yegella
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,113
- 1,104
- Thread starter
- #101
lakini mhhh, kumbe na ada ya chuo alilipiwa? halafu ndio anatenda haya? anamuita mbowe majina yale yote? jamaa ana roho ngumu aisee.
sasa naanza kuelewa ile hotuba ya mbowe alipokuwa anawa grrom vijana pale land mark kwamba yeye kama yeye alikuwa anwatafuta vijana na kuwawezesha kujiunga na harakati za ukombozi wa nchi yao, kule alikwenda extra mile na kuwawezesha wengine hadi pesa kutoka mfukoni mwake
siyo kusaidiwa kwenye masomo tu mpaka usafiri wa kutembelea alipewa leo analeta usaliti na kusahau alitolewa wapi..