Wewe ni primitive zaidi yangu kiongozi wa ma primitive kwa sababu hata hujui kwamba, kama wewe si primitive, ukitoa madai unatakiwa kuyathibitisha.Wewe ni kiongozi wa ma primitive hapa tanganyika
Sawa primitive wa primitive.Sawa primitive
Ila we jamaa akili zako sijui ziko vipi hivi ni lazima kuandika mada? Kwani ukiwa msomaji tu kuna ubaya gani?Mimi nikiwa mwana Kigoma namshauri zzk amuombe Muha mwenzetu Diamond amfanyie promo ili arudi kwenye umaarufu alio kuwa nao hapo kabla maana sasa kina mcubic na MOTOCHINI wamempotezea mbali OMWAMI RUYAGWA
Mkuu mshana nikiongozi gani ambae hapaogopi humu?.Awe wa upinzani au chama tawala?.Naomba umtaje mmoja tu tena wa upinzani maana ccm tunawajua uwezo wao nimdogo.
Godless Lema huwa anashusha nondo humu baada ya nusu saa tu anahojiwa na Polisi!Mkuu mshana nikiongozi gani ambae hapaogopi humu?.Awe wa upinzani au chama tawala?.Naomba umtaje mmoja tu tena wa upinzani maana ccm tunawajua uwezo wao nimdogo.
ACT wazalendo nao watapata Ruzuku.Itafurahisha kuweka mchanganuo wa matumizi in Public.Hivi ukisema ukweli kuwa zito alifukuzwa chama na MBOWE baada ya kuhoji uhalali wa matumizi ya ruzuku pamoja na ukomo wa uongozi wa mbowe utakufa???
Kuanzisha mada bila kujibu hoja za wanaJF ndio kitu unachokizungumzia?.Godless Lema huwa anashusha nondo humu baada ya nusu saa tu anahojiwa na Polisi!