Zitto: Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema "Hatutetereki"

Zitto: Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema "Hatutetereki"

hivi nyie watu huo upumbavu wenu utaishia lini? hivi kwa akili yako unafikiri zzk ni mtu wa kukaa nakuandaa kitu ili awe maarufu!? kajipange huna hoja mkuu!
Unajua wewe ndiyo mpumbavu zaidi Laiza ameandika kitu cha msingi kabisa wewe unakimbili kutukana zitto ni mbugila kwa sababu hata hii hocha ya kukamata watumishi wa TPDC alitumia sheria gani tangu lini bunge limeanza kuadhibu watumishi wa umma,zitto anacheza na akili za watu anaona kaisha kisiasa anatafuta atoke vipi katika haya mambo zitto anamaslahi binafsi wala siyo bure polepole atazidi kuumbuka mchana kweupe subirini mda siyo mwingi atabaki uchi hata ule uchawi wake hauwezi kufanya kazi zama hizi.
 
Unapoonekana kukwamisha hii habari ya zito Na kila kith nipo wazi mpaka waziri mkuu ameshasema.kwanini nisiseme unatetea wezi? Kuhusu hatua iliyofikiwa Ni kwamba tayari ripoti ipo kwa waziri mkuu anajipanga namna ya kuitoa kwa Bunge. Kamati ya Bw.Zitto ilishamaliza kazi take.

Kamati ya zitto imemaliza kazi ipi?

na hiki alichoandika hapa zitto kina uhusiano gani na kamati ya bunge?

Kumtetea onginga na mtoto wake,shell, na kuumizwa na kuona serikali ya ccm inataka kuangushwa na huu ufisadi ndio kupinga ufisadi.

Hivi umesoma hii taarifa wewe au umeipitia tu.
 
Anasema nchi yake kwanza,wrong or right.

mimi nchi yangu kwanza only when right.

Si useme tu utasimama na nchi yako pale ambapo hujalipwa mlungula, ukipewa chako(mgao) unakuwa kama samaki aliyening'ia ndoano kufuata boss wako anayekupeleka chooni wewe na mkeo...!
 
Akili mgando.
Hata gavana wa BOT anaweza kukusa million moja.

Kuwa na pesa nyingi na kukosa kidogo ni kawaida tu katika maisha ya kila mmoja wetu.

Zitto ni fisadi ila ni mpiga dilli hata la buku kumi. Tunamjua.

Mara ngapi tunakunywa nae anaomba kulipiwa round?

Tena ya castle lite siyo jack Daniel.

Usiwe na akili mgando kama GT
Katika hili nakuunga mkono pompo zitto ni mpigaji kuliko kawaida halafu akiona amestukiwa anakimbilia kwa wananchi kujikosha kwa kuwahadaa atukome tushamjua sasa inatosha hawezi kutudanganya tena akome mwizi huyu.
 
Bwana Zitto Ruyagwa Kabwe kwa nini usivuke daraja ukilifikia??? unachofanya sasa ni sawa na kuvuka daraja ukingali mbali na kingo za mto...Na hii inadhihirisha wazi kuwa siku zote mtoto mchokozi ndiye huwa wa kwanza kukimbilia kwa wazazi kushtaki...Bwana Ruyagwa kwanza ulikosea sana tena sana na umejishushia hadhi yako sana pale ulipotamka ati viongozi wa TPDC wapelekwe Polisi, lakini pili pamoja na kupelekwa Polisi wewe kama mlalamikaji (mtetezi wa unachokiita rasilmali za umma) ulipaswa kwenda kituoni na kufungua shauri pale..kwa kuwa ulikuwa unajua wazi kuwa unajaribu kujijengea umaarufu wa rejareja ndio maana hukuthubutu kwenda na wakaachiwa na baadaye tukapata taarifa kuwa umekiuka taratibu za kibunge...Nikija kwenye utetezi wako wote huu naona ni yale yale ya kuvuka mto kabla..Mmekwishakubaliana bungeni CAG na Dr.Hosea wafanye uchunguzi...wamefanya na kabla hawajamaliza mnakuwa watu wa mwanzo kubwatuka bungeni kwa kuwa tu mna kinga za kibunge ili muudanganye umma wa Tanzania kuwa kweli kuna ufisadi.

