PakavuNateleza
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 1,106
- 1,297
Zzk ni next president hata kama hutaki 2020
Hahaha haa kutoka mwekundu utakuwa *----- sasa
Zzk ni next president hata kama hutaki 2020
Tofauti ya ACT na chadema ni ipi??
Mbowe + slaa +lissu +mnyika bado hawamfikii Zitto.Ndio maana kulikuwa na haja ya kuwa na mgombea binafsi. Huyu jamaa anauwezo mkubwa kuliko wapinzani wote ukiwaweka pamoja bila lipumba.
hivi zitto na Mbowe nani ni msaliti wa watanzania na demokrasia?Msaliti anaujumbe kwa wasaliti ,kama sio msaliti basi huna haja ya kufuatilia
zitto kweli kasumbua vichwa vya watu. nimeamini zitto ni mtu mkubwa nchi hii. ujue watu wanabaki wanampima kama vile ni rais au waziri mkuu.
Ninamfuatilia kwa makini yuko vizuri huyu kijana ni hazina ya taifa.
Huyu dogo (niki wa pili) analeta sifa za kisanii..
Anataka amfunike kwa lazima wakati hana hata uwezo wa kujenga hoja na kumchalenji.
Zito amerelax sana cz wanaomhoji hawako deep ktk siasa!
Kuna mbwa yeyote wa chagadema anaweza kuchambuaa siasa kama zitto anavyochambua this time clouds
Zzk ni next president hata kama hutaki 2020
Kijana Niki Wa Pili anajitahid kupelekeshana na Zito ila Zitto anajitahid kuonyesha ukomavu wake
kipindi kimekuwa vizur ila mtangazaji amepwaya .Niki Wa pilli kaonekana Kama mtangazaji
Yani nilitaka sana nisikie Zito anasema nini lkn huyu Nick amenifanya nikabadili channel, bure kabisa
Usilazimishe watu wote wawe wafuasi wa Edwin Mtei, na mtu anaejitambua hawezi kumshabikia mzinzi wenu Slaa!
Yani nilitaka sana nisikie Zito anasema nini lkn huyu Nick amenifanya nikabadili channel, bure kabisa
Taifa = Wewe,Mumeo na wanenu
Amezini na mama yako,......Amezini na wewe Mara ngapi ?