Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,550
- 93,201
Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.
Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.
Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.
Habari ndio hiyo.