Zitto: Mtaona Bwawa Tu...

Zitto: Mtaona Bwawa Tu...

Wapi nimefananisha?!?!
Samahani mkuu, pengine hujafananisha! Ila msisitizo wako kuwa hakuna kilichomtokea Msiba baada ya kuchimbwa biti na Zitto, hivyo Zitto hafai kwasababu hiyo, nikaelewa kwamba unamfananisha Zitto na yule jamaa ambaye ni unintelligent to the extreme!

Sijui kama jamaa ana undugu na Elvis Musiba wa zile novel za Willie Gamba! Pengine amerithi kipaji Cha kutunga, ambacho ccm kinalipa kwasababu ya ufwatuaji wa uongo!
 
Siku za hivi karibuni Mbunge huyu kutoka Kigoma amejigeuza kuwa mwanaharakati kwa kushutumu Serikali katika kila jambo.
Hii ni tofauti sana na uanasiasa wa kitanzania.
Halipiti juma moja bila ya zitto kupost shutuma bila ushahidi dhidi ya Serikali.
Wachambuzi wa mambo wanaona ni kama vile anajiandaa kwa kufanya au niseme kujifanyia tukio la kudhuru ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Pengine lengo lake ni kuona Serikali inachafuka baada ya kukamilisha hiyo 'sinema ' yake.

Je unaishauri nini Serikali ya Magufuli kuepuka mtego huu?

Lissu alipokuwa akiripot alikuwa anajitengenezea mazingira?
 
Siku za hivi karibuni Mbunge huyu kutoka Kigoma amejigeuza kuwa mwanaharakati kwa kushutumu Serikali katika kila jambo.
Hii ni tofauti sana na uanasiasa wa kitanzania.
Halipiti juma moja bila ya zitto kupost shutuma bila ushahidi dhidi ya Serikali.
Wachambuzi wa mambo wanaona ni kama vile anajiandaa kwa kufanya au niseme kujifanyia tukio la kudhuru ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Pengine lengo lake ni kuona Serikali inachafuka baada ya kukamilisha hiyo 'sinema ' yake.

Je unaishauri nini Serikali ya Magufuli kuepuka mtego huu?
Ushauri Wangu Wamuache Tuu ZITTO Aendelee Kufanya Siasa Zake. Kwani Kila Mtu Ana Uhuru Wa Kukosoa Pale Ambapo Anaona Kuna Shida Katika Utendaji Wa Mambo Mbalimbali Ya Kiserikali.
 
Siku za hivi karibuni Mbunge huyu kutoka Kigoma amejigeuza kuwa mwanaharakati kwa kushutumu Serikali katika kila jambo.
Hii ni tofauti sana na uanasiasa wa kitanzania.
Halipiti juma moja bila ya zitto kupost shutuma bila ushahidi dhidi ya Serikali.
Wachambuzi wa mambo wanaona ni kama vile anajiandaa kwa kufanya au niseme kujifanyia tukio la kudhuru ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Pengine lengo lake ni kuona Serikali inachafuka baada ya kukamilisha hiyo 'sinema ' yake.

Je unaishauri nini Serikali ya Magufuli kuepuka mtego huu?
Mnapanga njama za kumteka, huku mkidai kuwa anajitengenezea sinema ya kutekwa??

Huyo hamumuwezi, kwao kaaga, mkijaribu tu mtarudi makwenu vichwa chini!
 
Kuku wa familia anayetaga mayai ya dhahabu hupendwa na kulindwa na kila mwanafamilia. Akipotea abadan familia hupatwa taharuki. Tunapoona kuku wetu huyu katoweka, sisi tunatahayari lakini Baba wa familia hashtuki, tuna kila sababu ya kuhisi ama kamficha au kamdhuru.

ZZK

Wewe fikiria unae kuku wa kisasa halafu anajichanganya na kuku wa kienyeji, unategemea nini hapo?

Zitto amlaumu jogoo wa ng'ambo ya pili maana alionekana akimuita huyo kuku wa kisasa kwa ule milo wake wa mvuto na hapo ndipo akapotea na kuku huyo.

Sasa utasingizia vipi baba mwenye nyumba.

Akili za Zitto ndizo hizo tena.
 
Wewe una*wa siyo bure!!.... Kama anaona viashiria vya hatari asijihadhari??!
 
Kuku wa familia anayetaga mayai ya dhahabu hupendwa na kulindwa na kila mwanafamilia. Akipotea abadan familia hupatwa taharuki. Tunapoona kuku wetu huyu katoweka, sisi tunatahayari lakini Baba wa familia hashtuki, tuna kila sababu ya kuhisi ama kamficha au kamdhuru.

ZZK
Source tafadhali!
 
Back
Top Bottom