Dunia yakoo
Senior Member
- Nov 23, 2019
- 139
- 214
“Wananchi hawana furaha, hawana amani, wamejaa hofu, hawawezi kukaa kwa kukosa furaha muda wote, ndio maana tunasema kazi na bata, watu wafanye kazi wale na bata” @zittokabw
Kwahiyo yeye anaishi huko twitaniZitto anapigania tumbo lake
Sisi Wananchi tupo shambani tunapambana na msimu
Labda anawazungumzia Wananchi wa Twitter ambao hawafiki hata 0.1% ya Watanzania
Labda wananchi wa mitandao ya kijamii ila sio sisi watanzania tulio wengi.“Wananchi hawana furaha, hawana amani, wamejaa hofu, hawawezi kukaa kwa kukosa furaha muda wote, ndio maana tunasema kazi na bata, watu wafanye kazi wale na bata” @zittokabw
View attachment 1282496
Zitto anapigania tumbo lake
Sisi Wananchi tupo shambani tunapambana na msimu
Tunakula magimbi tuna furaha na amani
Labda anawazungumzia Wananchi wa Twitter ambao hawafiki hata 0.1% ya Watanzania
Una shamba simbirisi wewe? Ushabiki wa ccm ni wa kipumb... Kabisa!Zitto anapigania tumbo lake
Sisi Wananchi tupo shambani tunapambana na msimu
Tunakula magimbi tuna furaha na amani
Labda anawazungumzia Wananchi wa Twitter ambao hawafiki hata 0.1% ya Watanzania
Umekosea, Yesu alichukua huzuni zetu na masikitiko ili tuwe na furaha. Biblia inasema furahini katika Bwana siku zote! Mungu anataka tuwe na furaha kila iitwapo leo.Mungu hakutuweka hapa Duniani ili tuwe na ,, furaha“ hata ukiangalia cinema za Yesu hakuna mahali ambapo niliona Yesu akicheka cheka hovyo na kula bata kwa furaha, Yesu alikuwa anajua maisha ni magumu ndo maana hakuwa na ,,furaha“ bali alikuwa anajitahidi kujituma kupunguza matatizo na siyo kucheka cheka upuuzi eti furaha huku ukiiba fedha za Wananchi.
Maisha ni magumu ni mtu low IQ tu ndo anaweza kuwa na ,,furaha“ Dunia hii, furaha ya nini wakati najua muda wowote nakufa, naweza ugua, au kupoteza girlfriend wangu, Mzazi wangu kaambiwa ana saratani isiyotibika, sasa furaha inatokea wapi?
Usituambukize Upuuzi wako tafadhaliMungu hakutuweka hapa Duniani ili tuwe na ,, furaha“ hata ukiangalia cinema za Yesu hakuna mahali ambapo niliona Yesu akicheka cheka hovyo na kula bata kwa furaha, Yesu alikuwa anajua maisha ni magumu ndo maana hakuwa na ,,furaha“ bali alikuwa anajitahidi kujituma kupunguza matatizo na siyo kucheka cheka upuuzi eti furaha huku ukiiba fedha za Wananchi.
Maisha ni magumu ni mtu low IQ tu ndo anaweza kuwa na ,,furaha“ Dunia hii, furaha ya nini wakati najua muda wowote nakufa, naweza ugua, au kupoteza girlfriend wangu, Mzazi wangu kaambiwa ana saratani isiyotibika, sasa furaha inatokea wapi?
kweli hilo jamaa puuzi kweliUsituambukize Upuuzi wako tafadhali
Mungu hakutuweka hapa Duniani ili tuwe na ,, furaha“ hata ukiangalia cinema za Yesu hakuna mahali ambapo niliona Yesu akicheka cheka hovyo na kula bata kwa furaha, Yesu alikuwa anajua maisha ni magumu ndo maana hakuwa na ,,furaha“ bali alikuwa anajitahidi kujituma kupunguza matatizo na siyo kucheka cheka upuuzi eti furaha huku ukiiba fedha za Wananchi.
Maisha ni magumu ni mtu low IQ tu ndo anaweza kuwa na ,,furaha“ Dunia hii, furaha ya nini wakati najua muda wowote nakufa, naweza ugua, au kupoteza girlfriend wangu, Mzazi wangu kaambiwa ana saratani isiyotibika, sasa furaha inatokea wapi?
Yataisha lakini wengi watakuwa wameshaumia sana.Hata Dunia inalitambua hilo
Nchi imekuwa ukiwa
Yataisha tu!
Hayo magimbi ni sh.ngap yatakupa upeleke ada za watoto shule, hospitali,malazi,nyanya,mafuta. Nk nk au unaongea vile una mihemko na ccmZitto anapigania tumbo lake
Sisi Wananchi tupo shambani tunapambana na msimu
Tunakula magimbi tuna furaha na amani
Labda anawazungumzia Wananchi wa Twitter ambao hawafiki hata 0.1% ya Watanzania
Hajielewi huyo piga chini, kashiba hela za ccmUna shamba simbirisi wewe? Ushabiki wa ccm ni wa kipumb... Kabisa!
Hayo magimbi ni sh.ngap yatakupa upeleke ada za watoto shule, hospitali,malazi,nyanya,mafuta. Nk nk au unaongea vile una mihemko na ccm