Zitto: Korosho zilimwagwa Baharini

Zitto: Korosho zilimwagwa Baharini

Sasa unajibu nini

Kama sio kutugombanisha na Serikali
Mkuu

Alete ushaidi Japo wa picha tuone

Mnaa tuu huyuu

Chawaa tuuu huyu
Kama Mwijaku

Lkn siwanatoka Kigoma
CAG kakanusha kwani?tuwe wapole kwenye haya mambo,jamaa mpaka kamattack CAG straight anajua anachosema tusubiri akanushe ndio tupate ushaidi.

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Mbona alimuita Magufuri mshamba hakuguswa? acheni porojo.

Hakuna kipindi Zito amekutana na ugumu kama wakati wa Magufuli. Na yote hayo ilikuwa ni juu ya kumsema huyo kiongozi muovu.
 
Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka mtwara.

Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.

Mh Zzk ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.

Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.View attachment 2202765
Jiwe bhana !
 
Huyo kenge alie komaaa sura kama tako la nyani kamkomalia Jpm kama mke mwenza ....alete ushahidi hata wa picha ...kwanza ana lipi alilofanyia taifa hili mpaka anapata ujasiri wa kumsema mtu alie acha alama kubwa moyoni mwa watu ....kabwela ww ni kenge mmoja hivi na wanao kulipa kumchafua jiwe watakula tako hilo maana utafeli tu ....

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Magufuli hakuwa msukuma, tuliza munkali
 
Back
Top Bottom