Zitto Kabwe; Wananchi hawana furaha

Dunia yakoo

Senior Member
Nov 23, 2019
139
214
“Wananchi hawana furaha, hawana amani, wamejaa hofu, hawawezi kukaa kwa kukosa furaha muda wote, ndio maana tunasema kazi na bata, watu wafanye kazi wale na bata” @zittokabw

hh.jpg
 
Mungu hakutuweka hapa Duniani ili tuwe na ,, furaha“ hata ukiangalia cinema za Yesu hakuna mahali ambapo niliona Yesu akicheka cheka hovyo na kula bata kwa furaha, Yesu alikuwa anajua maisha ni magumu ndo maana hakuwa na ,,furaha“ bali alikuwa anajitahidi kujituma kupunguza matatizo na siyo kucheka cheka upuuzi eti furaha huku ukiiba fedha za Wananchi.

Maisha ni magumu ni mtu low IQ tu ndo anaweza kuwa na ,,furaha“ Dunia hii, furaha ya nini wakati najua muda wowote nakufa, naweza ugua, au kupoteza girlfriend wangu, Mzazi wangu kaambiwa ana saratani isiyotibika, sasa furaha inatokea wapi?
 
Huwa watu wanalalamika vizuri sana lakini unapofika wakati wa kupiga kura wanawachagua wale jamaa bila hata kufikiri.
 
Mungu hakutuweka hapa Duniani ili tuwe na ,, furaha“ hata ukiangalia cinema za Yesu hakuna mahali ambapo niliona Yesu akicheka cheka hovyo na kula bata kwa furaha, Yesu alikuwa anajua maisha ni magumu ndo maana hakuwa na ,,furaha“ bali alikuwa anajitahidi kujituma kupunguza matatizo na siyo kucheka cheka upuuzi eti furaha huku ukiiba fedha za Wananchi.

Maisha ni magumu ni mtu low IQ tu ndo anaweza kuwa na ,,furaha“ Dunia hii, furaha ya nini wakati najua muda wowote nakufa, naweza ugua, au kupoteza girlfriend wangu, Mzazi wangu kaambiwa ana saratani isiyotibika, sasa furaha inatokea wapi?
Umekosea, Yesu alichukua huzuni zetu na masikitiko ili tuwe na furaha. Biblia inasema furahini katika Bwana siku zote! Mungu anataka tuwe na furaha kila iitwapo leo.
 
Mungu hakutuweka hapa Duniani ili tuwe na ,, furaha“ hata ukiangalia cinema za Yesu hakuna mahali ambapo niliona Yesu akicheka cheka hovyo na kula bata kwa furaha, Yesu alikuwa anajua maisha ni magumu ndo maana hakuwa na ,,furaha“ bali alikuwa anajitahidi kujituma kupunguza matatizo na siyo kucheka cheka upuuzi eti furaha huku ukiiba fedha za Wananchi.

Maisha ni magumu ni mtu low IQ tu ndo anaweza kuwa na ,,furaha“ Dunia hii, furaha ya nini wakati najua muda wowote nakufa, naweza ugua, au kupoteza girlfriend wangu, Mzazi wangu kaambiwa ana saratani isiyotibika, sasa furaha inatokea wapi?
Usituambukize Upuuzi wako tafadhali
 
Mungu hakutuweka hapa Duniani ili tuwe na ,, furaha“ hata ukiangalia cinema za Yesu hakuna mahali ambapo niliona Yesu akicheka cheka hovyo na kula bata kwa furaha, Yesu alikuwa anajua maisha ni magumu ndo maana hakuwa na ,,furaha“ bali alikuwa anajitahidi kujituma kupunguza matatizo na siyo kucheka cheka upuuzi eti furaha huku ukiiba fedha za Wananchi.

Maisha ni magumu ni mtu low IQ tu ndo anaweza kuwa na ,,furaha“ Dunia hii, furaha ya nini wakati najua muda wowote nakufa, naweza ugua, au kupoteza girlfriend wangu, Mzazi wangu kaambiwa ana saratani isiyotibika, sasa furaha inatokea wapi?

Hii imenigusa
 
Zitto anapigania tumbo lake

Sisi Wananchi tupo shambani tunapambana na msimu

Tunakula magimbi tuna furaha na amani

Labda anawazungumzia Wananchi wa Twitter ambao hawafiki hata 0.1% ya Watanzania
Hayo magimbi ni sh.ngap yatakupa upeleke ada za watoto shule, hospitali,malazi,nyanya,mafuta. Nk nk au unaongea vile una mihemko na ccm
 
Back
Top Bottom