Zitto, Kitila na Mwigamba wajisalimisha CHADEMA

Zitto, Kitila na Mwigamba wajisalimisha CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Hapa lazima tule vichwa vya hawa wasaliti warudi magambani maana tukiwasamehe magamba yatapiga kelele sana kuwa tumewaogopa!!!haogopwi mtu hapa....
 
Ule usemi samaki ana ujanja akiwa ndani ya maji umetimia.

Baada ya kushindwa kukihujumu chama kwa mbinu mbalimbali ikiwemo ya kushambulia mikutano ya Dr Slaa na kutoa matamko ya kipuuzi wakiqatumia viongozi mbalimbali wale wasaliti waliokwapuliwa vyeo vyao ndani chadema na kinachosubiliwa ni kupokonywa uanachama wao Zitto, Kitila na Samson Mwigamba wamejisalimisha jana baada ya kujibu barua waliyotumiwa na kuomba wasamehewe na wasinyang'anywe uanachama kuwa wana mapenzi na chama.

Kwa hiyo mkuu press conference Yale ni kueleza umma kuwa wameshajibu tuhuma?
 
wasamehewe--hata mandela aliwasamehe makaburu walomfunga jela kwa miaka 27! tuache kulipiza visasi.
 
na ukuu wa katiba unapokataa uwepo wa vyama vyenye mrengo wa kikabila na kikanda maanza kusema ooohh mbona wale nao wako hivyohivyo??!!
mtumwa asiyejitambua kama yeye ni mtumwa, huwa ni mtumwa mzuri zaidi

Wamanyema,wabembe,waha, wamekataa kabisa hadithi unazoongea hapa inawezekana unaongea habari za udini,ukabila,na ukanda kwa sababu unamsongo wa mawazo, safari ya Dr Slaa Kigoma imedhihirisha wanaoongea hadithi kama unayoongea wewe ni MACCM na masalia na wasaliti , wananchi hawayajui hayo , chadema chama dume, Kigoma wamedhihirisha
 
Baada ya Zito, Kitila na Mwigamba kuwasilisha kwa Kamati Kuu ya Chadema barua za kujitetea kuomba wasifukuzwe uanachama, nashauri kwamba katika spirit ya forgiveness ya Mandela, wasifukuzwe uanachama, bali wasiruhusiwe kugombea nafasi yeyote ya uongozi ndani ya Chadema, isipokuwa Ubunge na na Udiwani tu, kwa kipindi cha miaka kumi. Kipindi hiki kitatosha kuwafanya watafakari upya juu ya kuwapo kwao ndani ya Chadema na kuwasaidia kukomaa kisiasa.
 
Kwanza I wish to congradulate all my fellow Tanzanian on our Jamhuri Day, Mungu atupe uwezo na Busara za kujenga na kulinda nchi yetu tukufu.

Pili Vijana mnajua ukomavu hauletwi na Ubabe au na maneno ya kebehi, Mhe Zitto Hakuomba Msamaha wowote na hakuna sababu yoyote inayomlazimisha kuomba msamaha, kwani hakuna hatia ya kosa hata moja inyo mhusu yeye, yote ni ya hearsay. Yeye amejibu Barua ya Chama na amejibu vizuri sana na kwa heshima inayopaswa kukipa Chama chake.

Zitto hawezi kujitoa kwenye chama chake, na itakuwa weakness akifanya hivyo, lakini Chama kinawe kumfukuza wakiweza kuthibitisha kama mwanachama wake amefanya mbinu la kukihujumu chama, Na lazima Jamani tuwe watu makini, mara nyingi katika mikakati ya wanasiasa kuvutana na kuwa na ushindani wa kutafuta fursa za uongozi , huwa wanafanya makosa ambaye huyumbisha chama, na hao pia wanastahiki kutizamwa kwa makini na ikiwezekana wawajibike.

La muhimu hizi hikaya za Uzi huu kuwa wamejisalimisha ni uzuushi na cheap propagandur, nawe Bw Saanane chuki zako kwa Mhe Zitto zinajulikana kwa hivyo utakalo sema kuhusu huyu mwanasiasa anayeheshimiwa na wa Tanzania wengi , hawezi chafuliwa na mtu kama wewe. Bora utafute Kibarua kingine
Habari hii iko ukurasa wa mbele Jambo Leo sasa tuwaulize wameiweka ili wapime upeopo wa rafiki yao
 
ukuu wa katiba unapotumika watu wanaanza ooh unajua nilijiunga nikiwa na miaka 16 .who cares?


ben kama amekiri makosa anastahili kusamehewa.mabaya aliyofanya hayaondoi makubwa aliyofanya.huyu jamaa pamoja na upungufu wake kaleta hamasa kwa vijana kujiamini kugombania nafasi kuu za kiuongozi na bungeni akiwa na chadema na dokta slaa wamesaidia sana.lets close this tujiandae na mengine.tuue makundi na chuki,itakuaje tukienda kwenye uchaguzi hivi ndugu zangu.chadema ndio tegemeo
 
