Zitto: Ninaunga mkono UKAWA!

Zitto: Ninaunga mkono UKAWA!

Hivi ushirikiano ndani ya Chadema kaushindwa , atawezaje kwenye kundi kubwa ?

Mbinu yake ile ile, ingia wavuruge , halafu sema unajitoa. Ajenge kwanza ACT, si amesema ataipaisha?
 
Umenena kweli kweli tupu tena ikiwezekana aunganishe nguvu na vyama vyote pinzani kasoro ukawa
 
Mkuu nimemsikiliza kwa makini radio dewstche welle ya ujerumani,ila napenda kusema Bila ukawa kushirikiana na Zito kazi bure,Zito ni master plan in Tanzania political arena.

Siyo Kweli, Hakuna Lolote la Maana ataweza Kulileta UKAWA tofauti na Kuwapelekea CCM Taarifa za Kimkakati toka UKAWA. Achana na Kumsifia mtu Kama huyu ni vema akajielekeza CCM badala ya Kurudi UKAWA.
 
msaliti ataendeleza usaliti ndani ya ukawa... au umesahau alivyouza jimbo kwa Nimrod mkono? shauri yenu jamaa haamini huyo kama vp aungane na hamad rashid waanzishe umoja wao

Kwa mara ya kwa natumia kauli hii zito ni kama span malaya kila chama anafaa nenda ads ukaungane na hamd rashid
 
Kwa mtindo wa wachangiaji wa humu nabashiri uhai wa Zitto asipokua makini ni mfupi sana,! Kuna watu wanamchukia and they wish kama asingezaliwa nadhani ndo maana hawakuona hata sababu ya kushiriki msiba uliomkumba kwa mzazi wake. Huku wakidai ni makamanda. Nina shaka lets see tym will tell.
 
...daah kirusi kinatafuta pa kuingilia kuharibu upinzani, mbona alipokuwa chadema alionyesha wazi haungi mkono msimamo wa chama/ukawa hasa kwenye bunge LA katiba. Leo nini kimemgeuza akaipenda ukawa ghafla. plan c at work...

Ulikuwa unaangalia bunge la katiba la nchi gani? Mbona ZZK alikuwa pamoja na UKAWA ikiwa ni pamoja na kupinga muundo wa serikali mbili na hata waliposusia vikao vya bunge la katiba naye hakuthubutu kuhudhuria vikao tena.

Acha unafiki mkuu.
 
Zito ni nimsaliti tena narudia ni msaliti nambatiza si zito tena kwa sasa anaitwa…YUDA ISKALIOT.je akipewa hayoo ! kweli hatoisaliti nchi mama Tanzania …???!
 
Zito ni nimsaliti tena narudia ni msaliti nambatiza si zito tena kwa sasa anaitwa…YUDA ISKALIOT.je akipewa hayoo ! kweli hatoisaliti nchi mama Tanzania …???!

Kwani Amesaliti Nini Mbona Siwaelew
 
Nadhani mwisho wa kumjadili Zitto itakua Pale Prof. J atakapohama Chadema hivi karibuni. Ndo wimbo utachange.
 
Akihojiwa na radio ya Ujerumani (DW) , Zitto amesema ili kuing'oa CCM madarakani vyama vya upinzani vinapaswa kushirikiana au kuungana!

Hivyo anaunga mkono ushirikiano wa UKAWA!
Uliona wapi konokono akashindana na duma kwa mbio? Hatutaki unafki
 
aise huku usukumani tuna asira na huyo muha yaani ccm ya kikwete inavyotuchukulia madini yetu alafu anaenda jenga kwao dar flyover leo huyu muha anafanya njama za kumsaidia kikwete kuua upinzani asikanyage usukumani mpuuzi huyu
 
Huyo ni YUDA ZUBERI KABWE akipata tu mwanya lazima afanye kazi yake maana kwa USALITI kabobea sana na ni MASTERPLAN
Mkuu nimemsikiliza kwa makini radio dewstche welle ya ujerumani,ila napenda kusema Bila UKAWA kushirikiana na Zitto kazi bure,Zitto ni master plan in Tanzania political arena.
 
Back
Top Bottom