....hahhahhaahaaaa eti tukutane October..!! hahhahahhaa daah umenichekesha sana, unajua kijana kuna vitu unavitetea kwa reference za porojo za kwenye mitandao. Bwanamdogo zito anajua alishavuliwa uchadema tangu mwaka jana,ndo maana akaenda mahakamani ili aweke mambo sawa. Sinahaja ya kurudia usaliti na njama ovu za zito,ushahidi upo na ndo maana wajumbe walimvua uanachama tangu mwaka jana. Fahamu kuwa aliitwa kujitetea na hoja zake hazikuwa na mashiko akapigwa chini palepale akakimbilia mahakamani. Unafahamu hoja ya kesi ya zito dhidi ya cdm ? Msingi wa kesi yake ni uhalali wa maamuzi na chombo kilichotoa maamuzi, na si kulalamika kwamba hakupewa nafasi ya kujitetea, that means alijitetea bali haafiki hukumu na uhalali wa mtoa hukumu na si kama unavyoamini wewe.
Kama kuna ukweli unafichwa, nadhani sasa anauhuru woooote wa kusema, kama si msaliti, kwa nini wale wooote waliofukuzwa kwa usaliti ndo washirika wake wa karibu ? Kumbuka hakuna mwenye taimu na zito ndo maana hakuna anayemfuatilia mara baada ya kuangukia pua mahakamani. Tunafuraha kwakuwa tumemtupa mbali msaliti...