Hivi ukisema ukweli kuwa zito alifukuzwa chama na MBOWE baada ya kuhoji uhalali wa matumizi ya ruzuku pamoja na ukomo wa uongozi wa mbowe utakufa???Zitto msaliti kosa alilolifanya la kimkakati ni kuama kwenye nyumba ya gorofa na kwenda Nyumba ya Nyasa na kumsapoti Mwenye nyumba ya bati!!
Zzk alifukuzwa toka cdm baada ya kuraghaiwa na vijicent vya lumumba sawa na kina lipuuumbaaHivi ukisema ukweli kuwa zito alifukuzwa chama na MBOWE baada ya kuhoji uhalali wa matumizi ya ruzuku pamoja na ukomo wa uongozi wa mbowe utakufa???
Hizo zote ni siasa ndio maana hata alipotuambia utakuwa ukikatwa 280 kwa kila1000 kwenye ATM bado mlimwamini!!Hivi ukisema ukweli kuwa zito alifukuzwa chama na MBOWE baada ya kuhoji uhalali wa matumizi ya ruzuku pamoja na ukomo wa uongozi wa mbowe utakufa???
Niwakati sasa wana kigoma tumshawishi zzk amuangukie Diamond ili ampige kampani ili amrudishe kwenye ubora ulio potezwa na wana lumumba kwa tamaa ya fweedhaaaLingine lililomuaibisha ni kubadilishana jimbo na yule tapeli mwingine Serukamba
Pamoja na wananchi wa Kigoma kaskazini kutokuwa na uelewa lakini angepigwa chini kisa kuwa mtu wa potojo sasa
Amepuuzwa
HahahhaMkuu huyo Dotto Rangimoto kesha ishiwa na mipango kwa sasa yupo msamvu anauza mifuko ya khaki
Hahahaha mkuu uko vizuri.Hivi ukisema ukweli kuwa zito alifukuzwa chama na MBOWE baada ya kuhoji uhalali wa matumizi ya ruzuku pamoja na ukomo wa uongozi wa mbowe utakufa???
Serikali ilikanusha kuwa itakatwa benki lakini mimi sijajua mpaka leo kama inakatwa benki au mwananchi.Hizo zote ni siasa ndio maana hata alipotuambia utakuwa ukikatwa 280 kwa kila1000 kwenye ATM bado mlimwamini!!