Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 9,415
- 8,873
Nadhani huyu alikuwa ni Zitto ambaye hajavurugwa, baadae wakamtia ndani ya kumi na nane zao, chezea briefcase nyekundu ilijaa note!!
"Kauli ya Chacha Wangwe na baadhi ya Viongozi wa Chadema Kwamba Kuna Mgogoro (CHADEMA) Si ya Kweli, Kwani hali ni Shwari ila haya ni Mageuzi ya Kawaida katika Vyama vya Siasa, hasa inapoonekana Kuna Watu Wanakwenda Kinyume Cha Maadili na Madaraka Waliyonayo ......"
(Hii ni Kauli ya Zitto Kabwe aliyoitoa Mjini Tanga, tarehe 5.7.2008 akitetea Uamuzi wa Kamati Kuu ya Chadema Kumvua Madaraka aliye Kuwa Makamu Mwenyekiti (T) Marehemu Chacha Wangwe"