Zitto: Ninaunga mkono UKAWA!

Zitto: Ninaunga mkono UKAWA!

Mkuu nimemsikiliza kwa makini radio dewstche welle ya ujerumani,ila napenda kusema Bila UKAWA kushirikiana na Zitto kazi bure,Zitto ni master plan in Tanzania political arena.

UKAWA watakuwa FINISHED kabisa mara tu watakapomshirikisha ZZK katika mikakati yao. Of course ZZK na CCM watapenda UKAWA wamwalike Zitto ili aendelee na kibarua alichokuwa nacho kule CHADEMA.
 
Lakini zzk hilo aliisha lihubiri mara nyingi tu kwenye majukwaa ya kisiasa wakat akiwa chadema,atakua anarudia tu kusema
 
Mkuu nimemsikiliza kwa makini radio dewstche welle ya ujerumani,ila napenda kusema Bila UKAWA kushirikiana na Zitto kazi bure,Zitto ni master plan in Tanzania political arena.

watu kama wewe zitto anatakiwa kuwapiga vita sana
 
hatumtaki hata kumsikia,kama angekuwa anaunga mkono angeanzia bungen,leo hii kaona atashuka kisiasa anaanza kufagilia ukawa

jina lako la kiislam lkn tabia yako ilivyo hata hufanani. au ndo mwislam jina.
 
Hivyo anaunga mkono ushirikiano wa UKAWA!
hamuoni ipo haja ya kuacha kumjadili mtu huyu! au?[/QUOTE]

Kwa nini asijadiliwe wakati ni mwanasiasa na bado yuko hai?
Mwambie akafundishe ndio tutaacha kumjadili
 
Maskini,(zama za kale)zzk na act yake.
 
Mkuu nimemsikiliza kwa makini radio dewstche welle ya ujerumani,ila napenda kusema Bila UKAWA kushirikiana na Zitto kazi bure,Zitto ni master plan in Tanzania political arena.

Masterplan zipi hizo wakati kashindwa ndani ya miaka 10 kujenga mtandao wa kuwa na madiwani katika jimbo lake? Mahaba niue ni shida kweli!
 
Guys, let's talk about issues and not individuals. Big brains do not waste their time talking about people!!!

Hebu mwacheni Zitto aendelee na mambo yake, acheni kulidhalilisha jukwaa!!!
 
Huyu jamaa ni wakupeleka Milembe aisee, maana nahisi kuna mda HUWA anapoteza fahamu.
 
jina lako la kiislam lkn tabia yako ilivyo hata hufanani. au ndo mwislam jina.

Pambafu!
Kuna uislam unajadiliwa hapa!
Kafie mbali m.s.e.n.g.e mkubwa wee!!
 
Back
Top Bottom