Zitto: Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema "Hatutetereki"

Zitto: Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema "Hatutetereki"

Hili suala la ESCROW haliwezi kufika kokote ndugu zangu hii ni tamthilia tu. Kwa bunge hili la Makinda hawezi kuruhusu hoja hii kujadiliwa bungeni. Pili kwa mapendekezo ya Baraza la Usalama la Taifa Rais atajua jinsi ya kuahidi kulifanyia kazi na iwapo Bunge halitakuwa limeridhika na maamuzi ya Rais basi wataibua hoja. Sababu kuu ni kwamba lazima baraza la mawaziri wajadili taarifa hizo kabla ya kwenda Bungeni.
Ni mtazamo wangu.
 
We kweli Popo, kwann mnaandaa vijarida, vipeperushi, mnanunua magazeti, sijui maninini makorokocho ujinga mtupu, mara ooo kakopa mil.6 ...! Ujinga huu yaani Zitto anayetuhumiwa kupokea bil.3 kwa maCCM ili aiuwe CDM leo hana hata mil6... Akili mgando kabisa
 
Mimi CCM lakini napenda viongozi wanaoibana Serikali yangu kwa hoja makini kama hizi. Tusubiri Taarifa ya Uchunguzi.
 
Zitto kabwe,
kwanza umefanya vema kujitokeza kujibu tuhuma zinazokukabili lakini unaonekana kutumia akili pana sana kujibu tuhuma zako hasa kwa kutumia maneno ya kulaghai badala ya kumibu hoja asilia,ninashaka na maneno yako hasa kwenye maeneo haya,

kwanza,umesema kampuni ya shell haifanyi biashara hivi kunakampuni ambayo inaweza kuanzishwa siyo kufanya biashara? Kama haifanyi biashara inafanya kazi gani sasa.

Pili utakumbuka kwenye tuhuma zako unatuhumiwa kuazimwa au kukopeshwa kiasi cha milioni sita na kampuni moja wapo hapa nchini pesa hiyo ilitumika kwenda kumtibia mama yako kwanini hujasema hiyo pesa ulipewa kwa makubaliano gani au ulipewa kama msaada au kama mikopo mingine ili urudishe.

suala lako la kupewa hela na ubarozi wa uingeleza siyo jipya hata wakili wako ambaye sote tunamjua anayetokea mkoa wa kaskazini unamtumia sana kwenda kuchukua pesa zako za madili kutoka kwenye makampuni kadhaa unachofanya pesa nyingi huchukui wewe unatuma watu kwaniaba yako.

zipo sehemu mbili ambazo wakili wako amechukua pesa kwa maelekezo yako na amesainishwa siku moja hiyo document utawekewa hapa ila mnamuaibisha sana wakili wako japo hapendi unavyofanya lakini wewe unasema huwezi kuacha kuwasaidia waingeleza umetoka nao mbali.

jambo lingine ni wewe kutumiwa na nimrod mkono kiukweli hili unavyokataa binafsi mimi nakuona kituko mkono hajaanza leo kukutumia mpaka anakununulia ile gari ambayo kwasasa umeikodisha ni katika makubaliano yenu ya baadhi ya kazi unazomfanyia za kutumika kiukweli zitto nilikuwa shabiki wako sana tangu nijue kuwa wewe mla rushwa nakuweka kundi moja na wachumia tumbo wengine na hii tabia ya rushwa na wizi sasa umemfundisha hata deo filikunjombe.

ushauri wangu kwako fanyeni yote mnayofanya watanzania wasije kuwajua lakini siku moja wakijua mtachomwa moto mchana kweupe.

Tusubiri Report ya Uchunguzi
 
Si sahihi kumbeza ZZK. Tumwache tuone aragikia wapi. Wasiompenda waweke chuki pembeni. Wasiomwamini waweke shaka pembeni ili tumpe muda. Asisakamwe sasa. Akikwama bila shaka atasema.
 
Rutashoborwa ZZK tunajua ni size ya Nape naswaiba wake, furahi basi!!
Mashaka yangu ZZK hawezi kuwa mzalendo wa kweli bila hiden agenda!!
 
