Mbona unaweweseka?Ukiboko wake nini kumsingizia ndio ukiboko? Tumia ubongo japo kiasi kidogo tu
Yupo sana tu,ID yake fake ukiijua utacheka saba!Kwan yumo humu mkulu???
Zitto anawatesa sana!Hizo drama zote za kitoto mwisho 2020, baada ya hapo akaombe kazi kwa Maria Sarungi au Mangi Kimambi!
Samahani mkuu, pengine hujafananisha! Ila msisitizo wako kuwa hakuna kilichomtokea Msiba baada ya kuchimbwa biti na Zitto, hivyo Zitto hafai kwasababu hiyo, nikaelewa kwamba unamfananisha Zitto na yule jamaa ambaye ni unintelligent to the extreme!Wapi nimefananisha?!?!
Yupo sana tu,ID yake fake ukiijua utacheka saba!







acha utani mkuuSiku za hivi karibuni Mbunge huyu kutoka Kigoma amejigeuza kuwa mwanaharakati kwa kushutumu Serikali katika kila jambo.
Hii ni tofauti sana na uanasiasa wa kitanzania.
Halipiti juma moja bila ya zitto kupost shutuma bila ushahidi dhidi ya Serikali.
Wachambuzi wa mambo wanaona ni kama vile anajiandaa kwa kufanya au niseme kujifanyia tukio la kudhuru ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Pengine lengo lake ni kuona Serikali inachafuka baada ya kukamilisha hiyo 'sinema ' yake.
Je unaishauri nini Serikali ya Magufuli kuepuka mtego huu?
Ushauri Wangu Wamuache Tuu ZITTO Aendelee Kufanya Siasa Zake. Kwani Kila Mtu Ana Uhuru Wa Kukosoa Pale Ambapo Anaona Kuna Shida Katika Utendaji Wa Mambo Mbalimbali Ya Kiserikali.Siku za hivi karibuni Mbunge huyu kutoka Kigoma amejigeuza kuwa mwanaharakati kwa kushutumu Serikali katika kila jambo.
Hii ni tofauti sana na uanasiasa wa kitanzania.
Halipiti juma moja bila ya zitto kupost shutuma bila ushahidi dhidi ya Serikali.
Wachambuzi wa mambo wanaona ni kama vile anajiandaa kwa kufanya au niseme kujifanyia tukio la kudhuru ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Pengine lengo lake ni kuona Serikali inachafuka baada ya kukamilisha hiyo 'sinema ' yake.
Je unaishauri nini Serikali ya Magufuli kuepuka mtego huu?
Mangi yupi ???Hizo drama zote za kitoto mwisho 2020, baada ya hapo akaombe kazi kwa Maria Sarungi au Mangi Kimambi!
Hapo juu hamna sehemu yeyote Binadamu kafananishwa na kuku,umejistukia mkuu..Alicho kimaanisha kimeeleweka.Binadamu hawezi fananishwa na kuku
Mnapanga njama za kumteka, huku mkidai kuwa anajitengenezea sinema ya kutekwa??Siku za hivi karibuni Mbunge huyu kutoka Kigoma amejigeuza kuwa mwanaharakati kwa kushutumu Serikali katika kila jambo.
Hii ni tofauti sana na uanasiasa wa kitanzania.
Halipiti juma moja bila ya zitto kupost shutuma bila ushahidi dhidi ya Serikali.
Wachambuzi wa mambo wanaona ni kama vile anajiandaa kwa kufanya au niseme kujifanyia tukio la kudhuru ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Pengine lengo lake ni kuona Serikali inachafuka baada ya kukamilisha hiyo 'sinema ' yake.
Je unaishauri nini Serikali ya Magufuli kuepuka mtego huu?
Kuku wa familia anayetaga mayai ya dhahabu hupendwa na kulindwa na kila mwanafamilia. Akipotea abadan familia hupatwa taharuki. Tunapoona kuku wetu huyu katoweka, sisi tunatahayari lakini Baba wa familia hashtuki, tuna kila sababu ya kuhisi ama kamficha au kamdhuru.
ZZK
Mi simtaji ili aendelee kutumia hiyo ID!Comments zake huwa nacheka balaa!acha utani mkuu
Yupo sana tu,ID yake fake ukiijua utacheka saba!
Source tafadhali!Kuku wa familia anayetaga mayai ya dhahabu hupendwa na kulindwa na kila mwanafamilia. Akipotea abadan familia hupatwa taharuki. Tunapoona kuku wetu huyu katoweka, sisi tunatahayari lakini Baba wa familia hashtuki, tuna kila sababu ya kuhisi ama kamficha au kamdhuru.
ZZK