Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,411
- 31,400
Wewe unakujahapa ukiwa kazini.hivi hawa akina Nguruvi na mchambuzi bado wako kwenye hii thread? naona kabisa hawana mshipa wa aibu kama sitti mtemvu? mwenzao alikubali ku surrender!
kama kuna mwaka Nguruvi na mchambuzi wameingia chaka na kuaibika bais ni katika hili swala!! naona ignore niliyowapa kama haitoshi vile!!
Kama ni aibuyetu wewe inakusumbua nini.
Rekodi za JF zinaonyesha kama si mtumishi wa ndanini mwajiriwa wa kisiasa. Wahi kafungue geti