Zitto: Korosho zilimwagwa Baharini

Zitto: Korosho zilimwagwa Baharini

Ambao mko kwenye nafasi msifanye makosa ili jamii ione kweli Magufuli alikuwa na makosa siyo kulazimisha kuwaaminisha kwa makosa yasiyo na uthibitisho
Uthibitisho upi huo unao hitaji juu ya kuboronga kwenye zao la korosho?

Hujui kuwa aliharibu kabisa utaratibu wa ununuzi wa hilo zao?
 
Sasa hizo korosho ziliuzwa wapi na hayo mapato yake yanaweza kuonekana ??
Umwage korosho baharini ili ugundue nn?kuna wakati hua nawaza km nati ktk kichwa cha mtu huyu zinafanya kazi.
 
Slaa kasema chadema wanatabia ya kujiteka na kisha kusingizia watu wasiojulikana,jibuni hoja yake acheni kumdhiaki,anza na hoja kwa slaa kwanza.
Hatuwezi kupoteza muda wake kwa mtu anayeshindwa kuisimamia ndoa yake.

Gwajima alituambia kuwa alimkuta drMihogo kalala kwenye gari baaada ya kufukuzwa nyumbani kwake na Mushumbusi.
 
Mirija ya ufisadi ilivyofungwa,si yeye tu hata hao mloimba miaka nenda rudi wanamaliza tembo wetu.Leo ndo mnawashangilia wamerudi.Nyi hamjitambui na hamtokaa kuja kujitambua
Tunachofurahi ni kuwa wote waliofukuzwa na jiwe wenu wamerudi kwenyw system.

Kama ni uadilifu hakuna watu walioharibu kama wa awamu ya 5.
 
Magoo-fool alitenda mambo mabaya sana,wapinzani walisema "serikali haina uwezo wa kununua korosho za Mtwara na haiwezi kuzisafirisha pia"

Magoo-fool akajificha kwenye kivuli cha jeshi na akalitumia jeshi vibaya,magari ya jeshi yakatumika kubeba korosho japo yalishindwa kwa kuwa hizo korosho zilikuwa nyingi sana.Wakulima walipoenda kuuza waliambiwa waonyeshe mashamba...poor sukuma gang!
 
Nyie wapambe wa jiwe semeni hizo korosho ziliuzwa wapi, shillingi ngapi na rekodi zake ziko sehemu gani katika taarifa za mapato ya serikali.
Zitto athibitishe madai yake
sio kwa kuwa kuna watu mna chuki zenu zilizokithiri kwa JPM ndio tuamini kila kibaya kisemwacho dhidi yake

kama mnatenda haki igeni mfano wa Pohamba …maeneo aliyofanya vyema pia asifiwe
 
Hakuna kipindi Zito amekutana na ugumu kama wakati wa Magufuli. Na yote hayo ilikuwa ni juu ya kumsema huyo kiongozi muovu.
Ugumu kwa Zitto ulikuja kwasababu Zitto ni tapeli wa siasa, Magufuri hakupenda matapeli kwasababu Magufuri ananjua tokea ikiwa Chadema,jinsi Kikwete alivyokuwa akimtumia akiwa Chadema,hivo Magufuri alimkatia hiyo milija ndio chanzo ugonvi juu ya magufuri,kwani Zitto anausafi upi?
 
Huyu marehemu huyu, kwa kweli hasara aliyoisababishia nchi, sijui kama kuna mtu anayejua kwa uhakika.
Yani mnamuamini zito kwenye huu upuuzi !!! Korosho haziwezi kukosa soko,magufuli alikuwa na namba za simu za Marais wengi Duniani kwenye ma viwanda huko asingeshindwa kuzipeleka
Zitto muongo,huu ujinga awadanganye watoto,naweza kukubali jiwe alisababisha hasara Ila sio hii
 
Back
Top Bottom