Zitto muangukie Diamond akupromoti

Zitto muangukie Diamond akupromoti

Haya ni madhara ya kuwa na kizazi kilichotokana na "ufyatuaji", mtu makini hawezi kutumia lugha za udharirishaji kama utumiazo wewe.Tofautiana na mwenzako kihoja na si kwa matusi.Miaka 20 ijayo Taifa letu linaweza kuingia katika janga kubwa la kuporomoka kwa maadili,na janga hilo litakuwa ni matokeo ya ufyatuaji wa watoto unaohimizwa na mtakatifu.Hicho ndicho kitakuwa kizazi halisi anachojisifu msemaji wa chama cha majipu (ccm) kwamba kitajibu hoja zote mitandaoni.
Mungu akubariki mkuu
 
Mfano thread yako ina mistari sita tu. Halafu imefika page ya 6 ukiangalia contents hamna lolote LA maana zaidi ya majibizano ya kijinga tu. Halafu mwenyewe unajiona bonge la mjanja.
Toa thread yako wewe mjanja basi tuone kama hata nusu ya hii ya mijnga mie itafikia
 
Tumechoka unafiki wake sisi

Siku hizi akifika kigoma hafiki kwenye kijiwe maarufu hapa kinaitwa Urusi yenye nguvu
Siasa za kigoma huanzia hapa, ila wazee wenye mji washamshitukia
Kama vipi uchaguzi ujao mpigeni chini mkuu
 
Mfano thread yako ina mistari sita tu. Halafu imefika page ya 6 ukiangalia contents hamna lolote LA maana zaidi ya majibizano ya kijinga tu. Halafu mwenyewe unajiona bonge la mjanja.



Wingi wa mistari/maneno si kipimo cha uthabiti wa hoja,aliyekuwa anahutubia hotuba ndefu majukwaani kiasi cha kuaminishwa kuwa umahiri wake wa kuhutubia hotuba ndefu utalisaidia Taifa amefanya nini hadi sasa zaidi ya kuligawa Taifa?Maneno huishi,hotuba za Baba wa Taifa hadi leo bado zinatumika kuchota busara na maadili ya uongozi,ikitokea leo hii Mungu akampenda "Mwenye heri " wetu na kumuita ili akampe daraja kamili la "utakatifu",ni neno gani lililotoka katika kinywa chake chenye wingi wa maneno liwezalo kutumika kama kielelezo cha busara na hekima zake?
 
Wingi wa mistari/maneno si kipimo cha uthabiti wa hoja,aliyekuwa anahutubia hotuba ndefu majukwaani kiasi cha kuaminishwa kuwa umahiri wake wa kuhutubia hotuba ndefu utalisaidia Taifa amefanya nini hadi sasa zaidi ya kuligawa Taifa?Maneno huishi,hotuba za Baba wa Taifa hadi leo bado zinatumika kuchota busara na maadili ya uongozi,ikitokea leo hii Mungu akampenda "Mwenye heri " wetu na kumuita ili akampe daraja kamili la "utakatifu",ni neno gani lililotoka katika kinywa chake chenye wingi wa maneno liwezalo kutumika kama kielelezo cha busara na hekima zake?
Uko vema kiongozi
 
Atakama wataungana wapinzani wote, Hakuna kijana anaye weza kujenga hoja na kuzisimamia bila matusi wala kashfa kama Zito. Na Mungu ame mjaalia uwezo mkubwa wa kushawish tena kwa kujenga hoja. Tena ndiye Mbunge kijana aliye badilisha mitazamo ya vijana kwenye siasa na kwasasa vijana wengi wameingia kwenye siasa.
Umeambiwa au umejionea uyazungumzayo
Au ni hoja za kipuuzi
 
sikutetegemea thread kama hii ipate
wachangiaji japo najua aliyeanzisha ana account kama 7 hivi.
Lakini sishangai sana manake siku hizi Jukwaa la siasa limegeuka kuwa Instagram, watu wanasutana,wanchambana ndio imekuwa sehemu kuleta na kusema Umbea
 
Najua furaha yako page ziwe nyingi. Ulivyo poyoyo utakesha humu..
Sasa wewe nawe unajaza huku kwa matusi au ndio lengo lako

Mtapata kansa ninyi na hayo makompyuta mliyopewa mabovu hapo Lumumba

Kama huna jema tulia kuwa msomaji tuu
 
sikutetegemea thread kama hii ipate
wachangiaji japo najua aliyeanzisha ana account kama 7 hivi.
Lakini sishangai sana manake siku hizi Jukwaa la siasa limegeuka kuwa Instagram, watu wanasutana,wanchambana ndio imekuwa sehemu kuleta na kusema Umbea
Pole sana kwa kuishi kwa ku dhania na hisia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom