Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,751
- 3,691
Korosho zinavuliwaje kiongozi?!!!
Kwa kutumia masinia kama ya kupakulia pilau/biriani.
Korosho zinavuliwaje kiongozi?!!!
Jamaa alifeli sana kila pahala
OkKwa kutumia masinia kama ya kupakulia pilau/biriani.
Haifanani, sukuma gang jikiteni kwenye hoja.Huyo mrundi udini unamtesa
Kwanini hakuwahi kusema mwambieni aache unafikiBaada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka mtwara.
Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.
Mh Zzk ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.
Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.View attachment 2202765
Alishawahi kumsakama Jiwe kuhusu 1.5 T, kipindi cha CAG prof. Assad hadi babu pole pole akajigonga gonga katika kujaribu kutetea upotevu wa hicho kiwango cha pesa, wewe ulikuwa wapi?Haituusuuuu
Aendelee tuuu nauchawa wake
Mbona Wakati Chuma yupo akudhubutu kufungua domo lake



... dah; Mungu wetu apewe sifa; bila wewe Mungu tungeumia sana kwa hakika!Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka mtwara.
Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.
Mh Zzk ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.
Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.View attachment 2202765
Huyu marehemu huyu, kwa kweli hasara aliyoisababishia nchi, sijui kama kuna mtu anayejua kwa uhakika.
Jiwe alikuwa ni laana kwa Taifa. Aoze haraka na kuliwa na mafunza huko kaburini.Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka mtwara.
Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.
Mh Zzk ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.
Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.View attachment 2202765
Kwani naye mbona hajatoa hiyo prove zaidi ya maneno tupuHoja hujibiwa na hoja
Prove him wrong with facts and figures
Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka mtwara.
Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.
Mh Zzk ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.
Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.View attachment 2202765
Bahari gani mbona haisemwi? Au bahari ya Tanganyika,!!! Misukule huwa haina akiliBaada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka mtwara.
Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.
Mh Zzk ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.
Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.View attachment 2202765
Jamani tusitoe tuhuma zisizo na ushahidi, korosho za kiwango hicho umwage baharini hakuna hata zilizoelea mpaka ufukweni tukapata na KACLIP!!!???Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka mtwara.
Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu...
!!!Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka mtwara.
Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.
Mh Zzk ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.
Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.View attachment 2202765
Kampa, kampa tenaJamaa vp huyu mbona ana hasira sana na marehemu huyu yan kila Sikh anadondosha moja,amwache kidogo shujaa wetu apumzike


