Mpendakukimbiakimbia
Senior Member
- May 18, 2018
- 151
- 274
Hata juzi wakati bashiru anataka kuadress pale nkrumal hakumuona wakati amekaa pale baada ya zito kuona bashiru hana madhara kwake akajiruhusu mwenywe aonekane ndani ya dk mbili tu baadae akapotea. Mnakumbuka bashiru alidi zitto amekimbia lakini baada ya dk chake akamuona hakuyokea nje alikuwepo palepale. Zito ukimtaka kumtafuta kwa shari humuoni au unaona bwawa tu