mtz one
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 4,275
- 1,225
wazee wa mini kabaang.....kwaheri naingia kazini mwenzio sio tegemezi kama weweFananisha utakavyo, haiondoi ukweli kuwa Umedumaa!!!!!
CCM = CHAMA CHAKAVU!!!!
wazee wa mini kabaang.....kwaheri naingia kazini mwenzio sio tegemezi kama weweFananisha utakavyo, haiondoi ukweli kuwa Umedumaa!!!!!
CCM = CHAMA CHAKAVU!!!!
unapojadili mada fafanua watu tukuelewe vizuri..., unasema Msando alileta kero sana.. fafanua ni kero zipi alileta?Pasco akina ZZK na kundi lake bado wana akili za kuendesha siasa za KIDARUSO DARUSO kitilamkumbo alikuwa Raisi DARUSO na Baadae ZZK naye akawa kiongozi akiwa na akina Msando.Nakumbuka wakati wa mgomo wa 2004 kupinga Muswada wa HELSB usiku pale Mabibo Hostel huyu Msando alileta kero sana wakati wa kujadili hatima ya baadae baada ya muswada kupitishwa. Ni watu ambao bado wana endesha siasa za kijima zisizo na malengo ya jamii bali ubinafsi na utoto mwingi.
If you cant defeat them, join them! Kwani shida iko wapi? Omba radhi and move on!
thibitisha au kaa kimyaUle usemi samaki ana ujanja akiwa ndani ya maji umetimia.
Baada ya kushindwa kukihujumu chama kwa mbinu mbalimbali ikiwemo ya kushambulia mikutano ya Dr Slaa na kutoa matamko ya kipuuzi wakiqatumia viongozi mbalimbali wale wasaliti waliokwapuliwa vyeo vyao ndani chadema na kinachosubiliwa ni kupokonywa uanachama wao Zitto, Kitila na Samson Mwigamba wamejisalimisha jana baada ya kujibu barua waliyotumiwa na kuomba wasamehewe na wasinyang'anywe uanachama kuwa wana mapenzi na chama.
...au ndio maana 'kiranja mkuu wa mitandao' alitumia muda kuielezea hiyo theory!wanataka kupika propaganda mpya ya 'chama cha wasiotoa msamaha'.
Umenena hakika home boy;watimuliwe tu"Mtoto akinyea mkono haukatwi bali unaoshwa" huu ni usemi maarufu sana unaopendwa kutumiwa na wazee wetu. Maana yake ni kuwa anayekosa basi asamehewe, lakini wakati mwingine mikono huwa haiwezi takata hasa kama "mtoto" huyo anajinyea mara kwa mara na dawa hapo ni Kuikata mikono hiyo.
Hawa jamaa hawastahili kusamehewa kwani ni wasaliti. Let them go.....
Nakubaliana na wewe Bocho, hivi Hamad Rashid yuko wapi?
unapojadili mada fafanua watu tukuelewe vizuri..., unasema Msando alileta kero sana.. fafanua ni kero zipi alileta?
Cdm bhana. Naimamani hata mkipata nchi Siri za Ikulu mtazitoa.
Mods tunaomba muondoe hii hekaya, tayari tushajua ni uwongo. Zitto kakata rufaa