ZZK was my mentor in those days...tatizo simuamini tena....matendo yake ya kuwa very independent yananikatisha tamaa..
I wish angeshirikiana vzuri na Dr na Mbowe na wananchi tukaona pasi na shaka kwamba wanashirikiana.
Wanao uwezo wa kubadilisha mengi ktk nchi hii.
Wala sio lazima any of them awe Rais..Kuna weakness ktk CDM ktk TEAM SPIRIT. Wengi wanategemea individual efforts..
UMOJA NI NGUVU..
I wish angeshirikiana vzuri na Dr na Mbowe na wananchi tukaona pasi na shaka kwamba wanashirikiana.
Wanao uwezo wa kubadilisha mengi ktk nchi hii.
Wala sio lazima any of them awe Rais..Kuna weakness ktk CDM ktk TEAM SPIRIT. Wengi wanategemea individual efforts..
UMOJA NI NGUVU..