Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,787
Mkuu Uaminifukazi,
Nimekusoma vyema sana.
Ukweli siku zote utasiama tuh hata kama utapingwa pingwa na wasaka tonge kama kina nguruvi3 na jamaa zake.
Leo aibu tele zimemjaa,
teh teh teh
mh huyu jamaa ana moyo sana sikukosea sana kumbe; jaji werema kabebeshwa zigo hana mtetezi...