U wil alwys remain to be a true figure when my country is snitched...zzk fight n i wil b da last to believe in dose roumers....by da way thnx cz u answer dem wth facts lets wait for dem to rise others while the tym for doing their blunders approachn to zero
 
Si sahihi kumbeza ZZK. Tumwache tuone aragikia wapi. Wasiompenda waweke chuki pembeni. Wasiomwamini waweke shaka pembeni ili tumpe muda. Asisakamwe sasa. Akikwama bila shaka atasema.

Inawezekana kuna kitu sielewi.

Pccb na cag wamefanya uchunguzi wote wanasema wamemaliza,report iko kwa pinda wengine wanasema hsijafika kwa pinda wengine wanasema atapewa rais.

Sasa wewe unaposema tumpe muda zitto juu ya hili, unazungumzia muda wa yeye kufanya nini?
 
U wil alwys remain to be a true figure when my country is snitched...zzk fight n i wil b da last to believe in dose roumers....by da way thnx cz u answer dem wth facts lets wait for dem to rise others while the tym for doing their blunders approachn to zero

Zitto kaweka fact gani hapa? Nisaidie kuona ndugu.
 
Pumba kabisa, eti seth aliangusha serikali ya kenys,kwa hiyo unachokifanya ni kuzuia serikali ya ccm isuanguke?

Mkuu sjajua wewe ni jinsia gani ila cha msingi tu acha kuwashwa!
 
Zitto kabwe,
kwanza umefanya vema kujitokeza kujibu tuhuma zinazokukabili lakini unaonekana kutumia akili pana sana kujibu tuhuma zako hasa kwa kutumia maneno ya kulaghai badala ya kumibu hoja asilia,ninashaka na maneno yako hasa kwenye maeneo haya,

kwanza,umesema kampuni ya shell haifanyi biashara hivi kunakampuni ambayo inaweza kuanzishwa siyo kufanya biashara? Kama haifanyi biashara inafanya kazi gani sasa.

Pili utakumbuka kwenye tuhuma zako unatuhumiwa kuazimwa au kukopeshwa kiasi cha milioni sita na kampuni moja wapo hapa nchini pesa hiyo ilitumika kwenda kumtibia mama yako kwanini hujasema hiyo pesa ulipewa kwa makubaliano gani au ulipewa kama msaada au kama mikopo mingine ili urudishe.

suala lako la kupewa hela na ubarozi wa uingeleza siyo jipya hata wakili wako ambaye sote tunamjua anayetokea mkoa wa kaskazini unamtumia sana kwenda kuchukua pesa zako za madili kutoka kwenye makampuni kadhaa unachofanya pesa nyingi huchukui wewe unatuma watu kwaniaba yako.

zipo sehemu mbili ambazo wakili wako amechukua pesa kwa maelekezo yako na amesainishwa siku moja hiyo document utawekewa hapa ila mnamuaibisha sana wakili wako japo hapendi unavyofanya lakini wewe unasema huwezi kuacha kuwasaidia waingeleza umetoka nao mbali.

jambo lingine ni wewe kutumiwa na nimrod mkono kiukweli hili unavyokataa binafsi mimi nakuona kituko mkono hajaanza leo kukutumia mpaka anakununulia ile gari ambayo kwasasa umeikodisha ni katika makubaliano yenu ya baadhi ya kazi unazomfanyia za kutumika kiukweli zitto nilikuwa shabiki wako sana tangu nijue kuwa wewe mla rushwa nakuweka kundi moja na wachumia tumbo wengine na hii tabia ya rushwa na wizi sasa umemfundisha hata deo filikunjombe.

ushauri wangu kwako fanyeni yote mnayofanya watanzania wasije kuwajua lakini siku moja wakijua mtachomwa moto mchana kweupe.

sawa mkuu endelea kutetea ugali wako tumekusikia na tutkufikia pia!
 
tokea aweke majina ya uswiss ninakuwa mgumu sana kumuamini kabwe kwenye skandali zinazowahusu mafisadi wa ccm,
 
