Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,191
- 138,511
Haaah,haaa ''sakosi'' tangu lini ikapigiwa magoti. CHADEMA moto chini,mziki mnene
Hata mimi sikuamini alipofariki baba, lakini Mungu ndo alikuwa ameshamchukua. Ni kwa sababu nilimtegemea sana na nilijua yeye ni super power. pole mkuu
Ukuu wa katiba unapotumika watu wanaanza ooh unajua nilijiunga nikiwa na miaka 16 .Who cares?
zitto kwa usaliti wake alisababisha msuwaji Arusha kwani kama asingewapotosha madiwani kusingekuwa na uchaguzi mdogo Arusha, zitto, Nchemba, msaki, ludovic walishiriki kwenye video ya lwaks na akapendekeza lwaks afukuzwe, zitto nenda..
Ukuu wa katiba unapotumika watu wanaanza ooh unajua nilijiunga nikiwa na miaka 16 .Who cares?
Ben! who cares? Mbona unataka kufanya CDM kama ya kwako, wasinge kijenga chama we usingekuwa cdm, lazima uheshim michango ya wenzako waliokutangulia ingawa inaonekana wamekuwa wasaliti lets give them another chance. Kuwavua uongozi inatosha. Hope cc makini wata watafanya maamuzi makin sio unavyo taka wewe Ben.
Kama ameomba msamaha ni vizuri kamati kuu ikamsamehe, zitto akiri makosa yake na abaki mwanachama wa kawaida,kutokumsamehe zitto kutadhihirisha kuwa chama kilipania kuwafukuza! Kamati kuu itumie busara. Ingawa kitendo cha zitto kukaa kimya juu ya uovu uliotokea kigoma sio sawa!
Kama ameomba msamaha ni vizuri kamati kuu ikamsamehe, zitto akiri makosa yake na abaki mwanachama wa kawaida,kutokumsamehe zitto kutadhihirisha kuwa chama kilipania kuwafukuza! Kamati kuu itumie busara. Ingawa kitendo cha zitto kukaa kimya juu ya uovu uliotokea kigoma sio sawa!
"People tend to be generous when sharing their nonsense, fear, and ignorance. (Steve Maraboli).Zitto na Kitila hawawezi kuomba msamaha hizi ni porojo za kawaida kutoka Bavicha.
Hamna aliye juu ya Chama kuwepo longest haijustify kufanya ujinga aliofanya
mimi naona ni ujuha ku discuss kitu ambacho hatujui wamejibu na ku demand
Mimi binafsi nataka Chadema wawafukuze Zitto na Kitila pamoja na Mwigamba.
Akili kubwa haziwezi kuomba msamaha kwa akili ndogo za kina Lema na Mbowe.
Kukata mzizi wa fitina Chadema si muwafukuze.
ZZK hawezi kufukuzwa cdm i bet