AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 6,873
- 5,566
ACT niwapinzani wa kweli! Kujiunga na UKAWA ni lazima hatakama CHADEMA hawataki.Aanzishe umoja wake...aunganishe vyama vya TLP, UDP,ADC, TPP na vingine vichovu vilivyoanzishwa kwa mkono wa CCM
ACT niwapinzani wa kweli! Kujiunga na UKAWA ni lazima hatakama CHADEMA hawataki.Aanzishe umoja wake...aunganishe vyama vya TLP, UDP,ADC, TPP na vingine vichovu vilivyoanzishwa kwa mkono wa CCM
Na kuna waliojiunga na ACT jana huku wakitamba wapo kuisambaratisha CHADEMA.... Leo mwenyekiti wao mtarajiwa akisema anaikubali UKAWA....
Mkuu nimemsikiliza kwa makini radio dewstche welle ya ujerumani,ila napenda kusema Bila ukawa kushirikiana na Zito kazi bure,Zito ni master plan in Tanzania political arena.[/QUOT
Nenda katoe huo uchafu tumboni huko chooni ujipange kuja kumpa line ya tigo zito ili umuongezee umaarufuE]
Hili Taifa tunawatu wasio jiweza kabisa, yaani UKAWA nzima ishindwe sababu ya Zitto.?Mkuu nimemsikiliza kwa makini radio dewstche welle ya ujerumani,ila napenda kusema Bila ukawa kushirikiana na Zito kazi bure,Zito ni master plan in Tanzania political arena.
Eti ACT ni wapinzani wa kweli wakati katibu wake mkuu Mwigamba ameapa kuisambaratisha CUF.ACT niwapinzani wa kweli! Kujiunga na UKAWA ni lazima hatakama CHADEMA hawataki.
hamuoni ipo haja ya kuacha kumjadili mtu huyu! au?
Zitto ni mnafiki amesahau juzi alisema UKAWA ni wasakatonge hata wiki haijapita kaanza ku feel uzito wa kuendesha chama.
Angekuwa anamaanisha anachokisema asingeanzisha chama kipya kuzidi kugawa kura, aache unafiki aungane na SAU hatuwezi kufukuza nyoka kwa mlango huu na kumrudisha kwa mlango ule.
msaliti ataendeleza usaliti ndani ya ukawa... au umesahau alivyouza jimbo kwa Nimrod mkono? shauri yenu jamaa haamini huyo kama vp aungane na hamad rashid waanzishe umoja waoMkuu nimemsikiliza kwa makini radio dewstche welle ya ujerumani,ila napenda kusema Bila ukawa kushirikiana na Zito kazi bure,Zito ni master plan in Tanzania political arena.