Tanzania kama ilivyo nchi nyingine za kiafrica maendeleo yanakwamishwa sana na UNAFIKI na UBINAFSI. Mambo yanatakiwa yawe hadharani ili mtu ajulikane dhahiri ni adui wa maendeleo ya taifa na sio kuleta hoja za kufikirika ati waziri fulani anapiga kampeni za kudhoofisha hoja. Kwa africa kuanzia Rais hadi raia ni WANAFIKI na WABINAFSI. Hata kama CCM itatolewa madarakani sitegemei maendeleo yoyote kwa sababu tu ya UNAFIKI na UBINAFSI wetu wa asili.
 
Ni jambo la kijinga kabisa baadhi ya mafisadi wanaojiita Upinzani kuungana na mafisadi kutunga tuhuma

Juzi nilisema tuhuma zinazohatarisha hadi diplomasia yetu na Kenya na Uingereza ni za kijinga sana sana

Tumeanzisha Kampeni na tumeionya IMF ikae mbali iachane na kuulea ufisadi wa Serikali ya Tanzania

"IPTL-Bring Back Our Money"

Yupo katibu Mkuu wa wizara moja kazi yake ni kufanya spinning na kutumia magazeti ya serikali kupotosha kuhusu ufisadi wa ESCROW

Nawapongeza wabunge wote vijana kwa kazi nzuri wiki iliyopita

Kila mtu amtumie mbunge wake ujumbe atoe sapoti bungeni kuhusu kashfa hii.

Nimeziona nyaraka zote ,ni aibu sana sana

mkuu bado unatembea na sumu?
 
Kwanza nakupongeza sana ndugu zitto naomba msikatishe tamaa na maccm wananchi tunajua sasa hivi wana haha kutokana na ufisadi walioufanya kiasi cha serikali za nje kusitisha ufadhili. Sisi wananchi tuko nyuma yenu jamani tunawetegemea nyinyi ndio mliobaki kubeba maslahi ya watanzania hapo bungeni.tunajua jinsi wabunge wa ccm wanavyotetea ujinga hapo bungeni badala ya kutetea wananchi tuliiwachagua. Mungu atawaongoza katika hili msikate tamaa maccm yatatunga kila aina ya propaganda Ili kuficha ukweli WA mambo hili tunalijua Hilo lakini hakuna jinsi tena kwa hatua mliyofikia Ni lazima wezi wote wajulikane Na sheria ichukue mkondo wake. Hongera Sana bwana zitto sisi wananchi tuko pamoja nanyi.
 
Mkuu sjajua wewe ni jinsia gani ila cha msingi tu acha kuwashwa!
Jadili hoja,ukitaka matusi jiandae kutukanwa pia.

Sielewi jinsia yangu inahusika vipi hapa lakini
Kuhusu jinsia,mi ni mwanamme nina mke na watoto na simuingilii mtu yeyote sehemu ya kutolea uchafu.
 
Kuwa na User Name Mbilimbili na kuzitumia kwa hila yoyote ile Ni Ufisadi kama Ufisadi mwingine tu.
 
Kwanza nakupongeza sana ndugu zitto naomba msikatishe tamaa na maccm wananchi tunajua sasa hivi wana haha kutokana na ufisadi walioufanya kiasi cha serikali za nje kusitisha ufadhili. Sisi wananchi tuko nyuma yenu jamani tunawetegemea nyinyi ndio mliobaki kubeba maslahi ya watanzania hapo bungeni.tunajua jinsi wabunge wa ccm wanavyotetea ujinga hapo bungeni badala ya kutetea wananchi tuliiwachagua. Mungu atawaongoza katika hili msikate tamaa maccm yatatunga kila aina ya propaganda Ili kuficha ukweli WA mambo hili tunalijua Hilo lakini hakuna jinsi tena kwa hatua mliyofikia Ni lazima wezi wote wajulikane Na sheria ichukue mkondo wake. Hongera Sana bwana zitto sisi wananchi tuko pamoja nanyi.

Wamefikia hatua gani mkuu?
 
Back
Top Bottom