Zitto Kabwe: Serikali ya awamu ya 5 acheni ushamba

Zito acha kamba wewe, hao Rwanda unaowatukuza hata shirika lao la ndege wanamiliki asilimia 40 au 60 tu hivi sasa. Sisi tunamiliki la kwetu 100%. BTW pengine huna taarifa wameomba kwa kupiga magoti tuwainue kidogo kwa kuruhusu waruke kutoka Mwanza - London ili wapate ujiko kidogo.

Mila zetu Tanzania sio sawa na Wanyarwanda elewa hilo.
 
Kwanza pesa zinazotumika kupokea ndege kwa wakuu wa nchi wote kuwa mwanza ni kama uhujumu uchumi

Halafu wako live kwenye maTV uku ndege baada ianzie kuchukua abiria pale mwanza eti inakuja dar na wana ccm!!

Hivi ATCL hawana office mwanza?

Hasara tumeshaingia kulipa mawakili kushindwa kesi kumlipa mkulima jamani hasara zingine tungezi-epuka!!

Hakuna hata umuhimu wa kuwa na Rais mwenye PhD na waziri wake wa mambo ya nje Profesor

Mimi na ka-degree kangu kamoja ningeweza kuongoza vizuri Tanzania na kuzuia mbwembwe na utoto unaoendelea majirani wanatucheka sana.
 
Zito acha kamba wewe, hao Rwanda unaowatukuza hata shirika lao la ndege wanamiliki asilimia 40 au 60 tu hivi sasa. Sisi tunamiliki la kwetu 100%. BTW pengine huna taarifa wameomba kwa kupiga magoti tuwainue kidogo kwa kuruhusu waruke kutoka Mwanza - London ili wapate ujiko kidogo.

Mila zetu Tanzania sio sawa na Wanyarwanda elewa hilo.
Rwandair kwa taarifa yako ina ruka London zaidi ya mwaka sasa. Inatumia Gatwick airport . Usitufanye wote wajinga hawawezi kuomba ruti ya mwanza - London
 
Mh Zitto amenena.
Mimi nimemuelewa.
Watanzania tumemuelewa.
Walengwa mjitafakari!




Very soon watakuambia ni raia wa Rwanda wakunyang'anye na ubunge pia

Japo sina uhakika sana, labda lengo la Rais kufanya mapokezi makubwa ni kuufikishia habari umma wetu wajue assets ili wawe na nafasi kuhoji zikianza kupukutika, tunaambiwa Hayati Mwl. Nyerere aliacha ndege 14, lakini huko nyuma hatukuyajua hayo kwakuwa hazikuwa zinatajwa public.
 
"What comes around, goes around" Kwa kadiri hii shirika la ATCL lilivyofufuliwa, huku huduma zikilazimishwa kupitia"supply driven" na wala si kwa "demand driven" basi tutegemee hasara juu hasara katika uendeshaji wake. Katika mambo ambayo yatazidi kuitia doa serikali ya awamu ya tano ni pamoja na hili shirika ambalo linaendeshwa kwa hasara, huku wao wakizidi kuling'ang'ania kwa ajili tu ya kiki za kisiasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1576416615677.jpeg
 
Very soon watakuambia ni raia wa Rwanda wakunyang'anye na ubunge pia

Japo sina uhakika sana, labda lengo la Rais kufanya mapokezi makubwa ni kuufikishia habari umma wetu wajue assets ili wawe na nafasi kuhoji zikianza kupukutika, tunaambiwa Hayati Mwl. Nyerere aliacha ndege 14, lakini huko nyuma hatukuyajua hayo kwakuwa hazikuwa zinatajwa public.
wananchi wana uwezo kuhoji kupitia CAG. cha ajabu sana ni kuwa chini ya awamu ya 5 CAG anapigwa vita na serekali... ironically sinister!!
 
Lakini on a serious note mauzinduzi na mapokezi yamezidi sana awamu hii, zote hizi ni kodi za walala hoi zinateketezwa! Ule msururu wa wageni waalikwa wa jana hawakwenda pale bure. Tuna kiongozi mnafiki mno!
 
Back
Top Bottom