? Kuwa kila anaeandika setensi mbili za Kiingereza ni msomi?