Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,198
- 7,539
kuna uhusiano wa karibu sana.kitu chochote kile huanza na imani na kisha utendaji.ndo maana hata nyrere alisema ujamaa ni imani.kwa hiyo mtu ukishajenga imani kuwa wewqe ni bora zaidi ya wenzako ni tatizomimi binafsi sioni uhusiano wa karibu kati ya watu kuitwa waheshimiwa na suala la ufisadi.[this means coefficient of correlation is equal to zero].