johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,023
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo mzee Juma Duni Haji amesema wao ndio walimshawishi Rais Samia hadi akakubali kuruhusu Mikutano ya hadhara
Naye KC Zitto Kabwe ameitaka serikali kuwavua Ujaji wale Walioficha Fedha China na kuwafungulia Mashtaka mara moja
Source ITV habari
Naye KC Zitto Kabwe ameitaka serikali kuwavua Ujaji wale Walioficha Fedha China na kuwafungulia Mashtaka mara moja
Source ITV habari