Kama mnao uhakika wa ufisadi huo tulieni tuliii..subirini ripoti itakuja kamati yako itapewa na bungeni itasomwa, hapo ndipo pa kuanzia kwani mbivu na mbichi zitakuwa tayari zimejulikana...Mimi nawaona wewe na Kafulila kama mnatumiwa na mna maslahi binafsi na ndio maana hamuachi vyombo vilivyopewa kazi hii vikamilishe kazi yake...Zile zama za Mbunge kuropoka na serikali kumwajibisha waziri zimepitwa na wakati kwani mawaziri wa sasa sio wale unaowadhani wapenda mshiko..hawa ni wazalendo kuliko wewe na wanafanya kazi kwa uadilifu wa hali ya juu...historia yao na yako zinaweza kulinganishwa ukaona wazi kuwa wewe umeibuka haraka katika kipindi kifupi tu

Bwana Zitto na Kafulila wacheni kupiga mayowe...tuachieni sisi tuone wenyewe. Zitto

Kaka nakuona kama nawe ni mnufaika wa hyo mikataba siri ya ges na mafuta.
Hongera sana mzalendo zaid ya zitto
 
Last edited by a moderator:
Zitto kabwe,
kwanza umefanya vema kujitokeza kujibu tuhuma zinazokukabili lakini unaonekana kutumia akili pana sana kujibu tuhuma zako hasa kwa kutumia maneno ya kulaghai badala ya kumibu hoja asilia,ninashaka na maneno yako hasa kwenye maeneo haya,

kwanza,umesema kampuni ya shell haifanyi biashara hivi kunakampuni ambayo inaweza kuanzishwa siyo kufanya biashara? Kama haifanyi biashara inafanya kazi gani sasa.

Pili utakumbuka kwenye tuhuma zako unatuhumiwa kuazimwa au kukopeshwa kiasi cha milioni sita na kampuni moja wapo hapa nchini pesa hiyo ilitumika kwenda kumtibia mama yako kwanini hujasema hiyo pesa ulipewa kwa makubaliano gani au ulipewa kama msaada au kama mikopo mingine ili urudishe.

suala lako la kupewa hela na ubarozi wa uingeleza siyo jipya hata wakili wako ambaye sote tunamjua anayetokea mkoa wa kaskazini unamtumia sana kwenda kuchukua pesa zako za madili kutoka kwenye makampuni kadhaa unachofanya pesa nyingi huchukui wewe unatuma watu kwaniaba yako.

zipo sehemu mbili ambazo wakili wako amechukua pesa kwa maelekezo yako na amesainishwa siku moja hiyo document utawekewa hapa ila mnamuaibisha sana wakili wako japo hapendi unavyofanya lakini wewe unasema huwezi kuacha kuwasaidia waingeleza umetoka nao mbali.

jambo lingine ni wewe kutumiwa na nimrod mkono kiukweli hili unavyokataa binafsi mimi nakuona kituko mkono hajaanza leo kukutumia mpaka anakununulia ile gari ambayo kwasasa umeikodisha ni katika makubaliano yenu ya baadhi ya kazi unazomfanyia za kutumika kiukweli zitto nilikuwa shabiki wako sana tangu nijue kuwa wewe mla rushwa nakuweka kundi moja na wachumia tumbo wengine na hii tabia ya rushwa na wizi sasa umemfundisha hata deo filikunjombe.

ushauri wangu kwako fanyeni yote mnayofanya watanzania wasije kuwajua lakini siku moja wakijua mtachomwa moto mchana kweupe.

rudia kusoma post,gombe ndio haifanyi biashara na sio shell,acha maneno mengi, kama una ushahidi uweke hapa lakini usubiri sakata la escrow tegeta limepita,hatutaki mtutoe kwenye mstari
 
Huyu Sangarara kama ni binti atakae muoa atakuwa hana maisha marefu presha itamuua. Kama wewe ni mwanaume basi kuna kosa limetokea ktk Genes utakuwa umebeba Genes za kike nying sana.
 
Last edited by a moderator:
Akili mgando.
Hata gavana wa BOT anaweza kukusa million moja.

