Zitto, Kitila na Mwigamba wajisalimisha CHADEMA

Zitto, Kitila na Mwigamba wajisalimisha CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Zitto Kabwe CCM wanampenda sana, aende tu CCM atakuwa Mwenyekiti wa Taifa na Mgombea urais 2015
 
Bado ninatafakari, kwanini zito hajatoa kauli yoyote juu ya genge la wahuni wanaohamasisha watu kufanya fujo katika mikutano ya Dr Slaa?, nini msimamo wake juu ya fujo zilizojitokeza na pia atueleze Dr. Alex anaratibu fujo hizo kwa maagizo ya nani?

Atoe kauli ya nini? We unaweza ukatoa kauli kwa jambo usilolijua? Ukiona kimya ujue suala hilo halitambui na hana habari nalo. Kijana wa watu hataki malumbano nyie mnamtafuta kitu gani?
 
Zitto asipofukuzwa nitasikitika sana.............. Unless akiri usaliti wake wote alioufanya ikiwemo kupoteza maisha ya watu, alivyoshiriki kuunda uhuni dhidi ya Lwakatare kwa kumtengeneza Dennis Msaki na Ludovic kama karata ya ushindi nk.

Watu wajinga sana,Swala Dennis Msaki na Lwakatare,Liko wazi hata ukiiangalia ile Video youtube CDM inapanga Ugaidi,Watu wanasubiri mwakani wapewe FBI wathibitishe video ya kweli,ili muchinjiwe Baharini,ili USA na ULAYA wajue CDM Magaidi.kwa kuwa WATZ wamewajuwa na miishio yao CDM Mwakani.
 
Du Kamanda Tupogo(Molemo), nawe unaingia huu kuonyesha upande wako hata Kabla ya uamuzi wa mwisho je hujui kuwa una influene ya kuwez kushawishi jambokwa viongozi kutokana na nafasi yako ndani ya Chama rejea sifa za PR

Upande wangu uko wazi na Clear kabisa.

Kwamba ninasimama na Kamati Kuu kwa maamuzi waliyofanya!

Ninalaani pia kitendo cha watuhumiwa kutumia Media zinazolipiwa na CCM kutukana Viongozi na Kamati Kuu.

Pia ninapinga kitendo cha watuhumiwa kuidhalilisha Kamati Kuu kila wanapopata nafasi kwenyw media.

Haya ndiyo maamuzi yangu na nitayasimamia popote!
 
nitawaomba Moderator tuanzishe thread tutukanane ili ulizike lakini humu ni juu ya baratua ya msamaha wa zitto na uamzi wa cc kama imfueke mazima au umwachie uanachama.

Nailed it!
Ishu pia jamaa anatafuta sympathy kwenye vyombo vya habari yaani hajui kuwa anguko lake linaripotiwa in real time as in mbele ya macho ya dunia
 
Last edited by a moderator:
Zitto Kabwe CCM wanampenda sana, aende tu CCM atakuwa Mwenyekiti wa Taifa na Mgombea urais 2015

CCM ni wajanja sana wewe.Nakuhakikishia atakaporudi CCM watamfanya kama Lamwai.
 
Nitaishangaa chadema ikinasa kwenye mtego wa kuwasamehe.....kwanza kitila alikana u-cc toka 2010 ni heri chama kibaki na wachaga kuliko wasaliti.
 
zitto kwa usaliti wake alisababisha msuwaji Arusha kwani kama asingewapotosha madiwani kusingekuwa na uchaguzi mdogo Arusha, zitto, Nchemba, msaki, ludovic walishiriki kwenye video ya lwaks na akapendekeza lwaks afukuzwe, zitto nenda..
 
Watu wajinga sana,Swala Dennis Msaki na Lwakatare,Liko wazi hata ukiiangalia ile Video youtube CDM inapanga Ugaidi,Watu wanasubiri mwakani wapewe FBI wathibitishe video ya kweli,ili muchinjiwe Baharini,ili USA na ULAYA wajue CDM Magaidi.kwa kuwa WATZ wamewajuwa na miishio yao CDM Mwakani.

Kweli kabisa, FBI Chief ni Mwigulu Nchemba akisaidiana na Ludovic na Msacky.
Mbinu zenu magamba zimefeli, akili za maccm zimedumaa haziwezi kufikiri sawa sawa
 
Nitaishangaa chadema ikinasa kwenye mtego wa kuwasamehe.....kwanza kitila alikana u-cc toka 2010 ni heri chama kibaki na wachaga kuliko wasaliti.

mkuu hawa wasaliti waondoke tu.
tena tena wangekuwa na akili wangefanya mapema kabla hawajafukuzwa..
 
