Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,418
Akae huko huko huyu msaliti, anataka aingie UKAWA anusenuse mikakati ya UKAWA kisha aende TISS apeleke habari nyeti za ndani ya UKAWA. Huyu si mtu wa kuaminika hata kidogo UKAWA wasifanye makosa ya kumkaribisha huyu. Usaliti alioufanya ndani ya CHADEMA umetosha na hadi hii leo hataki kuomba radhi kwa usaliti mkubwa alioufanya.
BAK nitatofautiana na wewe.Kama atashirikiana na UKAWA na wote wakawa na NIA na LENGO moja la kuitoa CCM madarakani,basi UKAWA wanatakiwa wakubaliane naye.Kwani MSIHIRIKI wa mambo yetu ni mwenzetu.
Hata Yesu alisema,ukiona anahubiri na kufanya kama tufanyavyo basi msikataze ni MWENZETU.Cha msingi anatakiwa ajue na ajitoe kabisa.
Ila alikosea sana kujiunga ACT ,nafuu angeenda CUF au NCCR.