Kamanda Zitto yuko hewani kwenye kipindi cha kumekucha cha ITV akiongelea walioficha fedha Uswis.
Kabisa ndugu yangu. Tumelisema sana hili. Mwaka 2006 niliwahi kuhojiwa na kutamka sitaki kuitwa mheshimiwa. Ukisoma maandishi yangu au hotuba zangu bungeni ninaita watu ndugu. Hata interview ya juzi JF nimeita watu ndugu. Dkt. Slaa alilisema pia hili.
Tulipinge kwa kuwa Kinana kasema? Kinana ndio kasema baada ya sisi kusema, hivyo yeye katuiga sisi.
AMUOMBE PIA BW JANGILI AWE KAMPENI MENEJA WAKE KT HARAKATI ZA KUGOMBEA URAISI KUPITIA CHADEMA KWAN KINANA NI MENEJA MZUR WA KAMPENi
Kwa nini hamuungi katibu Mkuu CDM na ziara yake DSM???Kutoka kipindi cha mahojiano asubuhi hii ITV Zitto Kabwe ametangaza kumuunga mkono Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Kinana kwa uamuzi wake wa kukataa na kukataza wanaccm kuitana waheshimiwa. Anasema tulipoacha kuitana Ndugu ndipo matabaka na kasi ya kujilimbikizia Mali na madaraja katika utoaji huduma ilipoanza. Je, Ndugu ni physchological factor katika kujenga nchi moja. Tuendelee na mjadala.