Akuna atakayeshindana na nguvu ya umma CDM ni nguvu ya umma na sio hao mnaowafikiria nyepesi alichemka kwani CDM aliikuta. Yeye mmoja wana chama wako wengi acha katiba ya chama ichukue nafasi yake
 
CCM ni wajanja sana wewe.Nakuhakikishia atakaporudi CCM watamfanya kama Lamwai.

Mkuu usimstue wacha aende CCM akiwa amevimba bichwa lake akidhani kweli atakuwa Mwenyekiti.
Halafu anatuhadaa eti akifukuzwa atakwenda kushika chaki.......... labda chuo chenye wanaume tu maana jamaa na Kapuya kitu kimoja
 
zamani tulikuwa tunapenda JF 7bu ya Mtoa taarifa anatupia na Ushahidi pipo wakijadili wanajadili kwa Ushahidi km Barua n,k sasa cku hz sio Mtu anaweza kuaanzisha TOPIC bila Support yyt! na watu 2kachangia utashangaa muda cm mrefu 2tafika PAGE ya 200 natamani iwe km zamani mtu alete HOJA km hii ikiwa kamili Ss namna hii badae ikigundulika tofauti na walichoandika hao jamaa itakuwaje cniJF nayo itakuwa km FESI BUKU Mawazo yangu2!
 
Hili ndio tatizo kubwa la Chadema, hakuna nidhamu ktk ofisi pale HQ, Nyaraka za kiofisi maelezo yake yanawekwa mtandaoni. Kila anayekiona kitu ofisini saa hiyohiyo anajifanya mjanja wa kuwahi kubandika mtandaoni na viongozi hawaoni madhara yake. Hakuna siri kila mtu ni msemaji wa Chama. Maana yake record office ya chama ina makanjanja wasio na ethics. ndio maana siri nyingi za chama zinavuja.

jaribu kutumia akili kidogo, kumbuka taarifa zimeanzia kwa zitto na Kitila....hivyo yeyote kati yao ndugu au jamaa zao anaweza kuleta hii taarifa....hapa wengi ni fake I'd umejuaje kuwa chadema ndio wamevujisha.?

licha ya yote msaliti hatakiwi kuonewa aibu.!!!
 
Acha kujifundisha ujinga wewe!!!
Kuropoka kote kwenye media waliacha nini? hawakupata tuhuma dhidi ya uongozi uliopo ndiyo maana wamesaidiwa na ccm kuunda uwongo!!
Kama Zitto mjanja wakati anasema chama hiki kimemtoa mbali angeongezea kuwa hata ada za chuo alilipiwa na Mbowe!

Zitto kwa usaliti wote ule akosamehewa nitawashangaa sana chadema
Kwa ufupi mkifukuza au muache chama hakiwezi kuwa salama,huo ni mwiba uliokwama kooni kumeza tatizo kutoa tatizo.
 
Ukuu wa katiba unapotumika watu wanaanza ooh unajua nilijiunga nikiwa na miaka 16 .Who cares?

Ben! who cares? Mbona unataka kufanya CDM kama ya kwako, wasinge kijenga chama we usingekuwa cdm, lazima uheshim michango ya wenzako waliokutangulia ingawa inaonekana wamekuwa wasaliti lets give them another chance. Kuwavua uongozi inatosha. Hope cc makini wata watafanya maamuzi makin sio unavyo taka wewe Ben.
 
Kama kweli wanataka msamaha ni vizuri wakasema ukweli wote jinsi CCM ilivyowatumia! Wawe wazi bila kuficha neno!!! Kusema tu wana mapenzi na CDM haitoshi!! Hayo ni mazingaombwe ya mchana kweupe! Wajieleze kwanza kwa umma! Baada ya hapo nguvu ya umma ndiyo itakayowahukumu!!

alah, kumbe kiswahili unajua?
 
Huna hadhi ya ku-Quote andishi langu!

Shame!!

Mkuu mbona tupo kwenye mjadala wa kawaida mkuu, kwanini unajiona bora, alafu binadamu wenzako walioumbwa na Mungu unaemuamini unawaona takataka??

Sawa mkuu wewe una hadhi sana mkuu. ila ajikwezae atashushwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom