Zitto, Kitila na Mwigamba wajisalimisha CHADEMA

Zitto, Kitila na Mwigamba wajisalimisha CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Wao wanajua wametusaliti nini, vile mna ukaribu nao sana waulizeni watawafafanulia... Bado nawashauri kwa moyo wangu wote muwachukue hakika watakisaidia chama chenu!
hawaendi kokote watakula sahani moja na nyinyi malaghai wakubwa
 
Ni uwongo mtupu. Zitto amewasilisha barua mbili jana, moja ya kupinga mashtaka na ingine akikata rufaa. Kitila na Mwigamba hawajawasilisha barua zao hadi ninapioandika hii post. Mie nipo makao makuu na huo ndio ukweli. Hizi siasa za uzushi na uwongo zinaua chama chetu.
 
Ukuu wa katiba unapotumika watu wanaanza ooh unajua nilijiunga nikiwa na miaka 16 .Who cares?
na ukuu wa katiba unapokataa uwepo wa vyama vyenye mrengo wa kikabila na kikanda maanza kusema ooohh mbona wale nao wako hivyohivyo??!!
mtumwa asiyejitambua kama yeye ni mtumwa, huwa ni mtumwa mzuri zaidi
 
mkuu utaomba mpaka kesho hawana hao wanajaribu kufukia mashimo hakika wamepatikana


Ha ha ha ha h... Kama nakuona unavyotokwa na jasho la kwapa... Pole kaka najua inauma sana, vumilia manake ni upepo tu utapita usijali!
 
Binafsi naona kama wamefahamu makosa yaliyokuwa yamewakabiri basi wasamehewe kwani nia si kuwafukuza chamani no! Ila ni kutaka kuondoa mamluki na wasaliti ktk hizi harakati zetu kwani kinachomsumbua ZITTO ni ubinafsi tu na kujiona ni nyota. Kumbe bado safari ni ndefu katika kuupata uhuru wa kweli. Tuungane pamoja ktk kuwang'oa hawa wanaofanya nchi yetu tuliyopewa sote na muumba kuwa SACCOS ya kuitafuna wao Jamaa zao na familia zao. Huu si wakati wa kurumbana wenyewe kwa wenyewe tutawapa nguvu hawa mabeberu. Naamini kwa umoja wetu TUTASHINDA HII VITA.
 
Ni uwongo mtupu. Zitto amewasilisha barua mbili jana, moja ya kupinga mashtaka na ingine akikata rufaa. Kitila na Mwigamba hawajawasilisha barua zao hadi ninapioandika hii post. Mie nipo makao makuu na huo ndio ukweli. Hizi siasa za uzushi na uwongo zinaua chama chetu.
ha ha ha bavicha wanamambo aisee huyo yegella anatoa wapi huu ushudu?
 
Last edited by a moderator:
Ni uwongo mtupu. Zitto amewasilisha barua mbili jana, moja ya kupinga mashtaka na ingine akikata rufaa. Kitila na Mwigamba hawajawasilisha barua zao hadi ninapioandika hii post. Mie nipo makao makuu na huo ndio ukweli. Hizi siasa za uzushi na uwongo zinaua chama chetu.

Acha umbea uko makao makuu yapi gamba wewe? Chama chenu wewe na nani?
 
Mkuu sixgates hebu jaribu kuuliza popote kama kuna mkurya anaeweza kutoa kauli ya dharau kama aliyotoa Molemo.

Duh kuna dharau za utani lakini Molemo ana dharau fulani mbaya sana. Anaona binadamu wenzake ambao hawako chadema kama taka. Nadhani pia ndicho wanachokosea chadema wanaona mtu yoyote asie chadema ni -------- na hana akili which is wrong
 
Last edited by a moderator:
Mwambie mumeo zzk akupe copy.... Ujue nashangaa kwanini hili amelifanya kimya kimya bila kukushirikisha eeh!
Tumia lugha nzuri tu tufanye mjadala halafu kumbuka wewe ni mwanamke mara nyingi huwa nawaheshimu sana wanawake kutoka na jinsia zao mie wewe uniite vyovyote utakavyopenda hakuna tatizo, tuwekeeni hizo barua basi tuzione
 
Ni uwongo mtupu. Zitto amewasilisha barua mbili jana, moja ya kupinga mashtaka na ingine akikata rufaa. Kitila na Mwigamba hawajawasilisha barua zao hadi ninapioandika hii post. Mie nipo makao makuu na huo ndio ukweli. Hizi siasa za uzushi na uwongo zinaua chama chetu.
ha ha ha bavicha wanamambo aisee huyo yegella anatoa wapi huu ushudu?
 
Last edited by a moderator:
Kwa jinsi nilivyomuelewa Zito lengo lake ni kuwa mwenyekiti wa Chadema.Hata akijishusha leo na kupiga magoti anaamini ipo siku atakuwa kuja juu tu kwaiyo suala la uanachama kwake ni jambo la lazima.Siasa ni mchezo usiotabirika.
 
Tumia lugha nzuri tu tufanye mjadala halafu kumbuka wewe ni mwanamke mara nyingi huwa nawaheshimu sana wanawake kutoka na jinsia zao mie wewe uniite vyovyote utakavyopenda hakuna tatizo, tuwekeeni hizo barua basi tuzione
Nenda kazichukue kwenye ofisi zake huko Facebook na Twitter
 
Tumia lugha nzuri tu tufanye mjadala halafu kumbuka wewe ni mwanamke mara nyingi huwa nawaheshimu sana wanawake kutoka na jinsia zao mie wewe uniite vyovyote utakavyopenda hakuna tatizo, tuwekeeni hizo barua basi tuzione


Barua wewe kama nani? Mkishaziona mtafanya nini? Je kwanini zzk hajawapa copy toka jana?
 
Ha ha ha ha h... Kama nakuona unavyotokwa na jasho la kwapa... Pole kaka najua inauma sana, vumilia manake ni upepo tu utapita usijali!
linakutoka wewe binti wa kinondoni ufipa nasikia mnaenda kwa shift.............
 
Kuomba msamaha ni jambo jema lkn ni vema waite press conference wakiri kosa na kubainisha mbinu zao zote na wafadhili wao kisha wawaombe radhi wana m4c ndo iwahukumu.
 
Ni uwongo mtupu. Zitto amewasilisha barua mbili jana, moja ya kupinga mashtaka na ingine akikata rufaa. Kitila na Mwigamba hawajawasilisha barua zao hadi ninapioandika hii post. Mie nipo makao makuu na huo ndio ukweli. Hizi siasa za uzushi na uwongo zinaua chama chetu.
Well said mkuu, vijana wanaiangamiza Chadema.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom