Zitto: Ninaunga mkono UKAWA!

Zitto: Ninaunga mkono UKAWA!

Sasa vijana pumzikeni kumjadili Zitto, mnapata hata muda wa kula kweli?
 
Mzito Kabwela aliwaita ukawa kuwa ni WASAKA TONGE iweje leo hii awaunge mkono????? acha aungane na TLP,UDP.
Akihojiwa na radio ya Ujerumani (DW) , Zitto amesema ili kuing'oa CCM madarakani vyama vya upinzani vinapaswa kushirikiana au kuungana!

Hivyo anaunga mkono ushirikiano wa UKAWA!
 
Kirusi daima hakiwezi kusurvive on its own, kinatafuta pa kujishikiza
Kitoswe mbona wakati wa BMK hakikuwaona ukawa? Ngoja aone ilivyokazi kusimamisha na kunadi chama
 
Hivyo anaunga mkono ushirikiano wa UKAWA!
hamuoni ipo haja ya kuacha kumjadili mtu huyu! au?[/QUOTE]

Mkuu mlishindwana wapi na shosti yako Zitto ?
Nilikuhusia mara kwa mara uache kuwa mfuasi wa mtu na uwe mfuasi wa itikadi flani wewe ukaleta ubishi sana,
Umeona sasa yalivyokutokea puani?
 
Last edited by a moderator:
zito ---- tu alitegemea jana angeanza kutengeneza heading kwenye magazeti ,record ambayo ingedumu wiki mbili, kashangaa record imedumu masaa matatu tu ,watu wanaendelea na yao
 
Mkuu nimemsikiliza kwa makini radio dewstche welle ya ujerumani,ila napenda kusema Bila UKAWA kushirikiana na Zitto kazi bure,Zitto ni master plan in Tanzania political arena.

Mmhhh hayo ni mawazo yako tunayaheshimu
 
zito ---- tu alitegemea jana angeanza kutengeneza heading kwenye magazeti ,record ambayo ingedumu wiki mbili, kashangaa record imedumu masaa matatu tu ,watu wanaendelea na yao
Hapa JF amevunja rekodi, wafuasi wa CHADEMA wanaanzisha thread mpya kumhusu Zitto kila baada ya robo saa!
 
Jana Samson Mwigamba kasema ACT inajipanga kuhakikisha inaifuta kabisa CUF maeneo ya yote ya pwani, Leo Zitto anasema anaunga mkono UKAWA:
Tuweni wa kweli tu, hawa Act wanaijua dira yao muhimu ni ipi?
 
Last edited by a moderator:
Hii ni ajabu. Mwigamba amenukuliwa Jana akisema wamejipanga kuisambaratisha CUF pwani yote, Mtwara mpaka Lindi. Leo boss wake mtarajiwa anasema anaunga mkono UKAWA. Mbona ufalme unaanza kufitinika bado asubuhi!!! Tungoje wakati useme, tutasikia mengi sana.
 
CCM yalisema UKAWA haiwezi kufika mwezi mmoja tangu waondoke bungeni BMK, wakasema ati posho itawarudisha wengi. Hakurudi hata mmoja. Wakasema madaraka yatawasambaratisha kwani kila mmoja ana uchu wa madaraka. Mpaka leo, uchaguzi wa serekali za mitaa umeonesha ukomavu wa UKAWA yene miezi tuu tangia izalike.

Sasa, walisema akiondoka ZZK CDM kwisha habari. Wakaona hakuna mtikisiko. Sasa wanataka kumleta UKAWA ili waseme CDM ni wabaguzi, lazima wampokee kwani ni wa upinzani.

Waambieni maccm, ACT si wapinzani, walianzishwa na ccm kuuharibu upinzani, wamefanikiwa kumnasa huyo mbigili zzk ili akiweza tu kuupenya upinzani, baasi aanze fitna zake na mbwembwe zake atuvuruge. Tumejitosheleza, hatuhitaji mtu mwenye mvuto wake pekee, tunataka chama chenye mvuto sio mtu.

Ushauri kwa zzk, amwone mzee wa Kiraracha, amwone mzee mapesa, wako kina UPDP wako wengi tu waliokaa BMK wakivuta noti zao. Huo ni mtaji tosha kununulia kura.

Sisi tulio waachia hizo noti, hatuna kitu cha kuhonga, tutawaendea wananchi tuwaeleze ya moyoni hatuhitaji kujulikana kwa mtu ni chama. UKAWA yatoshaaaaaa.
ni kweli mkuu, je ghafla akifa, una maana wanao mfwata fwata siasa kwao ndio basi?!.
 
...daah kirusi kinatafuta pa kuingilia kuharibu upinzani, mbona alipokuwa chadema alionyesha wazi haungi mkono msimamo wa chama/ukawa hasa kwenye bunge LA katiba. Leo nini kimemgeuza akaipenda ukawa ghafla. plan c at work...

Zitto kama mwanasiasa hana tatizo na ukawa, kwani chadema si wamekula matapishi yao, yaani wameungana na waliberal CUF ilikupata nguvu kwenye Bunge la katiba na chaguzi za serikali za mitaa, wakisha maliza uchaguzi mkuu CUF watatelekezwa na kutukanwa kama awali
 
Mkuu nimemsikiliza kwa makini radio dewstche welle ya ujerumani,ila napenda kusema Bila UKAWA kushirikiana na Zitto kazi bure,Zitto ni master plan in Tanzania political arena.
Mkuu si Zitto huyohuyo aliyewaita UKAWA wasaka tonge,leo hii na yeye ameshageuka msaka tonge.
 
Akihojiwa na radio ya Ujerumani (DW) , Zitto amesema ili kuing'oa CCM madarakani vyama vya upinzani vinapaswa kushirikiana au kuungana!

Hivyo anaunga mkono ushirikiano wa UKAWA!

Lengo la CCM kuvuruga CHADEMA kwa kumtumia zito akiwa CHADEMA limeshindwa sasa anakuja kuvuruga UKAWA ili CCM iendelee kutawala. Please Viongozi wa UKAWA kataeni kwa HERUFI KUBWA. Msikaribishe kirusi.
 
Mkuu nimemsikiliza kwa makini radio dewstche welle ya ujerumani,ila napenda kusema Bila UKAWA kushirikiana na Zitto kazi bure,Zitto ni master plan in Tanzania political arena.

uzezeta huu panya road hawezi kuwa paka road
 
Back
Top Bottom