TADPOLE
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 3,114
- 10,186
Kwamba kitu kikikosa soko kinatupwa!!?? Hii ndo naona leo ndugu watz kwann wasingezirudisha kimyakimya sasaBaada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka mtwara.
Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.
Mh Zzk ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.
Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.View attachment 2202765