Kuwa na pesa nyingi na kukosa kidogo ni kawaida tu katika maisha ya kila mmoja wetu.
Zitto ni fisadi ila ni mpiga dilli hata la buku kumi. Tunamjua.

Mara ngapi tunakunywa nae anaomba kulipiwa round?

Tena ya castle lite siyo jack Daniel.

Usiwe na akili mgando kama GT

Umevurugwa wewe, huwezi kuwa na hela then hela ya kumtibu mzazi uanze kukopa watu...!

Mambo ya starehe huko bar kila mtu analipa na kupewa ofa, hii iko obvious...!

Then utakuwa mnafiki sana kama unakunywa na Zitto bar moja halafu unakuja kutangaza huku,

Hivi wewe ni liCCM au lipuuzi lenye chuki tu na Zitto
 
Last edited by a moderator:
Zitto wa escrow sio sawa na zitto wa buzwagi. Msukumo wa buzwagi ulikuwa ni uzalendo, msukumo wa Leo ni kujisafisha.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nilidhani mashabiki wa CDM wangekuwa mstari wa mbele kuunga mkono vita ya ufisadi bila kujali nani anaongoza mapambano. Badala yake imekuwa vita dhidi ya Zitto.

Tunayo kazi kubwa sana kama taifa kuungajisha nguvu kupambana na ufisadi.

Wenyewe wamekaa pembeni wanashangilia jinsi tunavyofarakan.

Haiingii akilini eti Zitto akope just six millioni. Tungo nyingine za kijinga kweli kweli.
 
Si useme tu utasimama na nchi yako pale ambapo hujalipwa mlungula, ukipewa chako(mgao) unakuwa kama samaki aliyening'ia ndoano kufuata boss wako anayekupeleka chooni wewe na mkeo...!

Usidhani watu wote wapiga dili kama Zitto.

●Kama una muda fuatilia thread ambayo uongozi wa JF na members alihojiwa live.

●Angalia alichokuwa anakisema na sasa hivi anafanya nini?

•Mwambie akuambie hela za ujerumani alikuwa anazipata vipi.

Ubunge wake wa kifisadi kasaidiwa na mahakama. Sasa anajifanya PAC.
 
Masele ndo anaandaliwa kisaikolojia awe mbuzi wa kafara,
Sisi hatutaishia kuchinja mbuzi pekee, tutadeal na mchunga mbuzi pia.
 
Acha kuongea sana.

Heading inasema mambo ya PAC,na kamalizia kwa kujitambulisha kama mwenyekiti wa PAC.

Unaweza kunisaidia ni namna gani mambo ya onginga,watoto wa onginga,shell,ceo wa shell na serikali ya kenya vina mahusiano na kutokutetereka kwa PAC?

Kama kahusishwa na hayo mambo wewe ungependa aongelee kuhusu nini.
 
Akili mgando.
Hata gavana wa BOT anaweza kukusa million moja.

Kuwa na pesa nyingi na kukosa kidogo ni kawaida tu katika maisha ya kila mmoja wetu.

Zitto ni fisadi ila ni mpiga dilli hata la buku kumi. Tunamjua.

Mara ngapi tunakunywa nae anaomba kulipiwa round?

Tena ya castle lite siyo jack Daniel.

Usiwe na akili mgando kama GT

This is called catch 22, ama ukubali kuwa Zitto amehongwa bilioni moja au uakatae then ukubali kuwa amehongwa milioni sita. Kwani kuhongwa kwake biilioni hakuleti mantiki ya kuhongwa milioni sita.

Uongo ni kitu kibaya, hasa unapokuwa mwingi hadi unapoteza maana.
 
Sijawahi kutilia mashaka utendaji wa Zitto,ESCROW akaunti mpaka kieleweke.
 
Huyu Sangarara kama ni binti atakae muoa atakuwa hana maisha marefu presha itamuua. Kama wewe ni mwanaume basi kuna kosa limetokea ktk Genes utakuwa umebeba Genes za kike nying sana.
CHAMVIGA nondo za Sangarara hazijibiki? Mambo ya jinsia yake sio sehemu ya mjadala huu. Hata Zitto hakuanzisha huu mjadala ili tuhojiane jinsia. Kama huna hoja za kumjibu Sangarara tulia soma hoja za wenzako
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom