Rais Samia akiri Watanzania hawana furaha

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
56,550
93,201
samia.jpg

Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.

Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.

Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.

Habari ndio hiyo.
 

Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kunywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.

Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.

Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.

Habari ndio hiyo.
Uzuri wa Samia ni Msema Ukweli.

Mwasamba amezipata hizi habari?
 
Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kunywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.

Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.

Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.

Habari ndio hiyo.
ndiyo, ni kweli
hiyo ni kumaanisha furaha yake Rais, comrade DR SSH, na ya waTanzania wote ni kuona maji safi na salama yanapatikana kwa uhakika na yanawafikia waTanzania wote popote walipo 🐒

Furaha yake na ya waTanzania wote nikuona hudumu za afya, nishati na elimu zinapatikana kwa uhakika na kuwatosheleza waTanzania wote popote walipo 🐒

na katika hudumu nyingine zote unazozifahamu kiuchumi, kijamii na kisiasa , Rais angependelea hao alowaapisha na watendaji wengine kufanya bidii zaidi na kupeleka tabasamu ya huduma za uhakika kwa wanainchi na hatimae CHEKO KAMILI la haja Oct.2025🐒
 
ndiyo, ni kweli
hiyo ni kumaanisha furaha yake Rais, comrade DR SSH, na ya waTanzania wote ni kuona maji safi na salama yanapatikana kwa uhakika na yanawafikia waTanzania wote popote walipo 🐒

Furaha yake na ya waTanzania wote nikuona hudumu za afya, nishati na elimu zinapatikana kwa uhakika na kuwatosheleza waTanzania wote popote walipo 🐒

na katika hudumu nyingine zote unazozifahamu kiuchumi, kijamii na kisiasa , Rais angependelea hao alowaapisha na watendaji wengine kufanya bidii zaidi na kupeleka tabasamu ya huduma za uhakika kwa wanainchi na hatimae CHEKO KAMILI la haja Oct.2025🐒
Umegeuka ghafla.....Chawa pro
 
ndiyo, ni kweli
hiyo ni kumaanisha furaha yake Rais, comrade DR SSH, na ya waTanzania wote ni kuona maji safi na salama yanapatikana kwa uhakika na yanawafikia waTanzania wote popote walipo 🐒

Furaha yake na ya waTanzania wote nikuona hudumu za afya, nishati na elimu zinapatikana kwa uhakika na kuwatosheleza waTanzania wote popote walipo 🐒

na katika hudumu nyingine zote unazozifahamu kiuchumi, kijamii na kisiasa , Rais angependelea hao alowaapisha na watendaji wengine kufanya bidii zaidi na kupeleka tabasamu ya huduma za uhakika kwa wanainchi na hatimae CHEKO KAMILI la haja Oct.2025🐒
Ongeza bidii huenda ukaambulia visenti kwenye kampeni za serikali za mtaa.
 

Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.

Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.

Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.

Habari ndio hiyo.
Tafiti uchwara kama hiyo hupendwa na team CHAWA akina Lucas, choicevariable, nk ambao huzishikia bango kweli kweli
 
Nchi zenye furaha duniani utaona hata wanawake wanafuraha na wazuri pia
Utafiti huo sio mimi
Waliofika Finland, Denmark, Norway au Iceland watanielewa

Hivi mna furaha gani kutwa mnalalamika humu?
Hata yeye anawachora humu wakataa ndoa 😄
 
Back
Top Bottom