Ukuu wa katiba unapotumika watu wanaanza ooh unajua nilijiunga nikiwa na miaka 16 .Who cares?
We care, the genuine party members of CDM.
Chama ni wanachama na si katiba. Walioanza ni wanachama na si katiba. Wanachama wanayo mandate ya kuibadili katiba ili ikidhi matwakwa yao kama chama. Wanachama wanao uwezo wa kutumia si katiba tu bali na busara zao kukisaidia chama chao kisonge mbele.
Kama ni katiba tu basi hata nawe ungefutiliwa mbali kwani mlikuwa kundi moja hadi mlipopishana maslahi. Ulipotubu, busara ilitumika na si kuangalia sheria tu. Chama hakiwezi kujengwa kwa misingi ya personal interests au individual conflicts tu. Lazima wewe na watu wenye mtazamo hasi kama wako wajifunze kwa mwenyekiti wetu wa taifa, Mtumishi wa Mungu na kamanda wetu Mbowe. Kwa miaka yote hii amekiongoza na kukijenga chama kwa kuweka maslahi ya chama na nchi mbele, amekuwa mlezi wetu kwa uvumilivu na busara zake kwetu.
Hata wakati huu hukuti akitoa matamko ya hovyo hovyo kwani anajua yeye ni mwenyekiti wa wote, hata kama shutuma nyingi zimeelekezwa kwake, kama Mbowe zaidi kuliko kama mwenyekiti. Nadhani huyu amefuata kwa dhati nadhalia ya Mungu ambaye amemwacha shetani salama hata sasa akisubiri siku ya hukumu na wakosaji kama wewe na mimi tukitubu anatusamehe licha ya uzito na idadi ya makosa yetu. Zaidi sana, Mwenyekiti wetu anajua fika kuwa kisasi ni cha Mungu, hivyo yeye Mungu atawalipa WOOOOTE wanaokisaliti chama na kukihujumu.Kwa mawazo yangu, tuiachie kamati kuu na uongozi wa chama utumie katiba na busara zake kumaliza suala zima hili.
Yapo mengi ya kujadili na yenye kuuma sana ambayo tunaweza kujadili sote, kama vile elimu duni, uchumi mbovu, ufisadi wa raslimali za nchi unaofanywa na viongozi wa CCM na mabepari waitwao wawekezaji, gharama za umeme kupanda, kukosekana kwa maji na mwenendo usioridhisha wa bunge. Ukikosa la kusema, ni busara kunyamaza kuliko kukaa na kujadili mtu au watu hasa negatively. CHADEMA TULIANZA NA MUNGU ambaye si mwepesi wa hasira bali ni mwingi wa huruma na rehema, naye husamehe wale wanaotubu kwa dhati; NA TUTAMALIZA NAYE HATA KATIKA HILI. Mashetani watabaki kama mafisi tu wenye tamaa ya kuona mikono ya mtu ilikatika wajiokotee kwa ulafi wao, watashuhudia CDM ikisonga mbele 4 X 4.
 
Unafiki wa chadema kwa hiyo kila kitu mnakiweka hadharani?
Hivi akina Zitto wakiamua kuweka kila jambo uchi mtabaki salama?
...kasome ule waraka wao wa kipuuzi, halafu uje utuambie wamebakiza nini ili tuwashauri waseme.
 
Chadema sio Chama cha wajaga wala ya uduni au ukanda.
Mbowe na Slaa wamwachie nafasi Zitto.
 
ccm sasa hivi ni kutoa fedha tu.kwa wale wajanja kuleni mahela wale walala hoi mtajiuza sana na haki zenu mtaziuza sana kuliko ESAU.UFISADI MPAKA KANISANI NA MISIKITINI NDO SERA YA MAGAMBA KWA SASA.
 
Mkuu baharia hao jamaa wamedumaa............. Zitto anapendwa sana CCM, akienda kule atakuwa Mwenyekiti wa taifa wa CHAMA CHAKAVU!!!
...Mkuu Mungi CCM wenyewe wanajua huyo MM ni majanga. ndo maana wanang'ang'ana abaki CHADEMA na apewe uwenyekiti.
 
"Kauli ya Chacha Wangwe na baadhi ya Viongozi wa Chadema Kwamba Kuna Mgogoro (CHADEMA) Si ya Kweli, Kwani hali ni Shwari ila haya ni Mageuzi ya Kawaida katika Vyama vya Siasa, hasa inapoonekana Kuna Watu Wanakwenda Kinyume Cha Maadili na Madaraka Waliyonayo ......"

(Hii ni Kauli ya Zitto Kabwe aliyoitoa Mjini Tanga, tarehe 5.7.2008 akitetea Uamuzi wa Kamati Kuu ya Chadema Kumvua Madaraka aliye Kuwa Makamu Mwenyekiti (T) Marehemu Chacha Wangwe"

Wewe nae una chuki za kike.....hizi tabia za kiliberali ungeziacha huki huko India
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom