Imetimia miaka 4 tangu Katibu Mwenezi wa CCM, Paulo Makonda apigwe marufuku kukanyaga Marekani kwa Tuhuma za kudhulumu ‘Haki za watu kuishi’

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,708
218,255
Ni vema tukakumbushana kwamba siku kama ya leo miaka 4 iliyopita , Ndugu Paulo Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam alitangazwa na serikali ya Marekani kwamba anadhulumu haki za watu kuishi , na kwamba kwa tuhuma hiyo amepigwa marufuku kukanyaga Nchini Marekani na Nchi washirika wa Marekani .

Kwa tafsiri rahisi , mtu anayedhulumu haki ya watu kuishi , maana yake ni MTU ANAYEWAUA WATU HAO

Cha kushangaza ni ujasiri wa CCM kumteua mtu wa namna hii kuwa kiongozi wa kitaifa wa chama hicho , Yaani Chama cha Nyerere , Warioba , Kawawa na Msekwa leo kinateua mtu mwenye tuhuma nzito kama hizi kuwa kiongozi wake ! kwamba chama hiki kimelenga jambo gani hasa na Je hakuna Wanachama wengine waadilifu wa kupewa cheo hicho au ni dharau kwa Wananchi na kwa Serikali ya Marekani ?
Screenshot_2024-02-02-12-21-27-1.png
 
Ni vema tukakumbushana kwamba siku kama ya leo miaka 4 iliyopita , Ndugu Paulo Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam alitangazwa na serikali ya Marekani kwamba anadhulumu haki za watu kuishi , na kwamba kwa tuhuma hiyo amepigwa marufuku kukanyaga Nchini Marekani na Nchi washirika wa Marekani .

Kwa tafsiri rahisi , mtu anayedhulumu haki ya watu kuishi , maana yake ni MTU ANAYEWAUA WATU HAO

Cha kushangaza ni ujasiri wa CCM kumteua mtu wa namna hii kuwa kiongozi wa kitaifa wa chama hicho , Yaani Chama cha Nyerere , Warioba , Kawawa na Msekwa leo kinateua mtu mwenye tuhuma nzito kama hizi kuwa kiongozi wake ! kwamba chama hiki kimelenga jambo gani hasa na Je hakuna Wanachama wengine waadilifu wa kupewa cheo hicho au ni dharau kwa Wananchi na kwa Serikali ya Marekani ?View attachment 2891664
Mbona, mm sijawahi fika marekani lakin nasomesha watu huko marekani. Kwan ukiishi tu Tanzania unakosa hewa, ya uhai? Jaman ondeeni fangasi kichwani ili muweze, kufikiri vizuri. Sio kila uchafu inakuwa thread. Jaribuni kutuheshimu.
 
Wapi kwenye hiyo statement imezungumzia mauaji?Kila mwenye akili timamu anajua Makonda alikuwa targeted kwa kupinga ushoga.
Kama unapendelea ushoga endelea nao lakini usituletee hiyo smokescreen ya Wamarekani.
Kipi hukijui tukuwekee hapa ?
 
Ni vema tukakumbushana kwamba siku kama ya leo miaka 4 iliyopita , Ndugu Paulo Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam alitangazwa na serikali ya Marekani kwamba anadhulumu haki za watu kuishi , na kwamba kwa tuhuma hiyo amepigwa marufuku kukanyaga Nchini Marekani na Nchi washirika wa Marekani .

Kwa tafsiri rahisi , mtu anayedhulumu haki ya watu kuishi , maana yake ni MTU ANAYEWAUA WATU HAO

Cha kushangaza ni ujasiri wa CCM kumteua mtu wa namna hii kuwa kiongozi wa kitaifa wa chama hicho , Yaani Chama cha Nyerere , Warioba , Kawawa na Msekwa leo kinateua mtu mwenye tuhuma nzito kama hizi kuwa kiongozi wake ! kwamba chama hiki kimelenga jambo gani hasa na Je hakuna Wanachama wengine waadilifu wa kupewa cheo hicho au ni dharau kwa Wananchi na kwa Serikali ya Marekani ?View attachment 2891664
🤣🤣 Kwan marekani ni jirani au ni njia ya kuingia mbinguni 🤣

Joe Biden pia ana ban ya kuingia china na North Korea 🐒

Lakini pia Bunge la Yemen limeitambua kisheria kwamba marekani ni nchi ya kigaidi 🐒

mhm kwahiyo..
 
🤣🤣 Kwan marekani ni jirani au ni njia ya kuingia mbinguni 🤣

Joe Biden pia ana ban ya kuingia china na North Korea 🐒

Lakini pia Bunge la Yemen limeitambua kisheria kwamba marekani ni nchi ya kigaidi 🐒

mhm kwahiyo..
Jikite kwenye mada
 
Ni vema tukakumbushana kwamba siku kama ya leo miaka 4 iliyopita , Ndugu Paulo Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam alitangazwa na serikali ya Marekani kwamba anadhulumu haki za watu kuishi , na kwamba kwa tuhuma hiyo amepigwa marufuku kukanyaga Nchini Marekani na Nchi washirika wa Marekani .

Kwa tafsiri rahisi , mtu anayedhulumu haki ya watu kuishi , maana yake ni MTU ANAYEWAUA WATU HAO

Cha kushangaza ni ujasiri wa CCM kumteua mtu wa namna hii kuwa kiongozi wa kitaifa wa chama hicho , Yaani Chama cha Nyerere , Warioba , Kawawa na Msekwa leo kinateua mtu mwenye tuhuma nzito kama hizi kuwa kiongozi wake ! kwamba chama hiki kimelenga jambo gani hasa na Je hakuna Wanachama wengine waadilifu wa kupewa cheo hicho au ni dharau kwa Wananchi na kwa Serikali ya Marekani ?View attachment 2891664
Kitu pekee hujui ni Marekani hana rafiki wala adui wa kudumu, pale Ilikua sababu JPM alizuia wao kupata madini na makinikia, leo hii unategemea itakua hivyo, hawajawahi kuwajali uhai wa maskini maslahi yao, Angalia utawala wa Rwanda unavyominya watu wake Ila kwa sababu anaiba Kongo na kuwapelekea wao hamna shida, angalia Netanyahu
 
Back
Top Bottom