What are you trying to insunuity? this quotation favours you.
Give me a break Mungi.
Huyu Jamaa alilipiwa ada ya chuo na Mbowe?? Ee Mungu Tuhurumie!
Kwa hiyo shukrani yake anamlipa Mbowe ni kumuanzishia Uasi?
Masikini ya Mungu.Kumbe Mbowe anatukanwa matusi yote na mtu aliyemlea kama mdogo wake!
Usishangae tu uhame Kabisaa na chama.
Give me a break Mungi.
Huyu Jamaa alilipiwa ada ya chuo na Mbowe?? Ee Mungu Tuhurumie!
Kwa hiyo shukrani yake anamlipa Mbowe ni kumuanzishia Uasi?
Masikini ya Mungu.Kumbe Mbowe anatukanwa matusi yote na mtu aliyemlea kama mdogo wake!
Niaje Janjaweed rafiki yake dr slaa. ..nakuona muheshimiwa mkubwa kabisa.hii kitu ya nilijiunga sijui lini imemuaibisha sana zitto... his ego is way too big for his own good
Kama kweli chadema wanataka changes, then they should fire those kids
Wakati wewe unapigania umakini juu ya siri na matumizi ya ofisi ya chama Molemo ndio jembe lao..muone..
Ukuu wa katiba unapotumika watu wanaanza ooh unajua nilijiunga nikiwa na miaka 16 .Who cares?
Leo Molemo umewahiwa na Yegella akupe break za nini labda za MINI KABANG.
Ukitaka kumuua paka usimuangalie machoni.........................Fukuza mapaka hayo
lakini mhhh, kumbe na ada ya chuo alilipiwa? halafu ndio anatenda haya? anamuita mbowe majina yale yote? jamaa ana roho ngumu aisee.
sasa naanza kuelewa ile hotuba ya mbowe alipokuwa anawa grrom vijana pale land mark kwamba yeye kama yeye alikuwa anwatafuta vijana na kuwawezesha kujiunga na harakati za ukombozi wa nchi yao, kule alikwenda extra mile na kuwawezesha wengine hadi pesa kutoka mfukoni mwake
nidhamu siyo eeh?
kwa hiyo wao wana nidhamu kuita media na kuanza matangazo......
fikiria ndugu kabla ya kuropoka, usukule ni sifa mbaya sana, I think you are way better than this, just a word of advice