Zitto: Kikwete ni Rais wa ajabu.

Zitto: Kikwete ni Rais wa ajabu.

ZZK seems sort of mdini - iish to me. Kwa jazba ya hali ya juu aliwakataza wabunge wa chadema kutoisifia serikali wakati wa hoja ya Mh. Magufuli. Ana agenda gani??
 
Mboe kamsifia JK ,Selasini kamsifia JK,Sasa Zitto akifanya inakuwa nangwa???au kwasababu hatoki kanda yenu!!!
Hicho ndo nnachoshangaa mkuu. kunya anye kuku. akinya bata kaharisha. Hebu tuwe waungwana jamani, mwacheni zitto atoe maoni yake. mbona maoni yenu hakuna anayeyabeza? lakini pia kuwa ktk upinzani sidhani kama ni sahihi kupinga kila kitu. mfano hata kitu ambacho kipo wazi ww upinge tu ili kuonesha upo upinzani, sio sahihi. naomba nisieleweke nipo au nawatete hawa chukua chako mapema, hapana. mm nipo neutral kabisa, siegemei upande wowote. Mnyonge mnnyongeni lkn haki yake mpeni
 
kwani huyu sie yule aliyepiga marufuku viongozi wa CDM kusifu viongozi wa ccm?
Namna anavyomfagilia kikwete anamshinda Nape!
Zitto CCM-B (II)
Mkuu manyimbo, huyu zitto ni ndumilakuwili...si popo wala si ndege haeleweki.zitto si baridi, moto wala vuguvugu...yupo yupo tuu..mwanzoni alikuwa ni chadema pure 100%.then maccm yakamnunua kwa bei ndogo sana..ukizingatia ndio kwanza alikuwa ndio anaingia kwenye siasa.kwa hiyo ana haki ajikombe kwa kikwete maana ndio boss wake anayemuweka mjini..stupid!
 
jk anaweza kubeazwa kwa upole wake na uhuru aliowapa watanzania ndiyo uhuru huo wanautumia vibaya mpaka wanatukana.lakini wakati wake ndo huo unayoyoma naamini atakapo staafu umuhimu wake mtautambua tu hata mnaombeza.

Unatakiwa usome kwa makini katiba ya nchi inayotumika hivi sasa tangia enzi za mkoloni.kikwete hajatoa uhuru wa kuzungumza...huo uhuru wa kuzungumza upo katika katiba ya nchi .nashangaa mnasema ooh kikwete katoa uhuru hajatoa , hiyo ni haki yetu kikatiba.tatizo mnatumia masaburi kufikiri badala ya ubongo.wadanganyeni wasioisoma katika ya nchi tangia enzi za mkoloni.haya kachukue buku 7 yako.
 
Hata hivo kavumiliwa sana na cdm. Wangekuwa kile chama cha mashoga na mabwana zao chama kizee wangekuwa wamemtosa........jamaaaaa sumu sn
 
Unatakiwa usome kwa makini katiba ya nchi inayotumika hivi sasa tangia enzi za mkoloni.kikwete hajatoa uhuru wa kuzungumza...huo uhuru wa kuzungumza upo katika katiba ya nchi .nashangaa mnasema ooh kikwete katoa uhuru hajatoa , hiyo ni haki yetu kikatiba.tatizo mnatumia masaburi kufikiri badala ya ubongo.wadanganyeni wasioisoma katika ya nchi tangia enzi za mkoloni.haya kachukue buku 7 yako.
Lupe,
Nawashangaa sana watu wanaompa Kikwete sifa za kutupa uhuru wa kusema. Kama ni uhuru wa magazeti aliukuta. Si ni yeye aliyeyatumia kumkashifu Salim na kumjenga kuwa ni mwanasiasa aliyebobea? Sasa ametuletea uhuru gani? Pia mbona amelazimika kufungua gazeti la Mwanahalisi na kutumia polisi kuwadhibiti Chadema?
 
Hamna lolote wewe ndiye muuaji uliyekuwa umetumwa kuua viongozi Chadema. Ulipo fail ukakimbilia home kwenu. Sijui huyo bwana atabebana na wewe atatoka sayari gani! Takataka tupu ppppttttuuuuu!!!

Hahaaaaaaaa mfuasi wa kibwetere punguza povu kwanza
Kibwetere naye alihama ccm akahamia chadema kumbe naye alikuwa na agenda yake ndo maana akahama ilipotimia.
Huna la maana unalowaza we mdada zaidi ya mabwana unadhani wote tuna akili kama yako.anza kujipanga viti maalumu ulivyokuwa unategemea upewe kama fadhira huko chadomo vimefutwa.imekula kwako maana uwezo wako ni mdogo sana nakufahamu fika ndo maana umeamua kujificha kwa id fake .
Mwanamke wa kweli ni jasiri
R.I.P chacha wangwe damu yako imeanza kuwatesa
 
Ktk uhuru wa kuongea kawa mvumili lkn je huo uhuru kwnye maisha yapi haya ya kuishi chin ya 640? Vichwa chini kila siku.
 
Hahaaaaaaaa mfuasi wa kibwetere punguza povu kwanza
Kibwetere naye alihama ccm akahamia chadema kumbe naye alikuwa na agenda yake ndo maana akahama ilipotimia.
Huna la maana unalowaza we mdada zaidi ya mabwana unadhani wote tuna akili kama yako.anza kujipanga viti maalumu ulivyokuwa unategemea upewe kama fadhira huko chadomo vimefutwa.imekula kwako maana uwezo wako ni mdogo sana nakufahamu fika ndo maana umeamua kujificha kwa id fake .
Mwanamke wa kweli ni jasiri
R.I.P chacha wangwe damu yako imeanza kuwatesa

Shalom ! Dada vip sasa lile ombi la kukutana na w mbona umelipuuza au niku-PM?
 
Sasa mbona hujibu na wewe bana? Ween funguka ukweli wako kama ni REACHABLE or NOT REACHABLE.

shonza.jpg
Mashallah.... Au unasemaje Kibunango ? CCM Raha bana....
Hahahaaaaaaaaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Yah mkuu uko sahihi Kikwete ni mvumilivu ajabu na tutamkumbuka, kawapa uhuru wa kuongea mmeanza kumtusi acheni mambo hizo. Asante Zitto kwa kutambua hili japo hawa vijana walioshikiliwa akili zao na watu fulani hawalitambui hilo. Mnaamini Chama mpaka mawazo yenu yanaendeshwa na viongozi wa chama, Poleni. Kikwete juu juu juu zaidi.
 
Yah mkuu uko sahihi Kikwete ni mvumilivu ajabu na tutamkumbuka, kawapa uhuru wa kuongea mmeanza kumtusi acheni mambo hizo. Asante Zitto kwa kutambua hili japo hawa vijana walioshikiliwa akili zao na watu fulani hawalitambui hilo. Mnaamini Chama mpaka mawazo yenu yanaendeshwa na viongozi wa chama, Poleni. Kikwete juu juu juu zaidi.

Na ww akili zako kazishika nani?
 
''MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), amesema Rais Jakaya Kikwete ni mtu wa ajabu na kueleza kuwa kama si uvumilivu wake nchi ingekuwa katika machafuko makubwa''



Kuna kitu nyuma ya pazi kama Zito anasifia na haoni machafuko yaliyosheheni nchini basi atakuwa ni more than kibaraka.
 
hebu Weka na ile Hotuba ya Gesi " Wana Mtwara wanauliza Mtatuachaje" usikie anavyomponda Mzee Mzima

Naona anajihami
 
Back
Top Bottom